Rais Samia ungana na upepo wa Paul Makonda

Uzalendo sio lazima uvae bracelets, scarf, tie n.k vyenye rangi ya bendera ya taifa.
Unachokifanya ndio uzalendo, wala sio limbwata. Hatuna chaguo, ispokuwa kumpenda na kumlinda kwa ajili ya taifa.
Amiina
 
Tusi kubwa kwa Rais hilo.
 
Wassukuma hamna akili,japo ni watani zangu
 
😂😂hawezi
Miaka sabini mchezo🤣🤣
Mwili ushachoka harakati zako
 
Makonda anafanya kazi sana nafurahishwa na upepo aliokuja nao kijana acha akipaishe chama cha mapinduzi, mazimgira yake ya kazi ni magumu lakini amejitahid kufanya kazi kamilifu
Mazingira yake ya kazi ni magumu, wakati msafara wake una magari zaidi ya 100 tena mengi yakiwa ya serekali?!
 
Makonda anafanya kazi sana nafurahishwa na upepo aliokuja nao kijana acha akipaishe chama cha mapinduzi, mazimgira yake ya kazi ni magumu lakini amejitahid kufanya kazi kamilifu
Nyie mnaona anakipaisha Chama chake?
Kwa wenye akili wanaona jinsi gani anavyo kivua nguo za ndani chama chake! Hivi wale mamia ya wanao kusanyika na kumsikiliza akiwapopoa watumishi wa serikali watakapo patabuelewa kuwa serikali hii ambayo Makonda anaonyesha ilivyo dhaifu, haiwajibiki, ufisadi mwingi na haijali wananchi imeundwa na Chama hicho hicho cha CCM anachokiwakilisha huyo Msanii watakichukuliaje?
Watakidharau na kukichukia huku wakiungana na waliyokuwa wakisikia yanasemwa na Wapinzani siku zote.
Unaweza kuwadanganya watu wote wakati fulani, lakini huwezi kuwadanganya watu wote wakati wote.
Na mkumbuke mitaani wamejaa graduates wa vyuo na shule za sekondari wanaelewa upi ukweli ipi Sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…