Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
this is how politics work,Astaghfirullah! Aibu naona mimi...
u stay aside from taking part on it don't blame to be ruled by a fool.
Vindu vya chenjaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
this is how politics work,Astaghfirullah! Aibu naona mimi...
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]......Ghafla nimemkumbuka bamdogo pita wa royo tua
AmiinaUzalendo sio lazima uvae bracelets, scarf, tie n.k vyenye rangi ya bendera ya taifa.
Unachokifanya ndio uzalendo, wala sio limbwata. Hatuna chaguo, ispokuwa kumpenda na kumlinda kwa ajili ya taifa.
Tusi kubwa kwa Rais hilo.Mhe. Mwenyekiti wa CCM Ndugu Samia Suluhu. Kwanza nikupongeze kwa kumpa nafasi Makonda. Umefanua jambo kubwa pengine zaidi ya kile ulichokilenga.
Wengi wanaamini kuwa umerudhisha fadhila kwa kijana aliyepanda mbegu ya fikra ya uteuzi wako kama mwanamke wa kwanza kwa nafasi ya Makamu wa Rais. Kwa ni fadhila pia hongera maana sio wote wenye moyo wa shukurani.
Sasa Kijana ameanza kazi kwa kasi na style tofauti na yako.
Jambo la kusikitika ni pale kijana anafanya kazi ya kuibua maovu katika mikutano yake na wakati mwingine inahitajika mamlaka za juu au za uteuzi ili kushughulikia changamoto.
Kwa mamlaka ya MAKONDA, hawezi kutumbua au kumsimamisha kazi mtumishi wa umma.
Ni vema Rais ukajitokeza katika mikutano hiyo kwa njia yaaamuzi. Piga simu moja kwa moja au uweke access ya kufikia maamuzi ya haraka ili kuonesha kuwa Makonda yupo kukuwakilisha.
Labda kama hutambui jambo moja ambalo watanzania wanataka kuona ni uwajibikaji.
Panapotokea Shaka yoyote katika utendaji wa mtu Serikalini, angalau basi chukua hatua za kumsimamisha apishe uchunguzi.
Sasa Kila Kona Makonda anakutana na kero na uonevu, lakini hana malaka.
Itafikia hatua Makonda atakua maarufu kuliko aliyemtuma kazi.
Wassukuma hamna akili,japo ni watani zanguMhe. Mwenyekiti wa CCM Ndugu Samia Suluhu. Kwanza nikupongeze kwa kumpa nafasi Makonda. Umefanua jambo kubwa pengine zaidi ya kile ulichokilenga.
Wengi wanaamini kuwa umerudhisha fadhila kwa kijana aliyepanda mbegu ya fikra ya uteuzi wako kama mwanamke wa kwanza kwa nafasi ya Makamu wa Rais. Kwa ni fadhila pia hongera maana sio wote wenye moyo wa shukurani.
Sasa Kijana ameanza kazi kwa kasi na style tofauti na yako.
Jambo la kusikitika ni pale kijana anafanya kazi ya kuibua maovu katika mikutano yake na wakati mwingine inahitajika mamlaka za juu au za uteuzi ili kushughulikia changamoto.
Kwa mamlaka ya MAKONDA, hawezi kutumbua au kumsimamisha kazi mtumishi wa umma.
Ni vema Rais ukajitokeza katika mikutano hiyo kwa njia yaaamuzi. Piga simu moja kwa moja au uweke access ya kufikia maamuzi ya haraka ili kuonesha kuwa Makonda yupo kukuwakilisha.
Labda kama hutambui jambo moja ambalo watanzania wanataka kuona ni uwajibikaji.
Panapotokea Shaka yoyote katika utendaji wa mtu Serikalini, angalau basi chukua hatua za kumsimamisha apishe uchunguzi.
Sasa Kila Kona Makonda anakutana na kero na uonevu, lakini hana malaka.
Itafikia hatua Makonda atakua maarufu kuliko aliyemtuma kazi.
😂😂Peter are you ok?Ghafla nimemkumbuka bamdogo pita wa royo tua
wachokonozi chochezi😂😂Peter are you ok?
Tell me how you doing in the UK
Missing you so much 💔
Sign...so so 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂Peter are you ok?
Tell me how you doing in the UK
Missing you so much 💔
Sign...so so 🤣🤣🤣
Mazingira yake ya kazi ni magumu, wakati msafara wake una magari zaidi ya 100 tena mengi yakiwa ya serekali?!Makonda anafanya kazi sana nafurahishwa na upepo aliokuja nao kijana acha akipaishe chama cha mapinduzi, mazimgira yake ya kazi ni magumu lakini amejitahid kufanya kazi kamilifu
Nyie mnaona anakipaisha Chama chake?Makonda anafanya kazi sana nafurahishwa na upepo aliokuja nao kijana acha akipaishe chama cha mapinduzi, mazimgira yake ya kazi ni magumu lakini amejitahid kufanya kazi kamilifu