Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Alisimamia mabadiliko ya uraisi au katiba ndio iliyosimamia hayo mabadiliko ya uraisi?Utumishi wake UMETUKUKA na Wa KIWANGO cha JUU na UAMINIFU wake ulionekana Wakati wa KIFO cha HAYATI RAIS MAGUFULI alisimamia MABADILIKO ya URAIS ....View attachment 2252345
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
hivi ni nani aliyetupatia ujinga wa hivi. Eeeh Mungu tunaomba ukombozi wakoKwa heshima na taadhima nakuomba Rais wetu Mama Samia hebu muongezee muda Jenerali Mabeyo.
Utumishi wake umetukuka na wa kiwango cha juu na uaminifu wake ulionekana wakati wa kifo cha hayati Rais Magufuli alisimamia mabadiliko ya urais kwa mujibu wa Katiba
Tunakuomba rais mpe miaka 5 Jenerali Mabeyo.
View attachment 2252345
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
CDF Mwamunyange aliongezewa muda ili ipatikane muda wa kutosha kumuandaa General Mabeyo, kwasababu kwa wote waliokuwepo kwenye seniority line up, there was no preferable choice, lakini sasa kwa Mama, preferable choice ipo, aongezwe muda wa nini?.Kwa Heshima na Taadhima nakuomba RAIS Wetu Mama SAMIA hebu MUONGEZEE MUDA Jenerali MABEYO.
Utumishi wake UMETUKUKA na Wa KIWANGO cha JUU na UAMINIFU wake ulionekana Wakati wa KIFO cha HAYATI RAIS MAGUFULI alisimamia MABADILIKO ya URAIS kwa MUJIBU wa KATIBA
Tunakuomba RAIS Mpe MIAKA 5 Jenerali MABEYOView attachment 2252345
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Muacheni kamanda akapumzike, amelitumikia taifa kikamilifu, kiadilifu na kiaminifu kwa zaidi ya miaka 40, sasa ni vizuri akapumzika, amefanya kazi kubwa sana, heshima kwako Jenerali.Kwa Heshima na Taadhima nakuomba RAIS Wetu Mama SAMIA hebu MUONGEZEE MUDA Jenerali MABEYO.
Utumishi wake UMETUKUKA na Wa KIWANGO cha JUU na UAMINIFU wake ulionekana Wakati wa KIFO cha HAYATI RAIS MAGUFULI alisimamia MABADILIKO ya URAIS kwa MUJIBU wa KATIBA
Tunakuomba RAIS Mpe MIAKA 5 Jenerali MABEYOView attachment 2252345
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Acheni uchawi, hkuna wanajeshi wengine wenye sifa. Kësho mtataka pia RAIS aongezewe Muda Sasa. Miaka 65 jeshin amebakiza Nini??. Mwache aende RAIS asisikilize huu ujingaKwa heshima na taadhima nakuomba Rais wetu Mama Samia hebu muongezee muda Jenerali Mabeyo.
Utumishi wake umetukuka na wa kiwango cha juu na uaminifu wake ulionekana wakati wa kifo cha hayati Rais Magufuli alisimamia mabadiliko ya urais kwa mujibu wa Katiba
Tunakuomba rais mpe miaka 5 Jenerali Mabeyo.
View attachment 2252345
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Mtutsi wa hapo Rorya [emoji706]Mkikubali tu CDF General Mabeyo ( tunayemuogopa sana sisi Warutsi ) astaafu Mwezi huu June basi M23 watakuja Kuichukua Tanzania yote.
Shauri zenu.....!!!!!
Ndugu yangu hiki nini unashauri kwa Rais?Kwa heshima na taadhima nakuomba Rais wetu Mama Samia hebu muongezee muda Jenerali Mabeyo.
Utumishi wake umetukuka na wa kiwango cha juu na uaminifu wake ulionekana wakati wa kifo cha hayati Rais Magufuli alisimamia mabadiliko ya urais kwa mujibu wa Katiba
Tunakuomba rais mpe miaka 5 Jenerali Mabeyo.
View attachment 2252345
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Ondoa hiyo hoja yako hapo chini haina mashikoCDF Mwamunyange aliongezewa muda ili ipatikane muda wa kutosha kumuandaa General Mabeyo, kwasababu kwa wote waliokuwepo kwenye seniority line up, there was no preferable choice, lakini sasa kwa Mama, preferable choice ipo, aongezwe muda wa nini?.
Mimi naendelea tuu kusisitiza, kwenye ujio wa CDF mpya, hoja za bandiko hili, Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu?. Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine? zizingatiwe!.
P
Aache pombe pamoja na matumizi ya vileo vingine😆M23 wawe tishio kwa Tanzania
Unaota wewe
Acha pombe sio nzuri
Hivi ni uongozi wa CDF gani Jeshi liligeukia kazi ya kutoa matamko ya Kisiasa? Mara kufagia barabara Wapinzani wasiandamane, mara matamko makali kuhusu uchaguzi!! Nadhani ilikuwa 2010.Najua huwa Unanisoma mno hapa JamiiForums kama ilivyo kwa 75% ya Watendaji wako wa Idara Muhimu ya Makao Makuu Oysterbay jirani na Kanisa la Mtakatifu Petro.
Mama (Rais) Samia asikudanganye Mtu kwa sasa bado hakuna right Candidate wa Kumrithi CDF General Mabeyo kutokana na tunayoyasikia (chini chini) huko na jinsi huyu Mabeyo (CDF) alivyoweza Kuliheshimisha Jeshi kuliko lilivyokuwa huko nyuma ambako kuna baadhi ya Maadili ndani ya Wahusika yalianza Kumomonyoka.
