Wewe jamaa kusema ukweli, unapotosha jamii yako ya Tz.
Why? - Mimi natokea KE na sio mwanasiasa, in fact sipendi siasi, lakini hiyo point uliyoweka ati tunaitamani ardhi yenyu toka zamani, na tunainyemelea ili tuimiliki ju ya migodi, that's a gaddamn lie bro.
Sababu, hakuna venye Wakenya watakuja Tz kuchukua tu biashara hiyo bila rukhusu, vibali au hata kuzuiwa kabisa sababu ya sheria mlizonazo ju ya migodi, labda. Na hao mabeberu wote uliowataja hapo chini, ndio hatari kwa maendeleo ya nchi. Watakuja na pipi zao aka madolari, kuwaziba macho ili kuiba kimya kimya huku wakiwachekesha, mwisho wa siku, migodi ikikauka, hao kwao, walikokuendeleza kupitia nyie wagwana.
So usiseme ati KE tunatamani Tz, maybe kutamani kutembea lakini mengine yasiyo na msingi, unayajua wewe. Kila raia anapigania taifa lake, mambo ya ukoloni waachie Wachina. Mfano mzuri, SA, nchi iko chonjo ile, sasa wale jamaa wa Zimbabwe wanavyovuka border kiharamu haramu, serikali ya SA mbona haijawahi tuhumu nchi ya Zimbabwe kwa kutaka kuzomba ardhi na mali yao? Hiyo issue wana deal nayo, wenyewe, internally sababu ni wananchi na sio nchi wenye kulaumiwa.
Hiyo story ya kuoa Mkikuyu, hata hakuna aliyetaka kujua kabila mkuu. Ungesema tu, mkenya, hiyo point ingefika. Lakini venye chuki imekujaa dhidi ya wakikuyu, sijui walikufanyaje, unaona ulete ukabila hapa. Mambo yako ya ulioa kabila gani, hatuna haja nayo na hatutaki kujua mnaambiana nini kuhusu KE ndipo ifikie kutufananisha na Watusi.
Hapo umefeli sana. Leo news nacheki wadada wa Tz walioolewa KE, wanaongea na sijaskia mtu ata mmoja kutaja kabila la mumewe, wote ni "nimeolewa na mkenya" ama "mme wangu mkenya", sasa unashangaza kutangaza kabila la mkeo, ndio iweje vile?
"Pretend that you need them more, while your intention is to suck their blood"... Hii slogan mkuu sidhani ka kuna mtu mwenye akili timamu haijui na hajawahi itumia kwenye pita pita zake maishani. Sana sana makazini, ukiwa chini, lazma unyenyeke, ujifanye pumba, ila akilini uko na kitu ume target hapo kazini na huwezi kipata bila ya kuwa "mjanja-mjinga".
Sasa hapo kwa mama Mh. Suluhu kukutana na Mh. Uhuru, kila mtu ameenda akijua anavutia kwake, na ndio wajibu wao huo. So sioni mtu anayepigwa changa la macho na mwenzie hapo.
Kila rais, amekuja amejihami kiakili, wana usaidizi wa wataalamu wa mambo hayo, na wanataka mazuri kwa kila mwananchi wake. Sababu ukisema Rais Uhuru ni mjanja kuliko Mama Mh. Suluhu, huoni unamponda rais wenyu live?
Kila mmoja wetu alipewa akili ya kutumia kwenye maisha yetu ya kila siku. So ni wajibu wetu kuitumia vyema.
Kumbuka, hata hao mabeberu unaowasifia maana mko kwao, wao pia walitumia ujanja enzi hizo za ukoloni hadi wa leo pahali wamefika, wamejijenga vizuri katika kila Sector, hiyo yote ni ujanja, hakuna ujinga uliotumika hapo.
So, it's up to each and every individual member of both countries to decide,whether they'll make use of any chance given to them to expand economically and socially or they'll continue throwing endless trush, that'll take nobody nowhere in this life.
Think about that! 🇰🇪 🇹🇿