kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Ni sawa sawa na wewe ukienda.Na wewe ukienda jela?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa sawa na wewe ukienda.Na wewe ukienda jela?
Ila sishangai mchwa anapovamia Mali za watu huzitafuna Tena Kwa fujo bila hata kutaka kujua za nani,na kwake ni sawa.Gaidi ndiyo ulikuwa kesi ya ukweli
Watu ndio wanaakili ngumu kama ninavyojifunza kwenye mitazamo yenu hapa🤔Hatutakubali huu upuuzi
Kwa mujibu wa wanamichongo wote a.k.a wenye akili ngumu,ila wenye akili zao wanaona,wanaiita na kulaani kesi michongo zote na zinazofanana nazo ila SII kama za huyo unayemtetea🤔Gaidi mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu
Jinai yenye ushahidi na ambayo haijafutwa ni kuhusu ugaidi wa mboweJINAI ZENYE USHAHIDI HAZIFUTWI SABAYA HANA TOFAUTI NA MAGUFULI NDIO MAANA SABAYA ANAKILI ALITUMWA NA ALIYEMTEUA WACHA SABAYA AVUNE ALICHOKIPANDA
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Inatafakarisha sana....Mbowe akienda jela anaonewa, akienda sabaya ni jambazi. Nchi ngumu hii..
Mbowe akiwa mahakamani diplomats wanajaa, lakini kwa Sabaya wanajaa vibaka wenzieMbowe akienda jela anaonewa, akienda sabaya ni jambazi. Nchi ngumu hii..
Wazalendo mnakula tabu ee! Mtapata tabu sana! Hapo hata miaka miwili ya ujane haijatimia!Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka.
Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa Mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.
Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki CHADEMA ambao hawana jema kwa nchi yetu.
CHADEMA kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.
#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka.
Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa Mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.
Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki CHADEMA ambao hawana jema kwa nchi yetu.
CHADEMA kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.
#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Kama unaona sabaya naye anaonewa si useme hadi wanaomuonea wamwachie.Mambo mengine yako wazi wala hayahitaji ushabiki.Mbowe akienda jela anaonewa, akienda sabaya ni jambazi. Nchi ngumu hii..
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mke wa SabayaHao diplomats ndiyo wanamtumie kuuza madawa ya kulevya
Ili kumtetea Sabaya unapaswa kuwa mwehuHatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka.
Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa Mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.
Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake.
Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa, sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki CHADEMA ambao hawana jema kwa nchi yetu.
CHADEMA kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.
#Justice for SABAYA
#Free SABAYA