MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kuwa Siku hizi ili upate Uteuzi Serikalini au katika Taasisi au Mashirika za / ya Serikali mpaka Ubalozini na kupata Ziara za kwenda nje unatakiwa Kuandaa kati ya Shilingi Milioni Mbili hadi Milioni Saba na wakati mwingine hata Milioni 10 na Milioni za Kitanzania.
Na Mheshimiwa Rais Samia mwanao na Raia Mwema Mimi MINOCYCLINE nilipochoka zaidi ni pale nilipoambiwa kuwa Waratibu Wakuu wa huu Upuuzi na Uhuni ni baadhi ya Watu wako UNAOWAAMINI WA TANZANIA ( UWT ) ambao nao kwakuwa baadhi yao ni Mabosi na Wanakumudu ni kwamba wakishapokea hizo Fedha wanazichikichia kisha Kukufuata na Kukuletea Majina ya Wanaokufaa Kiutendaji na Wewe kwakuwa huna Hiyana na hutaki Mambo mengi huwa Unateua kwani uko very busy na Kutuhangaikia na Kutupigania Watanzania na hizi Njaa na Shida zetu zisizoisha na huenda zisiishe hadi tunaingia Kaburini.
Mheshimiwa Rais Samia kilichonifanya niamini hiki ( hili ) ni kwamba 85% ya walionitaarifu juu ya huu Uhuni na Upuuzi ni Watu ambao wanatoka huko huko na katika maeneo, Taasisi na Mashirika hayo hayo.
Mheshimiwa Rais Samia nakuomba lipokee hili Kiumakini kabisa na lifanyie Kazi kwani lipo na sasa linaanza Kuzoeleka na hata Kuota Mizizi hapa Kwetu nchini Tanzania.
Nikutakie tu Majukumu Mema Rais.
Na Mheshimiwa Rais Samia mwanao na Raia Mwema Mimi MINOCYCLINE nilipochoka zaidi ni pale nilipoambiwa kuwa Waratibu Wakuu wa huu Upuuzi na Uhuni ni baadhi ya Watu wako UNAOWAAMINI WA TANZANIA ( UWT ) ambao nao kwakuwa baadhi yao ni Mabosi na Wanakumudu ni kwamba wakishapokea hizo Fedha wanazichikichia kisha Kukufuata na Kukuletea Majina ya Wanaokufaa Kiutendaji na Wewe kwakuwa huna Hiyana na hutaki Mambo mengi huwa Unateua kwani uko very busy na Kutuhangaikia na Kutupigania Watanzania na hizi Njaa na Shida zetu zisizoisha na huenda zisiishe hadi tunaingia Kaburini.
Mheshimiwa Rais Samia kilichonifanya niamini hiki ( hili ) ni kwamba 85% ya walionitaarifu juu ya huu Uhuni na Upuuzi ni Watu ambao wanatoka huko huko na katika maeneo, Taasisi na Mashirika hayo hayo.
Mheshimiwa Rais Samia nakuomba lipokee hili Kiumakini kabisa na lifanyie Kazi kwani lipo na sasa linaanza Kuzoeleka na hata Kuota Mizizi hapa Kwetu nchini Tanzania.
Nikutakie tu Majukumu Mema Rais.