Rais Samia unaamini mtu kama Mchechu anastahili kuwa msajili wa Hazina?

Kumbuka huyu anatoka mkoa wa Njombe. Kwa upande wa serikali pia katibu mkuu kiongozi anatoka mkoa wa Njombe. Kwa ufupi ajira zote za serikali ziko mikononi mwa raia wa Njombe. YETU MACHO
Umezua tuhuma dhidi ya Nehemiah zisizo na miguu na mikono. Kimsingi umesukumwa na wivu , chuki na ukabila.

Nehemiah kurudishwa na kupandishwa cheo anabebwa na rekodi ya kazi yake nzuri .

Sababu ya jiwe kumuondoa Nehemiah NHC ilikuwa ni mgongano wa maslahi. Jiwe alitaka tenda zote za kujenga nyumba za NHC apewe Mayanga Construction (kampuni ya jiwe). Nehemiah alikuwa anaigomea Mayanga ili taratibu za zabuni zifuatwe.

Unaposema katibu mkuu kiongozi ni wa Njombe na Nehemiah ni wa Njombe hapa ndipo nakuona huna hoja. Unasukimwa na chuki za ukabila. Upuuzi kabisa huuu
 
Kwa proposal yake ya mashirika kuajiri, anaturudisha nyuma. Atolewe mara moja. Utenguzi with immediate effect. Mawazo yake hayo ni hatari sana.
 
Alitenguliwa DGIS na KMK/CS, let alone Nehemiah Kyando. Aondoke. Yeye anafaa kuongoza mashirika kama CRDB, NMB, TCB, TADB, DCB, AZANIA bank, siyo shirika la Umma.
Sekta binafsi waje kumchukua mtu wao huko.
 
Samia alivyoingia mwanzoni alipindua vitu vingi hadi vile vizuri ili kumkomoa Magu kwa nguvu ya Msoga.

Kaja kugundua alichemka vitu vingi. Anatamani angerudisha nyakati nyuma. Kenyatta alimshauri asitoke kwenye njia sababu Kenyatta alifahamu kwa afrika kutengeneza njia kama ile ni jasho na damu.

Sasa kila kitu ni worse. Kina mama wenzie wanaona aibu wao, wameficha sura zao.

Leo hii wanataka wampangie cha kufanya na kuongea. Anapotaka kufanya maamuzi wanampinga.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Acha ujinga wa ukabila.
Sasa UDOM wanafungua tawi Njombe, anakotoka VXC wa UDOM, anakotoka Msajili wa Hazina, anakotoka katibu mkuu kiongozi mdogo wake VC wa UDOM.
Mnyororo wa ukabila umeanza sasa!

Mwanzilishi ni Luhanjo anayeaminika anajua kuwafunda viongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…