Ombi langu Kwako Mpendwa Rais wangu (Mama) mkatalie kwa sasa CDF Mabeyo Kustaafu ila muongezee hadi utakapoapishwa tena Novemba 2025 ili aanze Kukuandalia Mbadala wake ambaye angalau kwa 95% atakuwa anafanana nae kwa Utendaji wa Kutukuka.
Najua kuna Majina unayo tayari Mezani Kwako na lipo la Mmoja kutoka Zanzibar ambaye alikuwa huku Bara muda mrefu ila kwa Kauli za Wenzao amba Sisi Watu wa Kawaida sana Tanzania hii akina GENTAMYCINE huwa tunazisikia kutokana na kuwa na Masikio Makubwa wanasema hawawezi na wana 'makandokando' mengi.
Najua huwezi Kuniangusha Mama.
Cc: adriz
Acha mawazo mfu kufikiri kua kama hanma watu wa kufanya hiyo kazi asipokuwepo. Huko jeshin hakuna watu zaidi ya mabeyo. Yeye aondoke ofisin. Pale Kuna watu wazuri zaidi yakeNajua huwa Unanisoma mno hapa JamiiForums kama ilivyo kwa 75% ya Watendaji wako wa Idara Muhimu ya Makao Makuu Oysterbay jirani na Kanisa la Mtakatifu Petro.
Mama (Rais) Samia asikudanganye Mtu kwa sasa bado hakuna right Candidate wa Kumrithi CDF General Mabeyo kutokana na tunayoyasikia (chini chini) huko na jinsi huyu Mabeyo (CDF) alivyoweza Kuliheshimisha Jeshi kuliko lilivyokuwa huko nyuma ambako kuna baadhi ya Maadili ndani ya Wahusika yalianza Kumomonyoka.
Ombi langu Kwako Mpendwa Rais wangu (Mama) mkatalie kwa sasa CDF Mabeyo Kustaafu ila muongezee hadi utakapoapishwa tena Novemba 2025 ili aanze Kukuandalia Mbadala wake ambaye angalau kwa 95% atakuwa anafanana nae kwa Utendaji wa Kutukuka.
Najua kuna Majina unayo tayari Mezani Kwako na lipo la Mmoja kutoka Zanzibar ambaye alikuwa huku Bara muda mrefu ila kwa Kauli za Wenzao amba Sisi Watu wa Kawaida sana Tanzania hii akina GENTAMYCINE huwa tunazisikia kutokana na kuwa na Masikio Makubwa wanasema hawawezi na wana 'makandokando' mengi.
Najua huwezi Kuniangusha Mama.
Cc: adriz
Hoja hii, Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu?. Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine? ina mashiko sana now than ever!.Ondoa hiyo hoja yako hapo chini haina mashiko
Atakuja mwingine, na jeshi letu litabaki imara,Kabla ya Mabeyo alikuwepo Davis Mwamunyange na kabla ya Mwamunyange alikuwepo Robert Mboma....baada ya Mabeyo yupo mwingine atakuja tu..
Hakuna binadamu special duniani, kila binadamu anareplacemeny yake kwenye kazi, wakati wakupumzika au kustaafu ukifika mhusika aende na wengine wakae...
Hoja hii, Je, Kun
Kwan anaeteua mkuu wa majeshi si Rais? Sasa mpka sasa Tanzania imeshakuwa na marais wa dini zote hizi mbona hao Marais wa upande wa pili wasichague ma CDF wa dini yao?Hoja hii, Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu?. Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine? ina mashiko sana now than ever!.
P
Acha uzwazwa akifa je,napo atamzuia asizikwe?Najua huwa Unanisoma mno hapa JamiiForums kama ilivyo kwa 75% ya Watendaji wako wa Idara Muhimu ya Makao Makuu Oysterbay jirani na Kanisa la Mtakatifu Petro.
Mama (Rais) Samia asikudanganye Mtu kwa sasa bado hakuna right Candidate wa Kumrithi CDF General Mabeyo kutokana na tunayoyasikia (chini chini) huko na jinsi huyu Mabeyo (CDF) alivyoweza Kuliheshimisha Jeshi kuliko lilivyokuwa huko nyuma ambako kuna baadhi ya Maadili ndani ya Wahusika yalianza Kumomonyoka.
Ombi langu Kwako Mpendwa Rais wangu (Mama) mkatalie kwa sasa CDF Mabeyo Kustaafu ila muongezee hadi utakapoapishwa tena Novemba 2025 ili aanze Kukuandalia Mbadala wake ambaye angalau kwa 95% atakuwa anafanana nae kwa Utendaji wa Kutukuka.
Najua kuna Majina unayo tayari Mezani Kwako na lipo la Mmoja kutoka Zanzibar ambaye alikuwa huku Bara muda mrefu ila kwa Kauli za Wenzao amba Sisi Watu wa Kawaida sana Tanzania hii akina GENTAMYCINE huwa tunazisikia kutokana na kuwa na Masikio Makubwa wanasema hawawezi na wana 'makandokando' mengi.
Najua huwezi Kuniangusha Mama.
Cc: adriz
Tulia wewe, jifunze kusikiliza wakubwa wakiongea…. chukua notisi.
Kabila la mashogaWarutsi ni kabila jipya nn?