Shazili mnali
JF-Expert Member
- Mar 25, 2023
- 362
- 569
Kelele za chura hazimzui tembo kunywa maji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu kama hicho Tanzania 🇹🇿 !Nimesikia kuwa Rais Samia atakuwa mgeni Rasmi kwenye kilele cha siku ya Simba Day.
Namshauri asiende, anaweza kuaibika kwa kuwa kuna kakikundi ka watu nimesikia wanasema wamepanga kumuimbia wimbo wa kumkera; "Tunataka bandari zetu'.
Mtakuja kuniambia.
Pia soma:
Yaani Rais wa nchi na Amiri Jeshi Mkuu asiende sehemu yoyote anayotaka ndani ya Jamhuri ya Muungano kisa kikundi flani? Uwe serious basi kidogo hata kwa level ya mtoto wa chekechea!🙏🙏🙏Nimesikia kuwa Rais Samia atakuwa mgeni Rasmi kwenye kilele cha siku ya Simba Day.
Namshauri asiende, anaweza kuaibika kwa kuwa kuna kakikundi ka watu nimesikia wanasema wamepanga kumuimbia wimbo wa kumkera; "Tunataka bandari zetu'.
Mtakuja kuniambia.
Pia soma:
Unawajua 'wahuni' wa mpira? Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili mzee Ali Hassan Mwinyi anawajua vizuri hao watu, kuna wakati waliwahi kumrushia makopo ya mikojo pale uwanja wa zamani wa Taifa, sasa Uwanja wa Uhuru, akiwa na vyeo hivyo hivyo vya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu. Kwao hao 'Wahuni wa mpira' lolote linaweza kutokea. Kipindi hiki upepo sio mzuri.Yaani Rais wa nchi na Amiri Jeshi Mkuu asiende sehemu yoyote anayotaka ndani ya Jamhuri ya Muungano kisa kikundi flani? Uwe serious basi kidogo hata kwa level ya mtoto wa chekechea!🙏🙏🙏
WIVU wa WANA YANGANimesikia kuwa Rais Samia atakuwa mgeni Rasmi kwenye kilele cha siku ya Simba Day.
Namshauri asiende, anaweza kuaibika kwa kuwa kuna kakikundi ka watu nimesikia wanasema wamepanga kumuimbia wimbo wa kumkera; "Tunataka bandari zetu'.
Mtakuja kuniambia.
Pia soma:
kaulize tena huko ulikosikia, rais siyo mtu mwepesi aje kwenye matukio madogo km hayo. Hata angeenda labda kwaSABABU hujui nguvu ya rais we kima, rais anaingia na dola yote na kwa bashasha zote za wananchi. Nyie mambwa mmefunzwa wapi. Subiri tarehe 08.08.2023 Mbeya ndio utajua nguvu ya rais ni ya aina gani. Wakati rais anahutubia nchi husimama kusikiliza ujumbe wake, na tunamsubiri J4 nane nane kwa hamu kubwa. We endelea na utopolo wako huko ulikolelewa vibaya.Nimesikia kuwa Rais Samia atakuwa mgeni Rasmi kwenye kilele cha siku ya Simba Day.
Namshauri asiende, anaweza kuaibika kwa kuwa kuna kakikundi ka watu nimesikia wanasema wamepanga kumuimbia wimbo wa kumkera; "Tunataka bandari zetu'.
Mtakuja kuniambia.
Pia soma:
we na wajinga wenzioSisi akina nani?
Hiyo ni figisu yako tuu na nikuhakikishie mtu au kikundi kitakachi thubutu kufanya ujinga huo hapo wanasimba watanyang'anyana huyo mtu haki! Hatosalia hata ukucha.Nimesikia kuwa Rais Samia atakuwa mgeni Rasmi kwenye kilele cha siku ya Simba Day.
Namshauri asiende, anaweza kuaibika kwa kuwa kuna kakikundi ka watu nimesikia wanasema wamepanga kumuimbia wimbo wa kumkera; "Tunataka bandari zetu'.
Mtakuja kuniambia.
Pia soma:
Hivi hawa wahuni wa Yanga na Simba wanamchukuliaje Rais wetu!!! Mbona hivi vitu ni Petty issues?Nimesikia kuwa Rais Samia atakuwa mgeni Rasmi kwenye kilele cha siku ya Simba Day.
Namshauri asiende, anaweza kuaibika kwa kuwa kuna kakikundi ka watu nimesikia wanasema wamepanga kumuimbia wimbo wa kumkera; "Tunataka bandari zetu'.
Mtakuja kuniambia.
Pia soma:
Haswaa! Kwanza, itakuwa ni heshima kubwa kwa Wana Simba wote, kama Rais atakuwepo kwenye shughuri hiyo.WIVU wa WANA YANGA
Unafananisha Nape na Rais, uko timamu mkuu?Itakuwa kama wakati uleee, mwaka 2015 enzi za Lowassa, Nape Nauye nadhani alikwenda Uwanja wa Mkapa, watu wakaanza taratibu kuimba 'Mabadiliko' huku wakizungusha mikono, kisha ikaambukiza uwanja mzima. Hikujalisha jukwaa gani.
Afadhali hata nape na ujinga wake kuliko hiko kituko cha dipword.Unafananisha Nape na Rais, uko timamu mkuu?