Ikiwa huko kwenye hao wajumbe hakuna Wana YangaHana haja na kura za wanayanga kwa sababu hategemei kura za wananchi, aliowateua kuwa wajumbe wa tume ya uchaguzi watampa idadi yoyote ya kura kadiri atakavyowaelekeza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiwa huko kwenye hao wajumbe hakuna Wana YangaHana haja na kura za wanayanga kwa sababu hategemei kura za wananchi, aliowateua kuwa wajumbe wa tume ya uchaguzi watampa idadi yoyote ya kura kadiri atakavyowaelekeza.
Kuwafanyia ghasia msafara wa simba uwanjani na Kuzuia simba wasifanye mazoezi ambayo ni haki ya simba kikanuni.Yanga wana kosa gani?
Hivi unajua askari wenye mafunzo ya ukomandoo hapa Tanzania wapo wangapi?Kuwafanyia ghasia msafara wa simba uwanjani na Kuzuia simba wasifanye mazoezi ambayo ni haki ya simba kikanuni.
Ushahidi wa video za vurugu hizo wote umerekodiwa hakuna kichaka cha yanga kujinasua kwenye ghasia hii.
Hao makomandoo wametumwa na yanga kulinda uwanja kabla ya mechi.
Kanuni ipi?Wakitumia kanuni mbona inaonekana yanga ndio wana hatia. yanga ndio wanastahili kuadhibiwa.
Kabisa mkuuRais Samia wewe ni Rais wetu site.
Mara ya kwanza ulitukwaza wanayanga ulivomaliza suala la Feitoto katika kutoa maagizo.
Na ukijua maagizo yako kama Rais hakuna raia wa nchi hii anaweza kuyapinga, Kwa heshima yako wanayanga tulikubali kulimaliza suala hili mezani japo tulishinda kwenye sheria
TFF na bodi ya ligi baada ya kuharibu na kushindwa kusimamia kanuni, Sasa kimbilio ni wewe Rais Samia kukutumia kubariki uvunjifu wa kanuni ati usuluhishe na mambo yaishie kwenye meza
TFF wamepanga kukualika kuwa mgeni rasmi wa mechi itakayopangwa upya, huku wakijua wakikutumia ww viongozi wa Yanga watakosa nguvu ya kukataa na kutetea haki ya Yanga,
Yanga hatutaki hili litokee
Rais Samia tunakuomba acha masuala ya football yaendeshwe Kwa kanuni sio kukutumia Rais kiongozi wa siasa kuingilia football
Simba aadhibiwe Kwa kanuni zilizo wazi, sio kutumia Rais wa serikali kuikandamiza Yanga
Rais akijiingiza kwenye hili suala sio sawa na oktoba atatugawa wapiga kura wake
Ni heri asionyeshe upande wowote, kanuni zisimame
Vyombo vya usuluhushi wa michezo vitumike na timu zipate haki huko CAS
Simba hawakutoa taarifa kwa meneja wa uwanja, mamlaka ndio iliwagomea kuingia Yanga hahusiki na huo upumbavu wenuWakitumia kanuni mbona inaonekana yanga ndio wana hatia. yanga ndio wanastahili kuadhibiwa.
Na simba wote ni mabumundahapo utopoloni wenye akili ni 3 tu.
kikwete na manara na haji manara
Nimeandika, nimefuta😞Yanga wahujumu vip Simba wasifanye mazoezi kwenye uwanja unaomilikiwa na kulindwa na Serikali?
Yaani watu wa Yanga wazuie msafara wa Simba uliosindikizwa na police?
Simba kwanini hawaku report hii jinai police ili wawakamate hao unaosema ni Yanga
Hivi kuna watu wanaosubiri Simba kuadhibiwa? Iadhibiwe kwa mechi ambayo ilikuwa imeshaahirishwa? Kama uamuzi wa TFF wa kuahirisha mechi ungefanyika baada ya saa 1:15 jioni, Simba ingeweza kuadhibiwa. Lakini kwa kuwa TFF iliahirisha mechi masaa kadhaa kabla ya saa 1:15 muda wa mechi, basi hapo Simba yupo salama maana pengine ingeibuka uwanjani kama sio tangazo la TFFSimba aadhibiwe Kwa kanuni zilizo wazi, sio kutumia Rais wa serikali kuikandamiza Yanga