Mama Samia, Rais wetu mpendwa,
Unda Tume ya watalaam wetu wa ndani na nje kuchunguza kupigwa risasi kwa Tundu Lissu, kupotea kwa Saanane Pamoja na watu wengine.
Kama nchi tunaonekana wa hovyo sana kuwa na serikali ambayo haiko tayari kujua kilichowapata raia wake.
Tunafananishwa na Kenya ya hovyo ya miaka ya 80 wakati wa Moi.
Hivi unajisikiaje ukisikia kilio Cha Mamake Saanane? Kijana maskini ambaye aliamua kujipa elimu mpaka kukaribia kuwa Dr wa Ph.D kwa faida ya familia yake?
Sisi sio wanyama, ni binadamu, haiwezekani tukawa Linda watu waovu. Jisafishe mikono yako kwa kuruhusu vyombo vya dola kutoa Majibu ya haya matukio.
Watu wanaweza kukaa kimya Lakini kwa ujumla unaonekana Huna Huruma kwa mwanamke mwenzako, Mamake Saanane Pamoja na wengine wote waliopotezwa. Kukaa kimya maana yake na wewe ulikubaliana na unyama huo.
Mama Mimi nakupenda sana Lakini kwa kukaa na uchafu huu, hapana, Hata Siwezi kukusogelea. Mikono yako ina damu za hao waliouliwa.
Unda Tume ya watalaam wetu wa ndani na nje kuchunguza kupigwa risasi kwa Tundu Lissu, kupotea kwa Saanane Pamoja na watu wengine.
Kama nchi tunaonekana wa hovyo sana kuwa na serikali ambayo haiko tayari kujua kilichowapata raia wake.
Tunafananishwa na Kenya ya hovyo ya miaka ya 80 wakati wa Moi.
Hivi unajisikiaje ukisikia kilio Cha Mamake Saanane? Kijana maskini ambaye aliamua kujipa elimu mpaka kukaribia kuwa Dr wa Ph.D kwa faida ya familia yake?
Sisi sio wanyama, ni binadamu, haiwezekani tukawa Linda watu waovu. Jisafishe mikono yako kwa kuruhusu vyombo vya dola kutoa Majibu ya haya matukio.
Watu wanaweza kukaa kimya Lakini kwa ujumla unaonekana Huna Huruma kwa mwanamke mwenzako, Mamake Saanane Pamoja na wengine wote waliopotezwa. Kukaa kimya maana yake na wewe ulikubaliana na unyama huo.
Mama Mimi nakupenda sana Lakini kwa kukaa na uchafu huu, hapana, Hata Siwezi kukusogelea. Mikono yako ina damu za hao waliouliwa.