mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Wana Jf
Nimefanya sana harakati za kilimo chenye tija ili kuinua pato la taifa pamoja nami mwenyewe kupata fedha za kujikimu.
Nilichokutana nacho ni kile buraha buraha za vijana wa benk wasio na ujuzi wowowte kuhusu kilimo.
Katika kilimo kuna mazao ya muda mrefu kama michikichi, embe, kahawa, chai, avocado, minazi, vanila na mapera.
Mimi kama mkulima wa kawaida, nimewahi kuhudhiria makongamano mengi ya kilimo, na yale makongamano ya elimu ya ujasilia mali.
Tuliwahi kudhaminiwa masomo na EU, ITC, ILO kusoma elemu ya ujasilia mali lakini ukija kwenye utendaji unakutana na banker ambaye ni mkopeshaji akiwa hajui gharama halisi za mazao hata uandaaji wa shamba.
Mtu huyu anashindwa kutoa mkopo hata aelezwe vipi matokeo mema yatakayopatikana kwenye kilimo husika.
Jambo baya sana ambalo mkulima wa chini awezi kufanikiwa kukopa ni kwamba dhamana anayotakiwa kuweka inakindhana sana na matakwa yao.
Wao wanataka nyumba tu wakati hata shamba la kudumu ni mojawapo ya dhamana.
Kwa kadhia hii Mama Samia nchi haitajikomboa katika kilimo ikiwa benki wamekalilishwa kuweka nyumba kama dhamana.
Nimefanya sana harakati za kilimo chenye tija ili kuinua pato la taifa pamoja nami mwenyewe kupata fedha za kujikimu.
Nilichokutana nacho ni kile buraha buraha za vijana wa benk wasio na ujuzi wowowte kuhusu kilimo.
Katika kilimo kuna mazao ya muda mrefu kama michikichi, embe, kahawa, chai, avocado, minazi, vanila na mapera.
Mimi kama mkulima wa kawaida, nimewahi kuhudhiria makongamano mengi ya kilimo, na yale makongamano ya elimu ya ujasilia mali.
Tuliwahi kudhaminiwa masomo na EU, ITC, ILO kusoma elemu ya ujasilia mali lakini ukija kwenye utendaji unakutana na banker ambaye ni mkopeshaji akiwa hajui gharama halisi za mazao hata uandaaji wa shamba.
Mtu huyu anashindwa kutoa mkopo hata aelezwe vipi matokeo mema yatakayopatikana kwenye kilimo husika.
Jambo baya sana ambalo mkulima wa chini awezi kufanikiwa kukopa ni kwamba dhamana anayotakiwa kuweka inakindhana sana na matakwa yao.
Wao wanataka nyumba tu wakati hata shamba la kudumu ni mojawapo ya dhamana.
Kwa kadhia hii Mama Samia nchi haitajikomboa katika kilimo ikiwa benki wamekalilishwa kuweka nyumba kama dhamana.