Kiongozi Miongoni
Senior Member
- Feb 6, 2021
- 196
- 256
Kuna katibu tawala anatosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atamleta, ila muache uchawi, mjadili maendeleo, Ina kahama inawapita mbali, na ikitoka kahama, huo Mkoa mi dampo la umasikini. Sinza baada ya nyumba mbili baa, shinyanga Kila nyumba hukosi mwangaTangu Sophia Mjema ateuliwe kuwa Mwenezi wa CCM, mkoa hauna mkuu wa mkoa, badala yake RC Simiyu anakaimu. Hii ya Kukaimu muda mrefu inachelewesha mambo, mipango ya maendeleo na utekelezaj wake.
Teua mama, majembe yako mengi tu mtaani hayana kazi.
Hayo ya mtaani yasiyo na kazi yaache yakae tu maana yakishaonjeshwa asali yanalewa yanaanza kuwambia vijana wajiajiri wakati yenyewe yamejiriwaTangu Sophia Mjema ateuliwe kuwa Mwenezi wa CCM, mkoa hauna mkuu wa mkoa, badala yake RC Simiyu anakaimu. Hii ya Kukaimu muda mrefu inachelewesha mambo, mipango ya maendeleo na utekelezaj wake.
Teua mama, majembe yako mengi tu mtaani hayana kazi.
Unataka kusemaje vyeo vya rc vifutwe ama? inabidi katba ibadilike maana wanateuliwa kwa mujibu wa katba tuliyo nayo iv sasa.na kama mikoa mingine wapo bas na shy aletwe.
Usiwadogoshe namna hiyo Ccm wataonekana wachanga ukisema miaka 46 bhana.Ccm wana zaidi ya miaka 46 ni lini mipango ya maendeleo na utekelezaji umefanikiwa kwa ufanisi. Ata aje nani shughuli ni ngumu