Rais Samia usiishie kufuta kesi za kisiasa za wana-CHADEMA tu

Rais Samia usiishie kufuta kesi za kisiasa za wana-CHADEMA tu

Ila sishangai mchwa anapovamia Mali za watu huzitafuna Tena Kwa fujo bila hata kutaka kujua za nani,na kwake ni sawa.
Gaidi mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu
 
Gaidi mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu
Kwa mujibu wa wanamichongo wote a.k.a wenye akili ngumu,ila wenye akili zao wanaona,wanaiita na kulaani kesi michongo zote na zinazofanana nazo ila SII kama za huyo unayemtetea🤔
 
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.

Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka.

Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa Mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.

Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.

Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki CHADEMA ambao hawana jema kwa nchi yetu.

CHADEMA kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.

Ndiyo tuwasikilize? Hapana.

#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Wazalendo mnakula tabu ee! Mtapata tabu sana! Hapo hata miaka miwili ya ujane haijatimia!
 
Hii singo ya kupata uteuzi kwa kuisema ama kuishambulia chadema ilizikwa na mizimu yote kule chakto. Badilini gia vingivyo mtaona akiozea jela hivi hivi.
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.

Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka.

Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa Mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.

Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.

Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki CHADEMA ambao hawana jema kwa nchi yetu.

CHADEMA kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.

Ndiyo tuwasikilize? Hapana.

#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
 
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.

Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka.

Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa Mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.

Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake.

Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa, sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.

Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki CHADEMA ambao hawana jema kwa nchi yetu.

CHADEMA kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.

Ndiyo tuwasikilize? Hapana.

#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Ili kumtetea Sabaya unapaswa kuwa mwehu
 
Sir buyer

 
Back
Top Bottom