UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Asante kwa kutujulisha kuwa umeoa mkikuyu wa Kenya mliyekutana Australia. Ila kama haya mengine ndiyo mawazo yako basi nachelea kusema kuwa bado unaishi kwenye zama za miaka ya uhuru (sixties) tuliyokuwa tukiwaita wakenya manyang'au na exposure yako haijakusaidia kitu.Rais wangu,na mama yangu Samia,kwanza nakupongeza sana kwa hatua uliyochukua ya kuanza kuboresha mahusiano ya kidiplomasia na Kenya kwa sababu yalianza kufa kimya kimya, yaani Tulikuwa na uhusiano wa kinafiki,ktk hili sina muda wa kulieleza kwa kina kwa sababu lipo wazi kabisa.
Rais wangu,Tasnia ya mahusiano ya Taifa na Taifa inahitaji akili nyingi sana,kwa sababu, ktk slogan ya kijasusi kila Taifa la jirani yako ni adui yako,kwa maana ya kwamba linaweza hata kutumika kukupiga na adui wa mbali.
Hii ina maana ya kwamba,tunakuwa majirani na ndugu tusioaminiana kwa kila kitu.
Ktk vinywa vyetu sisi ni marafiki wa kufa na kuzikana, ila ktk uhalisia sisi ni adui.
Rais wangu, Kenyatta ni Rais mwenye akili mno na mwingi wa hekima, kwa nje utamwona kawaida, lakini Kenyatta ni bonge la Intelligent.
Rais wangu, hakuna anayeweza kukueleza ukweli, kwa sababu Chama chenu kina slogan ya kusifia kila kitu, hiyo imefanya hadi idara ya usalama wa Taifa TISS,kuwa dhaifu kupindukia.
Rais wangu,hivi unajua kuwa, Kenya kwa miongo mingi mno iliyopita imekuwa ikiitamani sana ardhi ya Tanzania? Unaposema kuwa unawakaribisha Wakenya wawekeze kwenye madini,maana yake ni kwamba unawapa mwanya wa kumiliki ardhi ya Tanzania ili watimize ndoto zao,ktk hili hapana,waite Wa Australia,Wamarekani, Waingereza,Wa Canada, lakini siyo Kenya ktk sekta ya madini.
Wakenya na Wachina hawana Tofauti, mimi nimeolea kenya,mke wangu ni mkikuyu,Tulikutana Australia,na wala hajui kuwa jina langu fake ni "My son drink water",nawajua vizuri sana hawa watu,hawana Tofauti na Watusi, ukweli unauma ila hauna budi kusemwa.
Hivi nyie TISS kazi gani mnafanya hadi mnashindwa ku edit Hotuba ya Rais kimataifa? Mnachojua ni kuteka watu tu, hili ndo Tatizo la kujaza UVCCM kwenye idara nyeti kama hii.
Rais wangu, ziara yako Kenya ilikuwa ni ya manufaa ya Kenya na si Tanzania, Kenyatta alikuwa ameshafanya calculation nzuri sana, kitaalamu inaitwa,"Pretend that you need them more, while your intention is to suck their Blood".
Sikatai kwamba Wakenya wasiwekeze Tanzania, ila hawa watu ni wajanja kama nyoka.
Message sent and Delivered
Uwoga wa Watanzania ndiyo umaskini wao. Ni vizuri ufanye interaction na mtu mwerevu aliyekuzidi ndiyo utaona udhaifu wako.Rais wangu,na mama yangu Samia,kwanza nakupongeza sana kwa hatua uliyochukua ya kuanza kuboresha mahusiano ya kidiplomasia na Kenya kwa sababu yalianza kufa kimya kimya, yaani Tulikuwa na uhusiano wa kinafiki,ktk hili sina muda wa kulieleza kwa kina kwa sababu lipo wazi kabisa.
Rais wangu,Tasnia ya mahusiano ya Taifa na Taifa inahitaji akili nyingi sana,kwa sababu, ktk slogan ya kijasusi kila Taifa la jirani yako ni adui yako,kwa maana ya kwamba linaweza hata kutumika kukupiga na adui wa mbali.
Hii ina maana ya kwamba,tunakuwa majirani na ndugu tusioaminiana kwa kila kitu.
Ktk vinywa vyetu sisi ni marafiki wa kufa na kuzikana, ila ktk uhalisia sisi ni adui.
