Rais Samia usipoangalia mambo mengi ktk Serikali yako kwa jicho la tatu njia itakuwa na miiba mingi sana...

Rais Samia usipoangalia mambo mengi ktk Serikali yako kwa jicho la tatu njia itakuwa na miiba mingi sana...

Mh Rais Samia Shikamoo.

Hongera kwa kazi ya ujenzi wa Taifa la Tanzania. Pia Hongera kwa kuwa Rais wa kwanza Mwanamke sisi kama watanzania tunajivunia kwa kuwa hii inadhihirisha Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama pamoja na katiba yetu vipo imara.

Rais sijasomea kutoa ushauri kwa viongozi wakuu wakitaifa wala Sina elimu ya siasa ukiacha elimu nyingine za Dunia na mambo ya uchumi pia na karama ambayo nimezaliwa nayo yakuona kesho au miaka mingi inayokuja samahani lakini sijisifu nikipaji nimeona Mungu kanipa kwa faida ya Taifa langu. Nikipaji ambacho duniani kwa sasa ndio Habari ya mjini uwezo wakuiona kesho nakufanya maamuzi leo au maandalizi leo kabla ya kesho au siku yatukio.

Viongozi huwa na maono pia viongozi huwa na ndoto. Yes huwezi kuwa kiongozi usiwe na ndoto au vision hivyo kwa makala hii leo nakushauri usiidharau ndoto unayo iyota. Narudia tena samahani Mh Rais nakushauri usiidharau ndoto unaiyota na usiyadharau maono unayo yaona hasa wakati wa mchana au kwenye halaiki au kwenye mikutano ya Siri ya kitaifa au usiku wa manane.. Unaweza sema anasema Nini huyu mtoto? Mh Rais nakupa mfano unaweza ukawa imeingia kwenye mkutano nyeti wa kitaifa na mara ghafla ukaona Giza wakati ni mchana na taa zina Waka kama ni usiku Umeme haujakatika.

Rais Giza Hilo lina maana kubwa sana usisema labda uchovu au usingizi nop hapo Kuna shida. Badala yakuendelea na kikao ingia chumba cha Siri muombe Mwenyezi Mungu na utashangaa majibu utayapata. Mfano mwingine unaweza ukawa umeletewa file na kila kitu unaona kipo poa ila shika pen 🖊️ u sign mkono mzito Mh Rais usi sign nakuomba usi Sign hapo Mungu anakushitua kitu na ukitaka prove muite mtu wako wa siri mpe kurudia ile kazi kwa siri na utashangaa majibu utakutana nayo. Usishangae huwo ndio uwezo wa Mungu kwa viongozi.

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Kiti umekikalia sio kiti cha kawaida. Nikiti kizuri chenye utukufu wahapa duniani ila sio ahera. Nikiti kinawala walio kikalia na kuwakausha wanao kigusa kwasababu kina Mamlaka na mwenye Mamlaka nialie kikalia sio anaye kibeba. Unapo ingia Ikulu jiulize wangapi wamekikalia na kwanini wewe umekikalia ili Mungu wako akuonyeshe Yale sisi atuwezi kuyaona ila Wewe tu ulie kikalia. Mh Rais Taifa hili ni kubwa na maoni yangu kutoka sasa embu jaribu kushirikisha jicho la Tatu kwasababu Mimi kwa Imani yangu Nina amini haupo hapo kwa bahati mbaya ila kwa kisudi la Mungu kwa watanzania.

Rais haitowezekana wewe kuwa na Rafiki wa kweli ila wengi nikujikomba na kukulamba miguu wapate mkate wao wasiku wanaweza hata kuvua nguo nakujigarakaza Samia hakuna kama wewe na hata kufikia kusema hata Mungu anajuwa hakuna kama wewe hawa hawa ukiwaona ingia vyumba vya Siri wakabidhi kwa Mungu na umuombe ukuthibitishie semi zao nataka kuhakikisha utakachokiona utaogopa na hukutegemea maana matendo yao na wanachokifanya gizani hata mchawi hawamfiki. Jicho la tatu. Jicho la tatu.

Rais kama yupo mwanasiasa, marafiki au mtu mwenye nguvu ktk siasa zako anakushauri eti kurusha mawe na vijembe na dhihaka kwa awamu ya Tano ndio njia yakupanda kisiasa Mh Rais nakuomba uyatafakari hayo mara Saba sabini sioni picha nzuri kwa wimbi hili na kama nakosea basi pia naomba radhi Mh unaweza kuachia hiyo hali ila kwa maono yangu vile Mungu ananionyesha usipo dhibiti huu upepo mwisho hautokuwa mzuri kama Taifa na hata mpaka sasa naona mpasuko mkubwa unataka kulikumba Taifa kwa kujadili mambo ya awamu ya Tano. Lakini Siri zote mnazo na ukweli wote mnao je mtatengeneza uwasi ndani ya serikali ile ile unaiongoza? Nakama ndivyo Nini kitatokea? Jibu lipo kwenye kuangalia mambo ktk jicho la tatu.

