Hapo kwenye namba 2 sio kweli, mtu hata dunia inavyoenda sahizi hajui, network imekata hata watoto wake anawasahau atatoa ushauri gani?Nadhani hawa ndo wenye ushawishi kwa mama
1. Jk
2. Mwinyi
3. Mwinyi Jr
Pili nafikiri kwamba ushauri au suala lolote muhimu ili lipitishwe lazima lipitie kwa hiyo list hapo juu.
CDF kaapa kumtii Rais na ndo anayemteua, sioni akichukua nafasi ya kuwa mshauri.
Kama unataka kitu kisifanyike mpige pini mshauri namba moja.
Upeo wako ni mdogo sana na pengine hujui hata unachomaanisha!Mmejenga uwanja wa ndege kijijini tumekaa kinywa sasa tunafanya vitu vya maana kelele zimekuwa nyingi Acheni Samia afanye kazi
NdiyoMaboresho ya Gati yanazinduliwa?!
Kujengwa kwa Bandari ya Bagamoyo ndo kufilisika kwa Taifa!Nipende kumuomba CDF amshauri Rais asijenge Bandari ya Bagamoyo kwani kwa kufanya hivyo ni sawa na kuliua Taifa Kabisa.
Nimemuomba CDF kwani yeye ndiye mkuu wa majeshi ya Ulinzi, na ulinzi ni pamoja na kuangalia uhai wa Taifa, sio kwa mtutu wa Bunduki tu na mizinga bali hata kwa ushauri wenye lengo la kuliponya Taifa.
Ikumbukwe kwamba Bandari ya Dar es Salaam, inahudumia zaidi ya asilimia tisini ya biashara za kimataifa kwa taifa letu.
Bandari hiyo hiyo ya Dar inahudumia nchi nyingine sita ambazo zimelizunguka taifa letu ikiwa ni pamoja na Rwanda, Burundi, DRC, Malawi, Zambia na Uganda.
China ni moja wapo ya Nchi zilizoweka nia ya kujenga bandari ya kisasa pale bagamoyo.
Bandari hii itakuwa na uwezo wa kupokea meli kubwa na itakuwa na vifaa vya kisasa kabisa hivyo kuifanya Bandari hii kuwa ya kipekee katika ukanda huu.
Nchi yetu inategemea sana mapato yatokanayo na bidhaa zinazopitia katika bandari yetu.
Kwa mwaka 2018 pekee, China na Tanzania zilifanya biashara ya kiasi cha dola za kimarekani 1.8 Bilioni sawa na Shilingi za kitanzania Trilioni Mbili.
China hiyo hiyo inafanya bishara ya Mabilioni ya Dola kwa nchi zinazozunguka Tanzania na kuitegemea Bandari yetu.
Inasemekana kwamba China watatoa fedha za mkopo ili kujenga bandari hiyo kiasi cha Dola Bilioni 10 za Kimarekani na ili kurejesha mkopo huo Bandari hiyo itakuwa chini ya uangalizi wao kwa miaka 100.
Kama hilo likitokea inamaana kwamba asilimia kubwa ya mapato yatayopatikana na Bandari hiyo yatakwenda kwao ili kulipa deni.
Kwakua China ni mdau mkubwa wa biashara na Tanzania, Kila bidhaa itayoagizwa toka china kuja Tanzania lazima itapitia Bagamoyo.
Automatically ile Biashara ya Dola Bilioni 1.8 inahamia Bagamoyo toka Bandari ya Dar. Na mapato toka nchi za DRC, Zambia , Malawi, Uganda, Burundi na Rwanda.
sitaki kuamini kwamba China atakua mwaminifu sana katika kuweka mapato ya Bandari ya Bagamoyo na kwakua historia ni shahidi tumekuwa na watu ambao sio waaminifu wanaoshirikiana na wageni katika kulitia hasara Taifa, hivyo hakuna namna tutaubiwa tu.
Kwakua bandari ya Dar itakuwa ndogo, yenye vifaa dhaifu na vya zamani hakuna atayepeleka mizigo pale, wote watahamia Bagamoyo.
Na kwakua hatutakua tunaingiza mapato, hivyo hatutaweza kulipa deni na ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa wakati, jambo litakalowafanya wachina waextend muda wa kuendelea kuishikilia bandari ili walipe deni lao, jambo hili litaendelea milele.
Hivyo tutakuwa tumepoteza bandari na mapato na bado tunadaiwa.
Mkuu, CDF, Nakuomba sana wewe pamoja na makamanda wengine, mumshauri vyema Rais ili bandari hii isijengwe kwani ni hatari kwa uhai wa Taifa.
