Rais Samia usikubali kunasa kwenye mtego wa TFF

Hana haja na kura za wanayanga kwa sababu hategemei kura za wananchi, aliowateua kuwa wajumbe wa tume ya uchaguzi watampa idadi yoyote ya kura kadiri atakavyowaelekeza.
Ikiwa huko kwenye hao wajumbe hakuna Wana Yanga
 
Hii mechi ya simba na yanga imetumika politically trust me.

Imeahirishwa halafu hiyo ya pili mgeni rasmi ni rais???

Mitanzania imeshupaza shingo kwenye mpira aseeeeee!!!

Nyie watu wa mipira mnatufelisha sana.
 
Anavyopenda mialiko, anaanzaje kukataa huo mualiko.

Hata wewe ukiwa na shughuli yako ya jando na ukajuana na watu wawili watatu wenye influence, anakuja.
 
Ligi ya bongo ni ya kihuni na upangaji matokeo. Hasa Yanga ndo wameharibu ligi na genge lao la wanasiasa.
 
Yanga wana kosa gani?
Kuwafanyia ghasia msafara wa simba uwanjani na Kuzuia simba wasifanye mazoezi ambayo ni haki ya simba kikanuni.
Ushahidi wa video za vurugu hizo wote umerekodiwa hakuna kichaka cha yanga kujinasua kwenye ghasia hii.
Hao makomandoo wametumwa na yanga kulinda uwanja kabla ya mechi.
 
Hivi unajua askari wenye mafunzo ya ukomandoo hapa Tanzania wapo wangapi?
Yanga inamiliki vip Askari adimu wenye mazuri magumu kimedani ndani ya Tanzania?
Hivi unaamini Kuna raia wa kuzuia msafara wa Simba uliosindikizwa na police na wao kukubali kurudi nyuma.
 
Hizi ndio ng’ombe CHADEMA inazitafutia Katiba mpya!!! Inasikitisha sana
 
Kaka hii mechi watu wakitaka ichezwe wala hawana shida na rais wa nchi. Simu itapigwa pale Chalinze kwa rais mstaafu, yule Mzee ndo atatoa amri kwa rais wako wa timu apeleke timu uwanjan.
 
Kabisa mkuu
Mama kama mkuu wa nchi tunamwamini, akae mbali na hili, hawa wahuni wa TFF na Simba wanaweza kumtumia kufunika upumbavu wao walioutengeneza🚮
 
Kaka hii mechi watu wakitaka ichezwe wala hawana shida na rais wa nchi. Simu itapigwa pale Chalinze kwa rais mstaafu, yule Mzee ndo atatoa amri kwa rais wako wa timu apeleke timu uwanjan.
Hili pia linawezekana
 
Yanga wahujumu vip Simba wasifanye mazoezi kwenye uwanja unaomilikiwa na kulindwa na Serikali?
Yaani watu wa Yanga wazuie msafara wa Simba uliosindikizwa na police?
Simba kwanini hawaku report hii jinai police ili wawakamate hao unaosema ni Yanga
Nimeandika, nimefutašŸ˜ž
 
Simba aadhibiwe Kwa kanuni zilizo wazi, sio kutumia Rais wa serikali kuikandamiza Yanga
Hivi kuna watu wanaosubiri Simba kuadhibiwa? Iadhibiwe kwa mechi ambayo ilikuwa imeshaahirishwa? Kama uamuzi wa TFF wa kuahirisha mechi ungefanyika baada ya saa 1:15 jioni, Simba ingeweza kuadhibiwa. Lakini kwa kuwa TFF iliahirisha mechi masaa kadhaa kabla ya saa 1:15 muda wa mechi, basi hapo Simba yupo salama maana pengine ingeibuka uwanjani kama sio tangazo la TFF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…