Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni mmoja wa wahusika wa zomea hiyo,wakajaribu.Hizi habari wewe umezitoa wapi mkuu ...weka hapa walinzi wake wanaweza wakaona.
Huyu ni mkuu wa nchi.Nimesikia kuwa Rais Samia atakuwa mgeni Rasmi kwenye kilele cha siku ya Simba Day.
Namshauri asiende, anaweza kuaibika kwa kuwa kuna kakikundi ka watu nimesikia wanasema wamepanga kumuimbia wimbo wa kumkera; "Tunataka bandari zetu'.
Mtakuja kuniambia.
Pia soma:
Kwenye hili la Simba Day tuache na Rais wetu. Samia Moyoni ni Simba. Uyanga umekuja na DPWNimesikia kuwa Rais Samia atakuwa mgeni Rasmi kwenye kilele cha siku ya Simba Day.
Namshauri asiende, anaweza kuaibika kwa kuwa kuna kakikundi ka watu nimesikia wanasema wamepanga kumuimbia wimbo wa kumkera; "Tunataka bandari zetu'.
Mtakuja kuniambia.
Pia soma:
kama watu walikuwa hawajui hz KULWA & DOTTO wamiliki halisi... ni nani... kesho watajidhihirisha tena kwa mara nyengine
Nchi hii michezo imefungamanishwa na siasa,Hivi Tz kuna tatizo gani vichwani mwa watu? Timu kubwa ambazo zingekuwa mfano bora kwa nyingine nazo zinajipendekeza kwa watawala,siasa siasa siasa,mbona vitu hivi havipo kbs nchi nyingine?Nimesikia kuwa Rais Samia atakuwa mgeni Rasmi kwenye kilele cha siku ya Simba Day.
Namshauri asiende, anaweza kuaibika kwa kuwa kuna kakikundi ka watu nimesikia wanasema wamepanga kumuimbia wimbo wa kumkera; "Tunataka bandari zetu'.
Mtakuja kuniambia.
Pia soma:
Kumbuka yale mamillioni ya kununulia magoli aliyotoa haijawahi kutokea ,mama anapenda michezo na hana ubaguzi na anahamasisha vizuri timu zetu zote zifanye vizuri zaidi.Nchi hii michezo imefungamanishwa na siasa,Hivi Tz kuna tatizo gani vichwani mwa watu? Timu kubwa ambazo zingekuwa mfano bora kwa nyingine nazo zinajipendekeza kwa watawala,siasa siasa siasa,mbona vitu hivi havipo kbs nchi nyingine?
Vipi na wewe umeunga mkono Simba kutumika kuinadi CCM kuuza Bandari ya watanganyika?.
Nasikia eti Siri ya kambi ahaaaaaaHao watu watakaa jukwaa gani hapo uwanjani?
Kuna tahira limoja humu linajiita OKW BOBAN SUNZU lilikuja na tuhuma kwa yanga "eti" inatumika na ccm. Haya njoo hapa utoe na tuhuma kwa timu yako kuwa nayo inatumika.
Ni tahira aje Sasa aipongeze Simba...Aaahaaaaaa,yule Chadema huwezi mwona hapa