Rais wangu, Kenyatta ni Rais mwenye akili mno na mwingi wa hekima, kwa nje utamwona kawaida, lakini Kenyatta ni bonge la Intelligent.
Rais wangu, hakuna anayeweza kukueleza ukweli, kwa sababu Chama chenu kina slogan ya kusifia kila kitu, hiyo imefanya hadi idara ya usalama wa Taifa TISS,kuwa dhaifu kupindukia.
Rais wangu,hivi unajua kuwa, Kenya kwa miongo mingi mno iliyopita imekuwa ikiitamani sana ardhi ya Tanzania? Unaposema kuwa unawakaribisha Wakenya wawekeze kwenye madini,maana yake ni kwamba unawapa mwanya wa kumiliki ardhi ya Tanzania ili watimize ndoto zao,ktk hili hapana,waite Wa Australia,Wamarekani, Waingereza,Wa Canada, lakini siyo Kenya ktk sekta ya madini.
Wakenya na Wachina hawana Tofauti, mimi nimeolea kenya,mke wangu ni mkikuyu,Tulikutana Australia,na wala hajui kuwa jina langu fake ni "My son drink water",nawajua vizuri sana hawa watu,hawana Tofauti na Watusi, ukweli unauma ila hauna budi kusemwa.
Rais wangu, ziara yako Kenya ilikuwa ni ya manufaa ya Kenya na si Tanzania, Kenyatta alikuwa ameshafanya calculation nzuri sana, kitaalamu inaitwa,"Pretend that you need them more, while your intention is to suck their Blood".
Sikatai kwamba Wakenya wasiwekeze Tanzania, ila hawa watu ni wajanja kama nyoka.
Message sent and Delivered
Je, wajua kuwa wamarekani ndo wenyewe hivyo viwanda huko China, na walivihamishia huko ili kupa 'cheap labour' wa kichina katika kuzalisha bidhaa zao kwa wingi?Marekani yenyewe unayoisema ndio inaongoza kuwa na wafanyakazi wa kigeni kuliko nchi zote duniani
Ndio nchi inayoongoza kununua bidhaa toka China kuliko nchi zote za America.
We jamaa vipi wewe uwekezaji gani unautaka?
Kwenye ubinafsi ndio hapo napohofia tu maana sie watanzania ni social beings ila hawa wenzetu watakuja kutumia ile generous calibre yetu kutuumiza! It has nothing to do na uoga ila curiosity tu maana tulishaliona hili hata kwenye professionalism.Sio mbaya kumpa madam President na Wakenya the "benefit of the doubt" kwa maana labda bunge la Kenya watabadilisha sheria zao ili Watanzania waweze kufanya biashara "faster" bila vikwazo.
Leo Rostam Aziz ameweka wazi kupigwa sound kwa miaka minne (2017-21) licha ya kuonana na Rais Uhuru Kenyatta na akapewa baraka zote za kuwekeza Kenya kwenye gas kwa mtaji wa USD 30 mil (sawia na TZS 69.57 bn)
Rostam Aziz ana makampuni makubwa yafuatayo
Tunapoenda mbele kwa ahadi nzuri za madam President baada ya kupata fursa ya kuhutubua mabunge mawili ya Kenya, ni lazima tukumbuke yafuatayo;
- Shareholding in Vodacom Tanzania, the leading mobile telephone network in the country, a subsidiary of Vodafone.
- Caspian Limited, the largest contract mining company in Tanzania. Mining contractor to DeBeers, Barrick Gold
- Ownership of the port of Dar es Salaam, in partnership with Hutchison Wampoa
- Wembere Hunting Safaris Limited
- Africa Tanneries Limited
- Tanzania Leather Industries Limited
Kenya wamewahi kutaka kufanya smuggling ya vifaranga, vilipokamatwa na kupigwa moto, walilalama kana kwamba ilikuwa ni sawa kuvunja sheria kwa kuingiza viranga bila kufuata taratibu za kisheria na wao wanajua ni nini cha kufanya upaoingiza mifugo.
Kenya walifanya ukora kwa kupora mali za jumuiya ya Afrika Mashariki baada ya jumuia kuvunjika. Hata ndoa huwa zinavunjia, Jeff Bezoz na Mckenzie Scott wameachana na kugawana mali. Hata Barclays na ABSA waliwahi ku-merge biashara na baadae wakagawana kila mmoja chake. Kuna na mbia anaejinasibu kama ndugu ila moyoni ni mkora, hapa iko haja kuingia nao kwa tahadhari sawia na JK alivyowahi kutuasa, akili za kuambiwa, changanya na zako.
