Rais Samia; Urais wa nchi ni mambo makubwa

Weka ushahidi wa hayo madai yako!

Ukishindwa kuweka ushahidi, wewe ni mzushi na nyumbu.

Na si mzushi uliye nyumbu tu. Ni mzushi uliye zuzu, zumbukuku, na juha kama jiwe.

Na najua huwezi kuweka ushahidi wowote ule wa hayo madai yako kwa sababu umezusha.
 
Asante kwa uchambuzi mzuri na makini.
 
1. Fikra ni huweza kubadilishwa kupitia elimu

2. Tukiweza kubadilika hapo kwenye nambari 1, ina maana nambari 2 haitakuwa kikwazo
Nakubali,
....Kwa hiyo mfumo wa Elimu yetu ufumuliwe wote kabisa!

Unashauri vitu gani ktk mfumo wetu wa elimu?
 
Hapa nakuunga mkono, lazima twende KIMKAKATI
 
Nchi ambayo 75% ya watu wake ni wakulima wa kujikimu ndani ya uelewa mdogo! maarifa na sayansi katika kilimo ni ndogo sana.
Kiujumla ujinga ni mwingi.
Kuisogeza hii nchi mbele ni lazima ulete mapinduzi makubwa kwa walio wengi yaani wakulima. Elimu yao, teknolojia, masoko ...
Uongozi si lele mama.
Naishi mjini na pia nakaa kijijini km 60 kutoka mjini pasu kwa pasu. Kuna tofauti kubwa sana.
Kuna shida
 
Nashukuru kwa kuchangia mjadala huu.
Tena heri wewe unashuhudia ya vijijini.
Mimi nimekulia kijijini, na ndugu zangu 90% wapo vijijini.
Japo nipo mjini ila hutembelea wilaya mbalimbali.

Anayeona ile hali hawezi kupuuza kwamba hali sio nzuri.

Na kwa nini sekta muhimu za kuwainua Watanzania zinaonekana ni ziada kwa serikali?

Mfano Kilimo.

Je, viongozi wetu wanachukuliaje?

Tutavuka kweli?
 
Wewe ndio haupo serious na mambo madogo kama hayo,
Hivi wewe unaweza kumnunulia mtoto biscuit au pipi ukitoka kazini kweli???

watu wengine bwana, kama huna cha kuongea kaa kimya na chuki zako
kwa hiyo kununua mashuka na kugawa hospital kwako wewe unaona ni ajabu? acha umang'aa wewe
 
kwa hiyo kununua mashuka na kugawa hospital kwako wewe unaona ni ajabu? acha umang'aa wewe
Hakuna popote Duniani, Rais wa nchi anaweza kufanya kitu kama hicho.

Ni Tz tu, na atapata Chawa kama wewe wa kusema hewala!!

Cc: Mwitore
 
Ulichokisema nakiunga mkono kwa 100% lakini ili hayo yote yatimie ni lazima tuwe na kiongozi mwenye uthubutu,asiyeyumbishwa,jasiri na asiye na ubinafsi .Tatizo linatukabili sisi Wa Afrika viongozi wetu wengi Ni wabinafsi wanapoingia madarakani wanaishi wakilinda nafasi zao na mali zao hawajitoi kwa ajili ya kutatua matatizo ya wananchi.viongozi wengi wa nchi zetu wanayatengeneza matatizo kwa wananchi ili waje wayatumie Kama mtaji wa kisiasa.
 
uli Daslma tunaona mambo ni swafi kabisa...!!
Na Dar inategemea maeneo gani unaishi. Ukipita Mbezi, Masaki, Obey tofauti kabisa na Vingunguti bom bom, yombo nk.
yaani umasikini ni wa hali ya juu sana.
Hii nchi inahitaji ukombozi kwa mara ya pili
 
I cannot say more!
 
MAy JPM Rest In Peace! Amen!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…