Rais Samia usikubali CDF General Mabeyo astaafu kwani bado anahitajika na sijaona wa kumrithi kwa sasa

Kwangu Mimi Marais wenye Akili Afrika nzima ni Museveni wa Uganda na Kagame wa Rwanda waliobaki nashangaa kwanini wako Madarakani kwani hakuna wanachokifanya.
 
Ushauri kampe kagame si unajikutakaga wee ni lipua lirefu rais wa tz anakuhusu nn??? Shobo zngne
Nafurahi sana pale Nikiwakera na Kuwajaza Upepo Watanzania na mnacheza vile ninavyowapeleka. Mimi ndiyo GENTAMYCINE bhana..........!!!!
 
Ni lazima tupate Mwislam mwenzetu safari hii. Acha mbwai iwe mbwai.
Ngoja achaguliwe Muislamu ndipo mtatujua Wakristo hasa Wakatoliki wa nchi hii ambao ndiyo tuna Nguvu na Ushawishi kwa Waumini na hata Jamii.
 
Alizidiwa na Diwani hadi yakatokea yaliyotokea, bila huyu bibi asingeapishwa…. sasa basi tena.
Diwani angetolewa pia kama angehusika kwenye sabotage ya 17 to 19th March
 
Bashiru na wahuni wenzake wa Sukuma gang hawakutaka mama aapishwe, Ni Mabeyo ndio aliingilia kati.
Angalia ulivyo Mpunbavu kujifanya uko detailed and well informed wakati ni Empty Set kabisa.

Hivi ndivyo huwa Unadanganywa unapokuwa umekaa Vijiweni na Mabasha zako kisha nawe ndiyo unajitutumua na kuja Kutuandikia hapa JamiiForums ukidhani Members wote tunafanana na Upumbavu Uliokitukuka?

Yaani huwa Nakusanifu kweli kweli hapa JamiiForums ukizingatia nakujua ndani nje mpaka Dereva Bodaboda anayekukazia Mkeo mwenye Miguu mibaya utafikiri Bata Mzinga.
 

Ndio maana mnakula mtama mwekundu badala mle ndizi
 
Unajipa umuhimu usio kuwa nao. Wewe ndio u ajua wanamfaa Rais Samia kuliko washauri wake?
 
Hata hivyo Mabeyo alisomea na kujifunza Jeshi hakusomea kuwa CDF. Anybody can take the chance
 
Jamani huu si uongo kabisa! Nakusihi mkuu GENTAMYCINE kukubali na kuzingatia Katiba na sheria za Nchi yetu.

Huyo ana staafu kwa mjibu wa sheria. Ni kwa ujasiri upi na tafiti ipi (hata Kama wewe ni ofisa mkuu wa serikali) unaweza kututhibitishia kuwa JWTZ+JKT yenye zaidi ya umri wa miaka 50, kuwa yanakosa Murithi wa Mkuu wa Majeshi??

Huku ni kujipendekeza kusiko na mashiko kabisa. Unaongerea mambo sensitive Sana, acha bias ya maono na utashi wako binafisi
 
Mkiruhusu astaafu mtapigwa na M23 na Rwanda kama Kuku. Watanzania andamaneni CDF Mabeyo asistaafu sasa kwani nawaonea Huruma.
Tuanze na wewe? Kwa nini unasema mabeyo akiondoka Tutapigwa na M23? Wewe hujitambui kabisa. Unaongerea mambo ya usalama wa juu kabisa wa Nchi yetu ili hali hujuwi chochote kuhusu Katiba, sheria, kanuni na miongozo hata ya Mjumbe wa nyumba 10.

SIYO KWELI...
 
Sasa wewe umejenga hoja gani? Unafahamu maana ya Hoja? Au una fikiri kila neno ni hoja? ili mradi tu utangulie kusema?

Mwenzio kachambua vizuri hoja zake zidi ya Uongo wako, wewe unakuja na mambo ya r na l. Hii lugha ni ya kwetu na cha msingi mawasiliano. Hili siyo darasa la LUGHA na utakuta wewe hata huna elimu. Mimi kama Mtanzania umenikera Sana.
 
Wewe nani au umetumwa unaleta siasa Jeshi sio chama cha Siasa waache waendelee na utaratibu wao unasema hujaona wakumrithi kwa hiyo tusubiri mpaka azaliwe mwingine? Unaendekeza mawazo ya kichawa chawa
 

Samia si boya tu hii nchi anaiongozaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…