Ni hawahawa Kenya wakiongoza kundi la "coalition of the willing"; kama udugu wanaotaka uwe wa kweli na wenye equity, ilitakiwa suala la kuwa na vitambulisho vya kitaifa kama hati ya kuingia nchi yoyote na kupiga mishe zozote, ilitakiwa JK alipowataka watupe muda, wangetuelewa. Uhuru alikuwepo wakati huo wa hizo "mishe mishe" za umoja wa walio tayari.
Kenya wanavyojinasibu kama ndugu, wanajua tulikuwa tunapoteza mapato mengi ya kikodi kutokana na smuggling ya Tanzanite kupitia Kenya. Unapokuwa na jirani anajinasibu ni ndugu, na anaona unabiwa mali zako na hakuwahi kukusaidia kukamata mwizi, na yeye kufaidika na huo wizi, huyo ndugu kuna haja ya kuwa na tahadhari nae kama kweli ni ndugu wa kweli.
Nihitimishe kwa kusema, tusubiri kuona kama kweli sheria zao zitabadilika na kama kweli sense of humanity na civilization wataionesha kuwajibika ikiwamo kubadili sheria zao na kuwa na equitable treatment kati yetu Tanzania na wao wenyeji pale tukienda kwao.
Ifahamike, kuna Wakenya wengi sana tumewapa fursa za kununua vitunguu mpaka mashambani, jambo ambalo kwao isingewezekana, kuna Wakenya kibao wanakuja Chalinze kununua nanasi; Tanzania kuna wakenya kibao wamejificha tukiotoa hao wanaofahamika kama CEO wa kampuni tokea Kenya.
Hongera madam President kupata heshima ya kuhutubia mabunge ya Kenya, tuishi nao kwa akili sana hawa majirani ambao mioyo yao kihistoria ni watu wa ndimi mbili;
JMT, kazi iendelee. Zege halilali.
Jamaa watakuja kubeba kila kitu na kuki brand made in Kenya hata viwanda vikiwa bongo! Nasubiria around 2025 matusi kwa mama Samia kuwa alikaribisha Nyang’au zilizopora fursa na kupeana mashavu wao kwa wao!Mama anapotoshwa, Yaani wenyewe wanabaguana kwa ukabila, ndio waje waelewani na Watanzania
Jamaa unadanganya mno, yaani wafanyakazi wengi wa marekani ni wachina, marekani Ina import Sana toka China,Marekani yenyewe unayoisema ndio inaongoza kuwa na wafanyakazi wa kigeni kuliko nchi zote duniani
Ndio nchi inayoongoza kununua bidhaa toka China kuliko nchi zote za America.
We jamaa vipi wewe uwekezaji gani unautaka?
Tutaogopa Wakenya mpaka lini? Waje tujifunze maarifa, wakitushinda tunawaondoa.Jamaa watakuja kubeba kila kitu na kuki brand made in Kenya hata viwanda vikiwa bongo! Nasubiria around 2025 matusi kwa mama Samia kuwa alikaribisha Nyang’au zilizopora fursa na kupeana mashavu wao kwa wao!
Mkenya anaweza pambana na mtu strong kama Mchagga labda ila sie milenda milenda wa pwani huku itabaki story! Nasubiria kusikia korosho zetu ziwe branded made in Kenya😅😂😂😅😅
Sawa ngoja tuoneTutaogopa Wakenya mpaka lini? Waje tujifunze maarifa, wakitushinda tunawaondoa.
Mhubiri 11:4 inasema "Anayengoja upepo hatapanda mbegu, anayesubiri mawingu yatoweke, hatavuna kitu."
Umeoa mkenya alafu unasema sio watu, tushike lipi?Rais wangu,na mama yangu Samia,kwanza nakupongeza sana kwa hatua uliyochukua ya kuanza kuboresha mahusiano ya kidiplomasia na Kenya kwa sababu yalianza kufa kimya kimya, yaani Tulikuwa na uhusiano wa kinafiki,ktk hili sina muda wa kulieleza kwa kina kwa sababu lipo wazi kabisa.
Rais wangu,Tasnia ya mahusiano ya Taifa na Taifa inahitaji akili nyingi sana,kwa sababu, ktk slogan ya kijasusi kila Taifa la jirani yako ni adui yako,kwa maana ya kwamba linaweza hata kutumika kukupiga na adui wa mbali.