Ni hayo tu.
Tulia msukuma wewe,kazi iendeleeNipende kumuomba CDF amshauri Rais asijenge Bandari ya Bagamoyo kwani kwa kufanya hivyo ni sawa na kuliua Taifa Kabisa.
Nimemuomba CDF kwani yeye ndiye mkuu wa majeshi ya Ulinzi, na ulinzi ni pamoja na kuangalia uhai wa Taifa, sio kwa mtutu wa Bunduki tu na mizinga bali hata kwa ushauri wenye lengo la kuliponya Taifa.
Ikumbukwe kwamba Bandari ya Dar es Salaam, inahudumia zaidi ya asilimia tisini ya biashara za kimataifa kwa taifa letu.
Bandari hiyo hiyo ya Dar inahudumia nchi nyingine sita ambazo zimelizunguka taifa letu ikiwa ni pamoja na Rwanda, Burundi, DRC, Malawi, Zambia na Uganda.
China ni moja wapo ya Nchi zilizoweka nia ya kujenga bandari ya kisasa pale bagamoyo.
Bandari hii itakuwa na uwezo wa kupokea meli kubwa na itakuwa na vifaa vya kisasa kabisa hivyo kuifanya Bandari hii kuwa ya kipekee katika ukanda huu.
Nchi yetu inategemea sana mapato yatokanayo na bidhaa zinazopitia katika bandari yetu.
Kwa mwaka 2018 pekee, China na Tanzania zilifanya biashara ya kiasi cha dola za kimarekani 1.8 Bilioni sawa na Shilingi za kitanzania Trilioni Mbili.
China hiyo hiyo inafanya bishara ya Mabilioni ya Dola kwa nchi zinazozunguka Tanzania na kuitegemea Bandari yetu.
Inasemekana kwamba China watatoa fedha za mkopo ili kujenga bandari hiyo kiasi cha Dola Bilioni 10 za Kimarekani na ili kurejesha mkopo huo Bandari hiyo itakuwa chini ya uangalizi wao kwa miaka 100.
Kama hilo likitokea inamaana kwamba asilimia kubwa ya mapato yatayopatikana na Bandari hiyo yatakwenda kwao ili kulipa deni.
Kwakua China ni mdau mkubwa wa biashara na Tanzania, Kila bidhaa itayoagizwa toka china kuja Tanzania lazima itapitia Bagamoyo.
Automatically ile Biashara ya Dola Bilioni 1.8 inahamia Bagamoyo toka Bandari ya Dar. Na mapato toka nchi za DRC, Zambia , Malawi, Uganda, Burundi na Rwanda.
sitaki kuamini kwamba China atakua mwaminifu sana katika kuweka mapato ya Bandari ya Bagamoyo na kwakua historia ni shahidi tumekuwa na watu ambao sio waaminifu wanaoshirikiana na wageni katika kulitia hasara Taifa, hivyo hakuna namna tutaubiwa tu.
Kwakua bandari ya Dar itakuwa ndogo, yenye vifaa dhaifu na vya zamani hakuna atayepeleka mizigo pale, wote watahamia Bagamoyo.
Na kwakua hatutakua tunaingiza mapato, hivyo hatutaweza kulipa deni na ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa wakati, jambo litakalowafanya wachina waextend muda wa kuendelea kuishikilia bandari ili walipe deni lao, jambo hili litaendelea milele.
Hivyo tutakuwa tumepoteza bandari na mapato na bado tunadaiwa.
Mkuu, CDF, Nakuomba sana wewe pamoja na makamanda wengine, mumshauri vyema Rais ili bandari hii isijengwe kwani ni hatari kwa uhai wa Taifa.
Ni hayo tu.
ItajengwaBandari haijengwi
Jinyonge Sasa unasubiri niniHii inchi aisee sijui!!! Sometimes unaona bora ujifie tu... Maana inatia hasira sana
Sent from my E2363 using JamiiForums mobile app
Mkuu 'stroke', naona umerudi kule kwa ID yako iliyozoeleka.Nipende kumuomba CDF amshauri Rais asijenge Bandari ya Bagamoyo kwani kwa kufanya hivyo ni sawa na kuliua Taifa Kabisa.
Nimemuomba CDF kwani yeye ndiye mkuu wa majeshi ya Ulinzi, na ulinzi ni pamoja na kuangalia uhai wa Taifa, sio kwa mtutu wa Bunduki tu na mizinga bali hata kwa ushauri wenye lengo la kuliponya Taifa.
Ikumbukwe kwamba Bandari ya Dar es Salaam, inahudumia zaidi ya asilimia tisini ya biashara za kimataifa kwa taifa letu.
