Rais Samia, Umekwishalipa Fadhila Kwa Waasisi wa CCM, Sasa Fanya Kazi Yako Kama Rais

Rais Samia, Umekwishalipa Fadhila Kwa Waasisi wa CCM, Sasa Fanya Kazi Yako Kama Rais

Halina ubishi teuzi zote za akina Nape Nnauye, Makongoro Nyerere, Januari Makamba, Ridhiwani Kikwette, Halima Bulembo, Maharage Chande, Vita Kawawa na wengineo wengi zilikuwa ni kulipa fadhila kwa wale wanaoitwa "waasisi wa CCM."

Wateule wote hao hapo na wengine wengi lazima waepita kwa JK au Mzee Makamba.

Maadam umekwishalipa fadhila sasa chapa kazi na uisiangalie makunyanzi. Najuwa kuwa wengi wanafanya vibaya na pengine walistahili kuwa Mahakamani wakijibu tuhuma za ufisadi au uzembe lakini unaogopa kuwapekea huko kwa kuwa ni watoto wa waasisi.

Ushauri wangu wa mwisho kwako ili ufanikiwe ni kama ifuatavyo;

1. Rudia mfumo wa zamani uliokuwapo kabla ya 2015 ambapo kazi zinatangazwa magazetini na Watanzania wenye uwezo wanashindanishwa kupitia Bodi then unapata mtu mwenye uwezo ndiyo unamteua baaday ya Bodi na Waziri kukupa took 3.

Kwa namna hii ukimpata CEO bora ata perform na asipo perform ni rahisi kumtimua kwa KPIs alizopewa. Na akiiba au akifanya uzembe ni rahisi kumpeleka Mahakamani kwa kuwa Rais unakuwa huna mtu unayemlipa fadhila
Turudi hapa tena
 
Hili ni angalizo zuri na kama Samia atacheka na nyani atavuna mabua. Huyo Makamba akimuendekeza ndiye ataharibu U-Rais wake mwaka 2025.

Usijesema HATUKUKUTAARIFU
Naona Samia kashtuka sasa
 
Makamba ni ukoo wa panya.

Mwamvita makamba baada ya kupata deal la maana tanesco akaacha kazi Vodacom.

Makambas ni watu wa hovyo sana wasiofaa kwa lolote, yule mzee wa hovyo mkamba viatu wakuu. Yuko tayari kusema lolote ili mradi kutetea watoto wake.

Samia amefanya jambo jema sana kuondoa ukoo wa panya tanesco.
Juzi katola Januari Makamba, na leo Maharage Chande katupiwa virago nje. Hongera Rais kwa kusikia ushauri

IMG-20240723-WA0088.jpg
 
Back
Top Bottom