Rais Samia usipangue Wakurugenzi wa Halmashauri, ile ni nafasi ya utumishi wa umma

Rais Samia usipangue Wakurugenzi wa Halmashauri, ile ni nafasi ya utumishi wa umma

Mimi siyo Hudson Kamoga yule aliyekuwa mtangazaji wa Clouds akateuliwa kuwa DED Hanang. Bali ni Mtanzania ninayetaka Rais asahihishe mambo ambayo Mwendazake alikuwa anafanya kwa msukumo wa hisia binafsi
So unaposema Kamoga hastahili wale walioteuliwa juzi na Samia ni wazuri sana?. Unafiki tu wa kuona kila alichofanya Magufuli ni kibaya na Anachofanya Samia ni kizuri.
 
Mwaka 2015 Magufuli alipoingia madarakani alipanua wigo wa uteuzi na kuapisha. Tulishuhudia akiteua waliokuwa makada wa CCM zaidi ya 200 na kuwapa nafasi za Ukurugenzi wa Halmashauri (DED) na wengine wakiwa na DAS ( maafisa tawala wa wilaya). Na kisha akawaapisha. Hii ilipelekea ma DED wengi waliokuwapo kabla kubakia "Bench" bila kazi

Kabla ya Mwendazake nafasi hizi zilikuwa ni za watumishi waliopo Halmashauri na wilayani walikuwa wanazipata kwa kupanda ngazi kutegemeana na upatikanaji wa nafasi ya wazi (vacant position) baada ya aliyekuwapo kustaafu, kufariki au kuchukuliwa hatua za nidhamu. Ndipo Wizara inafanya mchakato wa ndani na kupeleka majina kwa Rais kwa uteuzi.

Alichofanya Mwendazake ilikuwa ni uvunjifu wa katiba ya JMT kuwaleta kwenye utumishi wa umma watu ambao ni wanachama wa Chama cha Siasa.

Nashauri kwa Rais SSH chonde chonde katika vitu vibaya vya Mwendazake ulivyoamua kuviacha basi na hiki cha kuteua makada kuwa ma DED na ma DAS usithubutu. Acha mchakato wa utumishi wa umma uchukue nafasi.
Naonga mkono hoja ila tunapaswa kwenda mbali zaidi na kutangaza nafasi za ukurugenzi wa halmashauri zote nchini kwani sii nafasi za kisiasa ni nafasi za utendaji zaidi. Let us not politisize everything.
 
Mwaka 2015 Magufuli alipoingia madarakani alipanua wigo wa uteuzi na kuapisha. Tulishuhudia akiteua waliokuwa makada wa CCM zaidi ya 200 na kuwapa nafasi za Ukurugenzi wa Halmashauri (DED) na wengine wakiwa na DAS ( maafisa tawala wa wilaya). Na kisha akawaapisha. Hii ilipelekea ma DED wengi waliokuwapo kabla kubakia "Bench" bila kazi

Kabla ya Mwendazake nafasi hizi zilikuwa ni za watumishi waliopo Halmashauri na wilayani walikuwa wanazipata kwa kupanda ngazi kutegemeana na upatikanaji wa nafasi ya wazi (vacant position) baada ya aliyekuwapo kustaafu, kufariki au kuchukuliwa hatua za nidhamu. Ndipo Wizara inafanya mchakato wa ndani na kupeleka majina kwa Rais kwa uteuzi.

Alichofanya Mwendazake ilikuwa ni uvunjifu wa katiba ya JMT kuwaleta kwenye utumishi wa umma watu ambao ni wanachama wa Chama cha Siasa.

Nashauri kwa Rais SSH chonde chonde katika vitu vibaya vya Mwendazake ulivyoamua kuviacha basi na hiki cha kuteua makada kuwa ma DED na ma DAS usithubutu. Acha mchakato wa utumishi wa umma uchukue nafasi.
Nafikiri Rais atusaidie kuondoa Wakurugenzi makada wa chama ili aanzishe mfumo wa kutangaza nafasi hizi kwa uwazi na kuapishwa na Waziri au yeye mwenyewe. Hizi ni nafasi za kiutendaji zahitaji skills sio porojo za kisiasa.
 
So unaposema Kamoga hastahili wale walioteuliwa juzi na Samia ni wazuri sana?. Unafiki tu wa kuona kila alichofanya Magufuli ni kibaya na Anachofanya Samia ni kizuri.
Vya Magufuli ni vibaya na vya kishetani ndiyo maana amekufa!! Mungu alichukizwa na namna alivyotenda
 
Mwaka 2015 Magufuli alipoingia madarakani alipanua wigo wa uteuzi na kuapisha. Tulishuhudia akiteua waliokuwa makada wa CCM zaidi ya 200 na kuwapa nafasi za Ukurugenzi wa Halmashauri (DED) na wengine wakiwa na DAS ( maafisa tawala wa wilaya). Na kisha akawaapisha. Hii ilipelekea ma DED wengi waliokuwapo kabla kubakia "Bench" bila kazi

Kabla ya Mwendazake nafasi hizi zilikuwa ni za watumishi waliopo Halmashauri na wilayani walikuwa wanazipata kwa kupanda ngazi kutegemeana na upatikanaji wa nafasi ya wazi (vacant position) baada ya aliyekuwapo kustaafu, kufariki au kuchukuliwa hatua za nidhamu. Ndipo Wizara inafanya mchakato wa ndani na kupeleka majina kwa Rais kwa uteuzi.

Alichofanya Mwendazake ilikuwa ni uvunjifu wa katiba ya JMT kuwaleta kwenye utumishi wa umma watu ambao ni wanachama wa Chama cha Siasa.

Nashauri kwa Rais SSH chonde chonde katika vitu vibaya vya Mwendazake ulivyoamua kuviacha basi na hiki cha kuteua makada kuwa ma DED na ma DAS usithubutu. Acha mchakato wa utumishi wa umma uchukue nafasi.

Mh.Rais Samia Suluhu Hassan
Nakusalimu kwa jina la Jamhuribya Muungano wa Tanzania....
Kazi Iendelee
Naomba Chonde chonde Badilisha hata Nusu ya Wakurugenzi...
Watumishi wa Umma wako wengi Mnooo
Huko Wizarani,Taasisi za Serikali!
Usiache watu wa sehemu moja ndio washike Hatamu Ufanisi utapungua na Kufanya Kwa Mazoea...
Badilisha Toa huyu huku Peleka hiyu Kule...Taasisi nyingi za Serikali kuna Vichwa Vizuri tuu!
Usikubali Kukaa na watu sehemu moja Kwa Miaka 5,Wabadilishe ikiwezekana wengine wapumzike....
Taasyza Umma zimejaa Watu weledi na wenye uwezo.
Nakutakia Kazi Njema.
Serikali ni Yetu Sote Watumishi wa Umma[emoji3][emoji3]
Sijui Nifungue na Uzi kabisa[emoji851][emoji851]
 
Hapana ni vizuri kupangua ili kupanga timu yake ila hao ambao waliingia kama wanasiasa anaweza kuwaondoa lakini kulingana na utendaji wao. Vinginevyo wakurugenzi wa halmashauri ni wateule wa Rais na ni mamlaka yao ya nidhamu ni muhimu kuwapangua ili kujenga ufanisi wa kazi kwa mujibu wa sheria ya utumishi wa umma 2002. Sheria hiyo inampa madaraka ya kupangua na kuhamisha watumishi wa umma.

Cc
raisi Samia suluhu Hassan hii point imetulia[emoji3516][emoji122][emoji1666][emoji1666]
 
Back
Top Bottom