Bandari hiyo hiyo ya Dar inahudumia nchi nyingine sita ambazo zimelizunguka taifa letu ikiwa ni pamoja na Rwanda, Burundi, DRC, Malawi, Zambia na Uganda.
China ni moja wapo ya Nchi zilizoweka nia ya kujenga bandari ya kisasa pale bagamoyo.
Bandari hii itakuwa na uwezo wa kupokea meli kubwa na itakuwa na vifaa vya kisasa kabisa hivyo kuifanya Bandari hii kuwa ya kipekee katika ukanda huu.
Nchi yetu inategemea sana mapato yatokanayo na bidhaa zinazopitia katika bandari yetu.
Kwa mwaka 2018 pekee, China na Tanzania zilifanya biashara ya kiasi cha dola za kimarekani 1.8 Bilioni sawa na Shilingi za kitanzania Trilioni Mbili.
China hiyo hiyo inafanya bishara ya Mabilioni ya Dola kwa nchi zinazozunguka Tanzania na kuitegemea Bandari yetu.
Inasemekana kwamba China watatoa fedha za mkopo ili kujenga bandari hiyo kiasi cha Dola Bilioni 10 za Kimarekani na ili kurejesha mkopo huo Bandari hiyo itakuwa chini ya uangalizi wao kwa miaka 100.
Kama hilo likitokea inamaana kwamba asilimia kubwa ya mapato yatayopatikana na Bandari hiyo yatakwenda kwao ili kulipa deni.
Kwakua China ni mdau mkubwa wa biashara na Tanzania, Kila bidhaa itayoagizwa toka china kuja Tanzania lazima itapitia Bagamoyo.
Automatically ile Biashara ya Dola Bilioni 1.8 inahamia Bagamoyo toka Bandari ya Dar. Na mapato toka nchi za DRC, Zambia , Malawi, Uganda, Burundi na Rwanda.
sitaki kuamini kwamba China atakua mwaminifu sana katika kuweka mapato ya Bandari ya Bagamoyo na kwakua historia ni shahidi tumekuwa na watu ambao sio waaminifu wanaoshirikiana na wageni katika kulitia hasara Taifa, hivyo hakuna namna tutaubiwa tu.
Kwakua bandari ya Dar itakuwa ndogo, yenye vifaa dhaifu na vya zamani hakuna atayepeleka mizigo pale, wote watahamia Bagamoyo.
Na kwakua hatutakua tunaingiza mapato, hivyo hatutaweza kulipa deni na ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa wakati, jambo litakalowafanya wachina waextend muda wa kuendelea kuishikilia bandari ili walipe deni lao, jambo hili litaendelea milele.
Hivyo tutakuwa tumepoteza bandari na mapato na bado tunadaiwa.
Mkuu, CDF, Nakuomba sana wewe pamoja na makamanda wengine, mumshauri vyema Rais ili bandari hii isijengwe kwani ni hatari kwa uhai wa Taifa.
Ni hayo tu.
, kama ionyeshavyo hapa chini.Bandari hii itakuwa na uwezo wa kupokea meli kubwa na itakuwa na vifaa vya kisasa kabisa hivyo kuifanya Bandari hii kuwa ya kipekee katika ukanda huu.
ni na dar ndiyo iliyochukua fedha nyingi za miradi na karibu yote imemalizika.Angalia kanda ya ziwa haina uwanja ndege wa kimataifa!nilichokiona hapo hamtaki mkoa wa pwani kuwa na maendeleo.mmepeleka fedha nyingi sana Dodoma na Chato ili kuziinua sehemu hizo.
Mkuu, unaaibisha kidogo (hapana sana). Unajiita nani vile? Halafu uandishi wako unakuwa wa namna ile? Kuna sababu kweli ya kujiita jina hilo ambalo hata kuliandika huwezi?Hivi hakuna namna tukaandamana kuupinga huu mkataba wa hii bandari ya bagamoyo.
Maana impacts zake zipo waziwazi kabisa na mkataba unaonekana ni sampla ya zile BOGUS TREATS enzi za carl paters na mtaalamu mangungo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji8][emoji1241]
Mkuu, unaaibisha kidogo (hapana sana). Unajiita nani vile? Halafu uandishi wako unakuwa wa namna ile? Kuna sababu kweli ya kujiita jina hilo ambalo hata kuliandika huwezi?
Unawaaibisha sana hao wenzako mnaojinasibu kuwa na utaalam huo. Nenda kabadili ID kama huhusiki na huko.