Hii ina maana ya kwamba,tunakuwa majirani na ndugu tusioaminiana kwa kila kitu.
Ktk vinywa vyetu sisi ni marafiki wa kufa na kuzikana, ila ktk uhalisia sisi ni adui.
Rais wangu, Kenyatta ni Rais mwenye akili mno na mwingi wa hekima, kwa nje utamwona kawaida, lakini Kenyatta ni bonge la Intelligent.
Rais wangu, hakuna anayeweza kukueleza ukweli, kwa sababu Chama chenu kina slogan ya kusifia kila kitu, hiyo imefanya hadi idara ya usalama wa Taifa TISS,kuwa dhaifu kupindukia.
Rais wangu,hivi unajua kuwa, Kenya kwa miongo mingi mno iliyopita imekuwa ikiitamani sana ardhi ya Tanzania? Unaposema kuwa unawakaribisha Wakenya wawekeze kwenye madini,maana yake ni kwamba unawapa mwanya wa kumiliki ardhi ya Tanzania ili watimize ndoto zao,ktk hili hapana,waite Wa Australia,Wamarekani, Waingereza,Wa Canada, lakini siyo Kenya ktk sekta ya madini.
Wakenya na Wachina hawana Tofauti, mimi nimeolea kenya,mke wangu ni mkikuyu,Tulikutana Australia,na wala hajui kuwa jina langu fake ni "My son drink water",nawajua vizuri sana hawa watu,hawana Tofauti na Watusi, ukweli unauma ila hauna budi kusemwa.
Rais wangu, ziara yako Kenya ilikuwa ni ya manufaa ya Kenya na si Tanzania, Kenyatta alikuwa ameshafanya calculation nzuri sana, kitaalamu inaitwa,"Pretend that you need them more, while your intention is to suck their Blood".
Sikatai kwamba Wakenya wasiwekeze Tanzania, ila hawa watu ni wajanja kama nyoka.
Message sent and Delivered
Nimekuelewa zaidi ya sanaHivi akisema waje ina maana anawaita kiholela au wakija kuna utaratibu unafuatwa, kenyatta kasema tukafanye biashara bila permit ila sidhani kama amemaanisha wamachinga wakaje Nairobi, sheria itakayotumika kuwabana Australia, Marekani,China na yyt yule itawabana na Wakenya pia.
Ninachikiona mimi ni kwamba Watanzania kwa miaka mingi tumekuwa waoga wa ushindani, kila kitu tunaogopa tutapigwa, tumelala wakati fursa zimejaa kila kona, tuamke tukimbizane na dunia, nimebahatika kutembea hii Nchi karibu mikoa yote ya Tanzania, hakuna mkoa usio na utajiri, lakini angalia watu wake, unachoka kabisa jinsi walivyo maskini, wakati majirani wakija ndani ya muda mfupi tu wanatengeneza hela ya hatari.
Nimalizie kwa kutoa mfano mmoja wa sekta ya madini, Wazawa kwenye eneo la madini tumelala sana, kuna wakati niilikuwa maeneo ya Isimani, nikatembezwa porini milimani ndani ndani kabisa nikiambiwa kuna madini, kweli niliwakuta vijana wanafanya kazi ya uchimbaji na wanapata, kuna dhahabu na vito vya kuvuna miaka na miaka, nani wa kwenda, hakuna! vijana wapo kwenye keyboard wanalalamika Wakenya watatuzidi, jamani tuamke kama ni kuzidiwa wakenya walishatuzidi sana tu, cha msingi tujifunze kutoka kwao.
Namuunga mkono Rais kuwakaribisha Wakenya au yoyote yule, cha msingi sheria zifuatwe.
msoga wanatuharibia hii nchi.Nimekaa na Kusoma pia na hawa Wakenya hawana Ujanja ( Usamjo ) huu mnaousemea hapa tena hakuna Watu ambao Tanzania imewatega pazuri na Wao pia kuingia Mtegoni Kwetu kama hawa Wakenya.
Kuhusu Ujasusi sidhani kama kuna Taifa hapa Afrika Mashariki linaogopeka na Idara yake ya Ujasusi iko vizuri na inajua inachokifanya dhidi ya Marafiki Maadui kama ya Tanzania ( namaanisha TISS ) na kidogo ungeniambia kuhusu Rwanda ningekuelewa kutokana na sababu kadhaa za Kimkakati walizokuwa nazo ila sitoziweka hadharani kwa sasa.