Rais Samia unda Kikosi Maalum cha Ujasusi ili kukupa Ukweli wa hiki ninachokisikia na kinachosikika

Umesema Ukweli mtupu ambao nina uhakika kuwa Majuha wengi hawatakuelewa na watakuja si tu Kukupinga bali hata Kukushambulia pia.
 
ok, sawa, kivipi kiundwe kikikosi kingine wakati hao uwt wapo? Inamaana hicho kikosi maalumu kitaundwa na malaika watupu?
Hayati aliwezaje kuwa nacho na huyu wa Leo ( aliye Hai ) ashindwe kuwa nacho?
 
Huyu Mama ana upeo mdogo mno.
 
Mama Samia alisema kuna magodfather humfuata na kulalamika pale watu wao wanapotenguliwa. Tena alisema huja mbiombio kwake. Huenda ni kweli kuna watu huwashika watu mikono
Ukiona nakuja na Taarifa hapa jua ni kweli na Nimeshajiridhisha nayo pasi na Shaka.

I'm MINOCYCLINE 'Gifted Intellectually, Knowledgeable Challenger and Well Informed Person' sawa?
 
TISS wanabeba lawama Tanzania nzima sababu ya kubebana
TISS ya sasa ifumuliwe yote kwani imejaa Uozo mwingi na ina Watendaji wengi ( siyo Wote ) wasio na Maadili, wala Rushwa na Watu wa Madili ya hovyo na siyo ya halali.
 
Acha wivu wewe! Unayemtaka achukue hatua ndiye aliyeruhusu watu wale kwa urefu wa kamba zao.
 
Genta = Minocycline haina kificho ukiwa wewe ni wewe tu hata ufanyeje
 
Kwahiyo unataka kusema Gazeti la MWANANCHI ni sawa sawa na la The CITIZEN Ndugu?
Kama kawaida umemaliza zile gesti opposite na lango la kuingia nyegezi stendi hasa Ile yenye kigorofa nimevuna sana vidada vyenu vya pale SAUT Mwanza
 
Mr ? Rais ni Tasisi so inawezekana uyasemayo yapo ila siyo Kwa asilimia ambazo unatuaminisha,. Nafasi ya Uraisi haingozwi kama uwazavyo,tusipotoshane
 
Tatizo ni mfumo, ndio maana majina huwa yanajirudia yale yale; ingelikuwa wanaopewa nafasi wanahojiwa kwenye vyombo vya habari na wananchi wanawapigia kura kama bss, ingekuwa vizuri sana, lakini mpaka kufikia huko itahitajika marekebisho ya mfumo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…