Kwa nini ujisumbue kutoa ushauri kwa vitu ambavyo umekiri ni "vinasemekana"!!??Nipende kumuomba CDF amshauri Rais asijenge Bandari ya Bagamoyo kwani kwa kufanya hivyo ni sawa na kuliua Taifa Kabisa.
Nimemuomba CDF kwani yeye ndiye mkuu wa majeshi ya Ulinzi, na ulinzi ni pamoja na kuangalia uhai wa Taifa, sio kwa mtutu wa Bunduki tu na mizinga bali hata kwa ushauri wenye lengo la kuliponya Taifa.
Ikumbukwe kwamba Bandari ya Dar es Salaam, inahudumia zaidi ya asilimia tisini ya biashara za kimataifa kwa taifa letu.
Bandari hiyo hiyo ya Dar inahudumia nchi nyingine sita ambazo zimelizunguka taifa letu ikiwa ni pamoja na Rwanda, Burundi, DRC, Malawi, Zambia na Uganda.
China ni moja wapo ya Nchi zilizoweka nia ya kujenga bandari ya kisasa pale bagamoyo.
Bandari hii itakuwa na uwezo wa kupokea meli kubwa na itakuwa na vifaa vya kisasa kabisa hivyo kuifanya Bandari hii kuwa ya kipekee katika ukanda huu.
Nchi yetu inategemea sana mapato yatokanayo na bidhaa zinazopitia katika bandari yetu.
Kwa mwaka 2018 pekee, China na Tanzania zilifanya biashara ya kiasi cha dola za kimarekani 1.8 Bilioni sawa na Shilingi za kitanzania Trilioni Mbili.
China hiyo hiyo inafanya bishara ya Mabilioni ya Dola kwa nchi zinazozunguka Tanzania na kuitegemea Bandari yetu.
Inasemekana kwamba China watatoa fedha za mkopo ili kujenga bandari hiyo kiasi cha Dola Bilioni 10 za Kimarekani na ili kurejesha mkopo huo Bandari hiyo itakuwa chini ya uangalizi wao kwa miaka 100.
Kama hilo likitokea inamaana kwamba asilimia kubwa ya mapato yatayopatikana na Bandari hiyo yatakwenda kwao ili kulipa deni.
Kwakua China ni mdau mkubwa wa biashara na Tanzania, Kila bidhaa itayoagizwa toka china kuja Tanzania lazima itapitia Bagamoyo.
Automatically ile Biashara ya Dola Bilioni 1.8 inahamia Bagamoyo toka Bandari ya Dar. Na mapato toka nchi za DRC, Zambia , Malawi, Uganda, Burundi na Rwanda.
sitaki kuamini kwamba China atakua mwaminifu sana katika kuweka mapato ya Bandari ya Bagamoyo na kwakua historia ni shahidi tumekuwa na watu ambao sio waaminifu wanaoshirikiana na wageni katika kulitia hasara Taifa, hivyo hakuna namna tutaubiwa tu.
Kwakua bandari ya Dar itakuwa ndogo, yenye vifaa dhaifu na vya zamani hakuna atayepeleka mizigo pale, wote watahamia Bagamoyo.
Na kwakua hatutakua tunaingiza mapato, hivyo hatutaweza kulipa deni na ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa wakati, jambo litakalowafanya wachina waextend muda wa kuendelea kuishikilia bandari ili walipe deni lao, jambo hili litaendelea milele.
Hivyo tutakuwa tumepoteza bandari na mapato na bado tunadaiwa.
Mkuu, CDF, Nakuomba sana wewe pamoja na makamanda wengine, mumshauri vyema Rais ili bandari hii isijengwe kwani ni hatari kwa uhai wa Taifa.
Ni hayo tu.
Nipende kumuomba CDF amshauri Rais asijenge Bandari ya Bagamoyo kwani kwa kufanya hivyo ni sawa na kuliua Taifa Kabisa.
Nimemuomba CDF kwani yeye ndiye mkuu wa majeshi ya Ulinzi, na ulinzi ni pamoja na kuangalia uhai wa Taifa, sio kwa mtutu wa Bunduki tu na mizinga bali hata kwa ushauri wenye lengo la kuliponya Taifa.
Ikumbukwe kwamba Bandari ya Dar es Salaam, inahudumia zaidi ya asilimia tisini ya biashara za kimataifa kwa taifa letu.
Bandari hiyo hiyo ya Dar inahudumia nchi nyingine sita ambazo zimelizunguka taifa letu ikiwa ni pamoja na Rwanda, Burundi, DRC, Malawi, Zambia na Uganda.
China ni moja wapo ya Nchi zilizoweka nia ya kujenga bandari ya kisasa pale bagamoyo.
