So unaposema Kamoga hastahili wale walioteuliwa juzi na Samia ni wazuri sana?. Unafiki tu wa kuona kila alichofanya Magufuli ni kibaya na Anachofanya Samia ni kizuri.Mimi siyo Hudson Kamoga yule aliyekuwa mtangazaji wa Clouds akateuliwa kuwa DED Hanang. Bali ni Mtanzania ninayetaka Rais asahihishe mambo ambayo Mwendazake alikuwa anafanya kwa msukumo wa hisia binafsi
Naonga mkono hoja ila tunapaswa kwenda mbali zaidi na kutangaza nafasi za ukurugenzi wa halmashauri zote nchini kwani sii nafasi za kisiasa ni nafasi za utendaji zaidi. Let us not politisize everything.Mwaka 2015 Magufuli alipoingia madarakani alipanua wigo wa uteuzi na kuapisha. Tulishuhudia akiteua waliokuwa makada wa CCM zaidi ya 200 na kuwapa nafasi za Ukurugenzi wa Halmashauri (DED) na wengine wakiwa na DAS ( maafisa tawala wa wilaya). Na kisha akawaapisha. Hii ilipelekea ma DED wengi waliokuwapo kabla kubakia "Bench" bila kazi
Kabla ya Mwendazake nafasi hizi zilikuwa ni za watumishi waliopo Halmashauri na wilayani walikuwa wanazipata kwa kupanda ngazi kutegemeana na upatikanaji wa nafasi ya wazi (vacant position) baada ya aliyekuwapo kustaafu, kufariki au kuchukuliwa hatua za nidhamu. Ndipo Wizara inafanya mchakato wa ndani na kupeleka majina kwa Rais kwa uteuzi.
Alichofanya Mwendazake ilikuwa ni uvunjifu wa katiba ya JMT kuwaleta kwenye utumishi wa umma watu ambao ni wanachama wa Chama cha Siasa.
Nashauri kwa Rais SSH chonde chonde katika vitu vibaya vya Mwendazake ulivyoamua kuviacha basi na hiki cha kuteua makada kuwa ma DED na ma DAS usithubutu. Acha mchakato wa utumishi wa umma uchukue nafasi.
Nafikiri Rais atusaidie kuondoa Wakurugenzi makada wa chama ili aanzishe mfumo wa kutangaza nafasi hizi kwa uwazi na kuapishwa na Waziri au yeye mwenyewe. Hizi ni nafasi za kiutendaji zahitaji skills sio porojo za kisiasa.Mwaka 2015 Magufuli alipoingia madarakani alipanua wigo wa uteuzi na kuapisha. Tulishuhudia akiteua waliokuwa makada wa CCM zaidi ya 200 na kuwapa nafasi za Ukurugenzi wa Halmashauri (DED) na wengine wakiwa na DAS ( maafisa tawala wa wilaya). Na kisha akawaapisha. Hii ilipelekea ma DED wengi waliokuwapo kabla kubakia "Bench" bila kazi
Kabla ya Mwendazake nafasi hizi zilikuwa ni za watumishi waliopo Halmashauri na wilayani walikuwa wanazipata kwa kupanda ngazi kutegemeana na upatikanaji wa nafasi ya wazi (vacant position) baada ya aliyekuwapo kustaafu, kufariki au kuchukuliwa hatua za nidhamu. Ndipo Wizara inafanya mchakato wa ndani na kupeleka majina kwa Rais kwa uteuzi.
Alichofanya Mwendazake ilikuwa ni uvunjifu wa katiba ya JMT kuwaleta kwenye utumishi wa umma watu ambao ni wanachama wa Chama cha Siasa.
Nashauri kwa Rais SSH chonde chonde katika vitu vibaya vya Mwendazake ulivyoamua kuviacha basi na hiki cha kuteua makada kuwa ma DED na ma DAS usithubutu. Acha mchakato wa utumishi wa umma uchukue nafasi.
Vya Magufuli ni vibaya na vya kishetani ndiyo maana amekufa!! Mungu alichukizwa na namna alivyotendaSo unaposema Kamoga hastahili wale walioteuliwa juzi na Samia ni wazuri sana?. Unafiki tu wa kuona kila alichofanya Magufuli ni kibaya na Anachofanya Samia ni kizuri.
Mwaka 2015 Magufuli alipoingia madarakani alipanua wigo wa uteuzi na kuapisha. Tulishuhudia akiteua waliokuwa makada wa CCM zaidi ya 200 na kuwapa nafasi za Ukurugenzi wa Halmashauri (DED) na wengine wakiwa na DAS ( maafisa tawala wa wilaya). Na kisha akawaapisha. Hii ilipelekea ma DED wengi waliokuwapo kabla kubakia "Bench" bila kazi
Kabla ya Mwendazake nafasi hizi zilikuwa ni za watumishi waliopo Halmashauri na wilayani walikuwa wanazipata kwa kupanda ngazi kutegemeana na upatikanaji wa nafasi ya wazi (vacant position) baada ya aliyekuwapo kustaafu, kufariki au kuchukuliwa hatua za nidhamu. Ndipo Wizara inafanya mchakato wa ndani na kupeleka majina kwa Rais kwa uteuzi.
Alichofanya Mwendazake ilikuwa ni uvunjifu wa katiba ya JMT kuwaleta kwenye utumishi wa umma watu ambao ni wanachama wa Chama cha Siasa.
Nashauri kwa Rais SSH chonde chonde katika vitu vibaya vya Mwendazake ulivyoamua kuviacha basi na hiki cha kuteua makada kuwa ma DED na ma DAS usithubutu. Acha mchakato wa utumishi wa umma uchukue nafasi.
Hapana ni vizuri kupangua ili kupanga timu yake ila hao ambao waliingia kama wanasiasa anaweza kuwaondoa lakini kulingana na utendaji wao. Vinginevyo wakurugenzi wa halmashauri ni wateule wa Rais na ni mamlaka yao ya nidhamu ni muhimu kuwapangua ili kujenga ufanisi wa kazi kwa mujibu wa sheria ya utumishi wa umma 2002. Sheria hiyo inampa madaraka ya kupangua na kuhamisha watumishi wa umma.