mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,297
- 13,678
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo yako sasa,jikite kwenye mada Kama huna point pita kushoto🙅Hivi unamchukulia Rais ni kilaza Sana eti?
Mama Samia alisema kuna magodfather humfuata na kulalamika pale watu wao wanapotenguliwa. Tena alisema huja mbiombio kwake. Huenda ni kweli kuna watu huwashika watu mikonoHivi unamchukulia Rais ni kilaza Sana eti?
Umesema Ukweli mtupu ambao nina uhakika kuwa Majuha wengi hawatakuelewa na watakuja si tu Kukupinga bali hata Kukushambulia pia.Dawa sio kutoipa CCM kura, dawa ni kumtafuta Magufuli mwingine. Yaani Rais ambaye ni mfuatiliaji. Rais ambaye anajua nini kinachoendelea, sio wa kusubiri kuambiwa tu na washauri wake. Washauri nao ni watu wana mipango yao na tamaa zao. Hawatoagi ushauri sahihi wakati wote.
Mama Samia hii kazi haimfai sana, sema ndo vile tena bahati imemuangukia hawezi kuiachia.
Hayati aliwezaje kuwa nacho na huyu wa Leo ( aliye Hai ) ashindwe kuwa nacho?ok, sawa, kivipi kiundwe kikikosi kingine wakati hao uwt wapo? Inamaana hicho kikosi maalumu kitaundwa na malaika watupu?
Huyu Mama ana upeo mdogo mno.Dawa sio kutoipa CCM kura, dawa ni kumtafuta Magufuli mwingine. Yaani Rais ambaye ni mfuatiliaji. Rais ambaye anajua nini kinachoendelea, sio wa kusubiri kuambiwa tu na washauri wake. Washauri nao ni watu wana mipango yao na tamaa zao. Hawatoagi ushauri sahihi wakati wote.
Mama Samia hii kazi haimfai sana, sema ndo vile tena bahati imemuangukia hawezi kuiachia.
Ukiona nakuja na Taarifa hapa jua ni kweli na Nimeshajiridhisha nayo pasi na Shaka.Mama Samia alisema kuna magodfather humfuata na kulalamika pale watu wao wanapotenguliwa. Tena alisema huja mbiombio kwake. Huenda ni kweli kuna watu huwashika watu mikono
TISS ya sasa ifumuliwe yote kwani imejaa Uozo mwingi na ina Watendaji wengi ( siyo Wote ) wasio na Maadili, wala Rushwa na Watu wa Madili ya hovyo na siyo ya halali.TISS wanabeba lawama Tanzania nzima sababu ya kubebana
Unastahii kutunukiwa Honorary Doctorate yako Ndugu kwa Kuusema huu Ukweli bila ya Unafiki wola Uwoga wowote ule. Heko Kwako.Huyu Mama ana upeo mdogo mno.
Waingie mara ngapi labda Ndugu yangu?Hatari hiyo ,tuneweza kuingiza Interahamwe kwenye taasisi zetu.
Acha wivu wewe! Unayemtaka achukue hatua ndiye aliyeruhusu watu wale kwa urefu wa kamba zao.Kuwa Siku hizi ili upate Uteuzi Serikalini au katika Taasisi au Mashirika za / ya Serikali mpaka Ubalozini na kupata Ziara za kwenda nje unatakiwa Kuandaa kati ya Shilingi Milioni Mbili hadi Milioni Saba na wakati mwingine hata Milioni 10 na Milioni za Kitanzania.