Bandari hii itakuwa na uwezo wa kupokea meli kubwa na itakuwa na vifaa vya kisasa kabisa hivyo kuifanya Bandari hii kuwa ya kipekee katika ukanda huu.
Nchi yetu inategemea sana mapato yatokanayo na bidhaa zinazopitia katika bandari yetu.
Kwa mwaka 2018 pekee, China na Tanzania zilifanya biashara ya kiasi cha dola za kimarekani 1.8 Bilioni sawa na Shilingi za kitanzania Trilioni Mbili.
China hiyo hiyo inafanya bishara ya Mabilioni ya Dola kwa nchi zinazozunguka Tanzania na kuitegemea Bandari yetu.
Inasemekana kwamba China watatoa fedha za mkopo ili kujenga bandari hiyo kiasi cha Dola Bilioni 10 za Kimarekani na ili kurejesha mkopo huo Bandari hiyo itakuwa chini ya uangalizi wao kwa miaka 100.
Kama hilo likitokea inamaana kwamba asilimia kubwa ya mapato yatayopatikana na Bandari hiyo yatakwenda kwao ili kulipa deni.
Kwakua China ni mdau mkubwa wa biashara na Tanzania, Kila bidhaa itayoagizwa toka china kuja Tanzania lazima itapitia Bagamoyo.
Automatically ile Biashara ya Dola Bilioni 1.8 inahamia Bagamoyo toka Bandari ya Dar. Na mapato toka nchi za DRC, Zambia , Malawi, Uganda, Burundi na Rwanda.
sitaki kuamini kwamba China atakua mwaminifu sana katika kuweka mapato ya Bandari ya Bagamoyo na kwakua historia ni shahidi tumekuwa na watu ambao sio waaminifu wanaoshirikiana na wageni katika kulitia hasara Taifa, hivyo hakuna namna tutaubiwa tu.
Kwakua bandari ya Dar itakuwa ndogo, yenye vifaa dhaifu na vya zamani hakuna atayepeleka mizigo pale, wote watahamia Bagamoyo.
Na kwakua hatutakua tunaingiza mapato, hivyo hatutaweza kulipa deni na ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa wakati, jambo litakalowafanya wachina waextend muda wa kuendelea kuishikilia bandari ili walipe deni lao, jambo hili litaendelea milele.
Hivyo tutakuwa tumepoteza bandari na mapato na bado tunadaiwa.
Mkuu, CDF, Nakuomba sana wewe pamoja na makamanda wengine, mumshauri vyema Rais ili bandari hii isijengwe kwani ni hatari kwa uhai wa Taifa.
Ni hayo tu.
ni mkataba upi ambao tumewahi kunufaika nao sisi watanzania??Mchina hajengi bandari ya Bagamoyo kama deni bali anawekeza so huwezi sema tukishindwa lipa atachukua bandari, hii haina tofauti na makampuni makubwa ya madini yaliyowekeza kwenye migodi, ile migodi ni mali yao, muda wao ukiisha au madini yakiisha wanasepa hawatudai hatuwadai, tofauti na Bagamoyo Port ni kwamba madini yanaisha, lakini Bandari itaendelea kuwepo. So muda wao ukiisha inarudi kwetu, Isitoshe huo mradi ni plan yetu wenyewe, sisi ndio tuliopropose eneo na aina ya Bandari inayotakiwa kujengwa kuendana na wakati, m-China na mu-Oman wanaweka hela tu kuwekeza, so kama tunaona mpango huo utaua Bandari zingine basi tuufute na sio kuanza kulia lia wakati hela za kujenga wenyewe hamna. Tukiamua kukopa tujenge wenyewe muwe tayari kwa kupandishiwa kodi au kupunguza huduma nyingine za kijamii ili kuhudumia deni, na hii ndio hatari kubwa kuliko hatari zingine. Hapa tunanunua tu ndege Cash mnalalama, tukianza kulipa 23Trilion itakuwaje? By the way, mapato ya Bandari sio Wharfage na Port Charges pekee, kuna ushuru ambao ni haki ya mamlaka ya mapato ya nchi husika kukusanya, so hakuna kitakachopotea kama tukiwa makini na kunegotiate vizuri kulinda maslahi yetu.
Mkuu hapo sijakuelewa, hatuingizi mapato kivipi wakati mizigo haipiti bure? mi najua fedha zitakazoingizwa na hiyo bandari tutagawana na mchina, au nasema uongo ndugu zangu?Na kwakua hatutakua tunaingiza mapato, hivyo hatutaweza kulipa deni na ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa wakati, jambo litakalowafanya wachina waextend muda wa kuendelea kuishikilia bandari ili walipe deni lao, jambo hili litaendelea milele.