Rais Samia usikubali CDF General Mabeyo astaafu kwani bado anahitajika na sijaona wa kumrithi kwa sasa

Rais Samia usikubali CDF General Mabeyo astaafu kwani bado anahitajika na sijaona wa kumrithi kwa sasa

Mkikubali tu CDF General Mabeyo ( tunayemuogopa sana sisi Warutsi ) astaafu Mwezi huu June basi M23 watakuja Kuichukua Tanzania yote.

Shauri zenu.....!!!!!
Kabla ya hao M23 kuichukua Tanzania, maiti yako itakuwa imebakia mifupa mbbwa wewe
 
Najua huwa Unanisoma mno hapa JamiiForums kama ilivyo kwa 75% ya Watendaji wako wa Idara Muhimu ya Makao Makuu Oysterbay jirani na Kanisa la Mtakatifu Petro.

Mama (Rais) Samia asikudanganye Mtu kwa sasa bado hakuna right Candidate wa Kumrithi CDF General Mabeyo kutokana na tunayoyasikia (chini chini) huko na jinsi huyu Mabeyo (CDF) alivyoweza Kuliheshimisha Jeshi kuliko lilivyokuwa huko nyuma ambako kuna baadhi ya Maadili ndani ya Wahusika yalianza Kumomonyoka.

Ombi langu Kwako Mpendwa Rais wangu (Mama) mkatalie kwa sasa CDF Mabeyo Kustaafu ila muongezee hadi utakapoapishwa tena Novemba 2025 ili aanze Kukuandalia Mbadala wake ambaye angalau kwa 95% atakuwa anafanana nae kwa Utendaji wa Kutukuka.

Najua kuna Majina unayo tayari Mezani Kwako na lipo la Mmoja kutoka Zanzibar ambaye alikuwa huku Bara muda mrefu ila kwa Kauli za Wenzao amba Sisi Watu wa Kawaida sana Tanzania hii akina GENTAMYCINE huwa tunazisikia kutokana na kuwa na Masikio Makubwa wanasema hawawezi na wana 'makandokando' mengi.

Najua huwezi Kuniangusha Mama.

Cc: adriz
Miaka 65 kwa askari ni mzee wa kupindukia!! Apumzike kwa amani duniani badala ya kusubiri kupumzika kwa lazima kaburini!
 
Bila yeye kivipi embu fafanua mkuu?
Umri wake ushagota, ni muda muafaka sasa wa huyu bwana akachia hiyo nafasi huko JWTZ kuna watu wengi tu ambao wameiva zaidi ya huyu Mabeyo

Ila ni muda sasa wa mama kuendelea kulipa fadhila maana bila yeye sidhani kama angekuwa hapo alipo.
 
Kwa heshima na taadhima nakuomba Rais wetu Mama Samia hebu muongezee muda Jenerali Mabeyo.

Utumishi wake umetukuka na wa kiwango cha juu na uaminifu wake ulionekana wakati wa kifo cha hayati Rais Magufuli alisimamia mabadiliko ya urais kwa mujibu wa Katiba

Tunakuomba rais mpe miaka 5 Jenerali Mabeyo.

Aisee, una id nyingi sana
 
Mkikubali tu CDF General Mabeyo ( tunayemuogopa sana sisi Warutsi ) astaafu Mwezi huu June basi M23 watakuja Kuichukua Tanzania yote.

Shauri zenu.....!!!!!
Kifupi kagame akikujua wewe atakuuwa
Kagame Rwanda hataki ukabila kabisa uwe wa kuhutu au kitusi au kitwa wewe unaendekeza utusi humu jamii forums na mitandaoni nakukabidhi kwa Kagame rasmi ajue cha kukufanya na lazima atakupata tu na utajua Kagame ni nani
 
Akistaafu huyo tu M23 wanaichukua Tanzania. Msikubali CDF General Mabeyo astaafu. Andamaneni Watanzania wote shauri zenu.

Hii tabia haipendezi kwenye Idara nyingi, ilifikia JPM anasema, kama mimi nikiondoka.... je hiki kitafanyika au kile kitafanyika. Hii ni ishara TZ haina long term plan , tunaishi kama nyumbu. Kwani Mabeyo alipatikana vipi wengine washindwe kupatikana? TZ ni kubwa kuliko Samia , Kuliko Mabeyo .... hao wote ni wapita njia kama walivyopita wengine. Muda wao ukifika wapishe wengine kufanya majukumu.

Comfort Zone Ni Kirusi kibaya sana.

Just FYI.... there is no more room for MABEYO and atastaafu Kama ilivyo panga ili utambue kwamba TZ haina ile bila mimi... hiki kisinge fanyika. So relax na upunguze fantasy!
 
Fanyeni Makosa yote ila mkimweka CDF Mwanamke asubuhi tu Tanzania inakuwa Mali ya Rwanda na 'Mwamba' Kagame.

Akili zako zinazunguka kwenye comfort zone sana na bado unaonekana una maneno ya uswahilini sana .

Kagame this Kagame that .....FYI.... Kagame is just a piece of ass kwa TZ . Hakuna RAIS wa JMT ambae ameshawahi kumchukulia Kagame serious...., Sisi Competitors wetu ni kama Kenya..... sio hiyo Rwanda ambayo ni sawa na mkoa wa Tabora. Muwe mnanidhamu na TZ
 
Kuna Mkuu wa Mkoa fulani nadhani amekuwa akiandaliwa kwa kazi hii ila sijui protoko zimekaaje.
RC wa Kagera Afande Mbuge ( Poti Mwenzangu kutoka Mkoani Mara ) hawezi tena kuwa CDF kwani kuna Udhaifu fulani anao na ameshindwa Kuudhibiti halafu hata Ripoti zake kutoka kwa Idara Mbili Muhimu ya Jeshini na ile ya Oysterbay ambazo Rais hupelekewa zina Madhambi yake kadhaa ambayo ndiyo yanamuondolea Sifa ya kuwa next CDF japo alistahili kwani hata 85% ya Wanajeshi wanampenda na wanamkubali mno.
 
Popoma katika ubora wako! Je akifa sasahivi au akiugua severely?

Acheni kuwapa umuhimu watu mpaka kuwadharau wengine
 
Umri wake ushagota, ni muda muafaka sasa wa huyu bwana akachia hiyo nafasi huko JWTZ kuna watu wengi tu ambao wameiva zaidi ya huyu Mabeyo

Ila ni muda sasa wa mama kuendelea kulipa fadhila maana bila yeye sidhani kama angekuwa hapo alipo.
Hujawahi Kuniangusha kutokana na IQ yako Kubwa na Ninakukubali kwa hilo.

Hiyo paragraph yako ya Pili ndiyo nami inanifanya kumuomba Mama (; Rais ) amuongezee muda kwani CDF General Mabeyo amemsaidia mengi ila Kimaadili sitoyataja hapa ila najua unayajua yote Mkuu.
 
Mkiruhusu astaafu mtapigwa na M23 na Rwanda kama Kuku. Watanzania andamaneni CDF Mabeyo asistaafu sasa kwani nawaonea Huruma.
na akifa je tutafanyaje?maana yeye ni binadamu,aliondoka nyerere na mambo yanaenda,acha apumzike uongozi wa jeshi ni kazi ngumu na ya lawama,ukimaliza kwa amani ni kumshukuru Mungu.
 
Back
Top Bottom