Na Mheshimiwa Rais Samia mwanao na Raia Mwema Mimi MINOCYCLINE nilipochoka zaidi ni pale nilipoambiwa kuwa Waratibu Wakuu wa huu Upuuzi na Uhuni ni baadhi ya Watu wako UNAOWAAMINI WA TANZANIA ( UWT ) ambao nao kwakuwa baadhi yao ni Mabosi na Wanakumudu ni kwamba wakishapokea hizo Fedha wanazichikichia kisha Kukufuata na Kukuletea Majina ya Wanaokufaa Kiutendaji na Wewe kwakuwa huna Hiyana na hutaki Mambo mengi huwa Unateua kwani uko very busy na Kutuhangaikia na Kutupigania Watanzania na hizi Njaa na Shida zetu zisizoisha na huenda zisiishe hadi tunaingia Kaburini.
Mheshimiwa Rais Samia kilichonifanya niamini hiki ( hili ) ni kwamba 85% ya walionitaarifu juu ya huu Uhuni na Upuuzi ni Watu ambao wanatoka huko huko na katika maeneo, Taasisi na Mashirika hayo hayo.
Mheshimiwa Rais Samia nakuomba lipokee hili Kiumakini kabisa na lifanyie Kazi kwani lipo na sasa linaanza Kuzoeleka na hata Kuota Mizizi hapa Kwetu nchini Tanzania.
Nikutakie tu Majukumu Mema Rais.
You're a damn Fool.Acha wivu wewe! Unayemtaka achukue hatua ndiye aliyeruhusu watu wale kwa urefu wa kamba zao.
Kwahiyo unataka kusema Gazeti la MWANANCHI ni sawa sawa na la The CITIZEN Ndugu?Genta = Minocycline haina kificho ukiwa wewe ni wewe tu hata ufanyeje
Ban inaisha lini katika I'd yako ya Genta?Kwahiyo unataka kusema Gazeti la MWANANCHI ni sawa sawa na la The CITIZEN Ndugu?
Kama kawaida umemaliza zile gesti opposite na lango la kuingia nyegezi stendi hasa Ile yenye kigorofa nimevuna sana vidada vyenu vya pale SAUT MwanzaKwahiyo unataka kusema Gazeti la MWANANCHI ni sawa sawa na la The CITIZEN Ndugu?
Mr ? Rais ni Tasisi so inawezekana uyasemayo yapo ila siyo Kwa asilimia ambazo unatuaminisha,. Nafasi ya Uraisi haingozwi kama uwazavyo,tusipotoshaneKuwa Siku hizi ili upate Uteuzi Serikalini au katika Taasisi au Mashirika za / ya Serikali mpaka Ubalozini na kupata Ziara za kwenda nje unatakiwa Kuandaa kati ya Shilingi Milioni Mbili hadi Milioni Saba na wakati mwingine hata Milioni 10 na Milioni za Kitanzania.
Na Mheshimiwa Rais Samia mwanao na Raia Mwema Mimi MINOCYCLINE nilipochoka zaidi ni pale nilipoambiwa kuwa Waratibu Wakuu wa huu Upuuzi na Uhuni ni baadhi ya Watu wako UNAOWAAMINI WA TANZANIA ( UWT ) ambao nao kwakuwa baadhi yao ni Mabosi na Wanakumudu ni kwamba wakishapokea hizo Fedha wanazichikichia kisha Kukufuata na Kukuletea Majina ya Wanaokufaa Kiutendaji na Wewe kwakuwa huna Hiyana na hutaki Mambo mengi huwa Unateua kwani uko very busy na Kutuhangaikia na Kutupigania Watanzania na hizi Njaa na Shida zetu zisizoisha na huenda zisiishe hadi tunaingia Kaburini.
Mheshimiwa Rais Samia kilichonifanya niamini hiki ( hili ) ni kwamba 85% ya walionitaarifu juu ya huu Uhuni na Upuuzi ni Watu ambao wanatoka huko huko na katika maeneo, Taasisi na Mashirika hayo hayo.
Mheshimiwa Rais Samia nakuomba lipokee hili Kiumakini kabisa na lifanyie Kazi kwani lipo na sasa linaanza Kuzoeleka na hata Kuota Mizizi hapa Kwetu nchini Tanzania.
Nikutakie tu Majukumu Mema Rais.