Rais Samia usikubali kunasa kwenye mtego wa TFF

Rais Samia usikubali kunasa kwenye mtego wa TFF

Alivyo wakaribisha futari pale ikulu baada ya kuvishwa shanga shingoni (medali) ya CAFCC, mbna hukusema asijihusishe na mambo ya football?

Kila kitu kitakua sawa km kilivyo pangwa, hakuna wa kuzuia.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Na usisahau aliwapa na ndege mbili kwenda kwenye mechi yao na Mamelod.

Hadi mashabiki walienda.

That moment hatukuona matamko kama haya ya kumuhasa raisi aache kujihusisha na mpira.
 
Na usisahau aliwapa na ndege mbili kwenda kwenye mechi yao na Mamelod.

Hadi mashabiki walienda.

That moment hatukuona matamko kama haya ya kumuhasa raisi aache kujihusisha na mpira.
Tulia mbumbumbu
 
Hawa watu ukienda kisheria unawashinda, eti makomandoo wa yanga, hawa makomandoo wa yanga wanatambulika kisheria ? Makomandoo wa yanga ndio walinzi na washika funguo za uwanja ? Mbona SIELEWI? Aliewazuia Simba ni nani sababu Yanga hawez kumzuia Simba kuingia uwanjani...
Kwa huyo Wakili wenu wa mchongo au mwingne???
 
Rais Samia wewe ni Rais wetu site.
Mara ya kwanza ulitukwaza wanayanga ulivomaliza suala la Feitoto katika kutoa maagizo.
Na ukijua maagizo yako kama Rais hakuna raia wa nchi hii anaweza kuyapinga, Kwa heshima yako wanayanga tulikubali kulimaliza suala hili mezani japo tulishinda kwenye sheria

TFF na bodi ya ligi baada ya kuharibu na kushindwa kusimamia kanuni, Sasa kimbilio ni wewe Rais Samia kukutumia kubariki uvunjifu wa kanuni ati usuluhishe na mambo yaishie kwenye meza

TFF wamepanga kukualika kuwa mgeni rasmi wa mechi itakayopangwa upya, huku wakijua wakikutumia ww viongozi wa Yanga watakosa nguvu ya kukataa na kutetea haki ya Yanga,
Yanga hatutaki hili litokee

Rais Samia tunakuomba acha masuala ya football yaendeshwe Kwa kanuni sio kukutumia Rais kiongozi wa siasa kuingilia football

Simba aadhibiwe Kwa kanuni zilizo wazi, sio kutumia Rais wa serikali kuikandamiza Yanga

Rais akijiingiza kwenye hili suala sio sawa na oktoba atatugawa wapiga kura wake
Ni heri asionyeshe upande wowote, kanuni zisimame
Vyombo vya usuluhushi wa michezo vitumike na timu zipate haki huko CAS
Kwenye ligi namba moja zamalek anagoma kucheza na ahly kila mara Kwa sababu mbalimbali mara ya mwisho walitaka refa atoke Spain na maisha yanaenda ,hakuna jambo dogo Kwa club ya Simba ,hakuna kanuni inayoweza kuiadhibu Simba SC.usitegemee Simba aingize team uwanjani kisa yanga analipa faini ya m5 ujinga huo mtafanya Kwa club nyingine sio Simba ,Simba sio genge la wahuni .
 
Kabla ya kumshauri rais ungeanza na kuwalaumu viongozi wako kuwa machawa.
Rais kuwa mgeni rasmi wa mechi ambayo nyinyi hamuitambui hakuwalazimishi nyinyi kuleta timu labda uchawa tu wa viongozi wenu ndio uwafanye mlete timu

Nyuma mwiko simamieni mnachokiamini acheni kulia lia mitandaoni na mmeshasema hamchezi sasa uoga wa nn?
 
Kaka hii mechi watu wakitaka ichezwe wala hawana shida na rais wa nchi. Simu itapigwa pale Chalinze kwa rais mstaafu, yule Mzee ndo atatoa amri kwa rais wako wa timu apeleke timu uwanjan.
Mufanye maamuzi ya kisengerema kwa kumtegemea Msoga aokoe jahazi, kwani yeye Uto haimuumi?
Natabiri ikitokea kupigiwa Simu atawaambia "mlishindwa nini kumpigia Kitelefoni Cha Ruangwa kuwatahadharisha hatari ya kugomea mchezo?
Au Albert Bashite amvutie Uzi mmiliki wa timu bwana Moo unadhani uongozi wa Madunduka ungekaidi?
Mmeshalikoroga linyweni hivyo hivyo." Anamalizia kwa "Ukiambiwa changanya na zako he he he he."
 
Rais Samia wewe ni Rais wetu sote.
Mara ya kwanza ulitukwaza wanayanga ulivomaliza suala la Feitoto katika kutoa maagizo.
Na ukijua maagizo yako kama Rais hakuna raia wa nchi hii anaweza kuyapinga, Kwa heshima yako wanayanga tulikubali kulimaliza suala hili mezani japo tulishinda kwenye sheria

TFF na bodi ya ligi baada ya kuharibu na kushindwa kusimamia kanuni, Sasa kimbilio ni wewe Rais Samia kukutumia kubariki uvunjifu wa kanuni ati usuluhishe na mambo yaishie kwenye meza

TFF wamepanga kukualika kuwa mgeni rasmi wa mechi itakayopangwa upya, huku wakijua wakikutumia ww viongozi wa Yanga watakosa nguvu ya kukataa na kutetea haki ya Yanga,
Yanga hatutaki hili litokee

Rais Samia tunakuomba acha masuala ya football yaendeshwe Kwa kanuni sio kukutumia Rais kiongozi wa siasa kuingilia football

Simba aadhibiwe Kwa kanuni zilizo wazi, sio kutumia Rais wa serikali kuikandamiza Yanga

Rais akijiingiza kwenye hili suala sio sawa na oktoba atatugawa wapiga kura wake
Ni heri asionyeshe upande wowote, kanuni zisimame
Vyombo vya usuluhushi wa michezo vitumike na timu zipate haki huko CAS
Dah wewe ni kilaza aswaaa
 
Kwani Feisal aliondokaje hapo uto. Hapo ndio utajua hujui lazima mechi ipigwe
 
Alivyo wakaribisha futari pale ikulu baada ya kuvishwa shanga shingoni (medali) ya CAFCC, mbna hukusema asijihusishe na mambo ya football?

Kila kitu kitakua sawa km kilivyo pangwa, hakuna wa kuzuia.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Yanga hatuchezi tena na wahuni, Yanga ni brand kubwa msiichezee , mechi ikipangwa tena makolo mtapeleka uwanjani timu yenu mkacheze wenyewe
 
Huyu jamaa naye anaona amemshauri Rais,kwani Rais hajaona zile clip mkiwazuiya wachezaji wa Simba kufanya mazoezi.
 
Back
Top Bottom