Rais Samia unda Kikosi Maalum cha Ujasusi ili kukupa Ukweli wa hiki ninachokisikia na kinachosikika

Rais Samia unda Kikosi Maalum cha Ujasusi ili kukupa Ukweli wa hiki ninachokisikia na kinachosikika

Mama Samia alisema kuna magodfather humfuata na kulalamika pale watu wao wanapotenguliwa. Tena alisema huja mbiombio kwake. Huenda ni kweli kuna watu huwashika watu mikono
Nitumie hiyo link mkuu aliyosema hivyo
 
umesahau jambo moja hapo “kwa upande wa dada zetu” sehemu zao za Siri zimechakazwa haswa.
 
Back
Top Bottom