Mh Rais ufa WA Muungano NAUWONA uleeee NAUWONA ulee pale nakusii shirikisha jicho la tatu. Wakati German na Russian wanagonga mvinyo nakufurahia Nodsrim 2 Marekani KUPITIA shirika lake la ujasusi alimuonya German na Ulaya yakuwa Hilo Bomba linaenda kuanzisha vita na hicho ndicho kimetokea. Mh Rais sio kila project ni ya maendeleo ila zipo project usipo shirikisha jicho la tatu utatuacha na tatizo miaka michache ijayo tafakari ktk Hilo. Naikikupendeza watumie majasusi wetu kupata ukweli wakile kinaendelea kama nimapicha ama nikitugani sisi tulioko nje hatuoni dalili nzuri.

Mh Rais wasaidizi wako au watu umewachagua sio rafiki zako ila umewachagua kwa minajili kuwatumikia watanzania. Mh Rais vilio na kelele unazisikia sio ndoto ila nikweli embu jaribu pitia vyema report za watu wako wa siri mara mbili mbili na mapendekezo yao. Chambua mara kuchambua kelele unasikia sio kelele za artificial ila niukweli ambao usipo fanya hard decision leo au kesho itakusumbua mbeleni lakini sio lazima kutekeleza.

Mh Rais je unafurahia government expenditures ilivyo Kaa kwa sasa? Embu fanya analysis ya posho,safari na salary bila kuweka gharama ya maintenance za Mali za serikali Kisha uchukue hatua ipo haja chukua hatua ama nionavyo mm base on project serikali inazo mbele uchumi utakuwa kwenye mkwamo hasa hali ya sasa ya vita isipo pata usuluhishi mapema nchi zetu serikali msipo anza funga mkanda mtashindwa kuajiri na pia mtashindwa lipa mishahara. Mbaya kuliko yote nikukosa nguvu yakufanyia manunuzi ya nje ambapo deni letu ktk USD litakiwa likikwangua ukwasi wa fx ktk hazina yetu. Jambo hili litaleta hatari kubwa kwasababu kama huna mavuno yakutosha maana yake huna chakula jambo litakufanya nunua chakula nje. Kumbuka BOP yetu is not balance means exp is low over importation which is high.

Mh Rais ipo siku utapokea wajumbe, wajumbe hawa hawatokuwa watu wakawaida na watakuja nyakati either ya asubuh au mchana kwenye kati ya mwaka 2024 mwisho au 2025. Mh heshimiwa haya ni maono yangu na sitaki kuamini kama nikweli itatokea ama laa. Ila ushauri wangu yasikilize maneno yao ukamuombe Mungu akusaidie kutegua kitendawili amabcho ktk hali ya kibinadam kitakuwa kigumu sana ila kitakuwa na fumbo la hatima ya Tanzania yetu. Usisahau kusema Asante kwa Mungu maana ndie sababu ya kuwepo kwetu sisi wanadam.

Mh Rais naomba niishie hapa kwa leo nitaendelea ikimpendeza Mungu. Asante
Kazi bado ningumu 😭
 
Mh Rais Samia Shikamoo.

Hongera kwa kazi ya ujenzi wa Taifa la Tanzania. Pia Hongera kwa kuwa Rais wa kwanza Mwanamke sisi kama watanzania tunajivunia kwa kuwa hii inadhihirisha Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama pamoja na katiba yetu vipo imara.

Rais sijasomea kutoa ushauri kwa viongozi wakuu wakitaifa wala Sina elimu ya siasa ukiacha elimu nyingine za Dunia na mambo ya uchumi pia na karama ambayo nimezaliwa nayo yakuona kesho au miaka mingi inayokuja samahani lakini sijisifu nikipaji nimeona Mungu kanipa kwa faida ya Taifa langu. Nikipaji ambacho duniani kwa sasa ndio Habari ya mjini uwezo wakuiona kesho nakufanya maamuzi leo au maandalizi leo kabla ya kesho au siku yatukio.

Viongozi huwa na maono pia viongozi huwa na ndoto. Yes huwezi kuwa kiongozi usiwe na ndoto au vision hivyo kwa makala hii leo nakushauri usiidharau ndoto unayo iyota. Narudia tena samahani Mh Rais nakushauri usiidharau ndoto unaiyota na usiyadharau maono unayo yaona hasa wakati wa mchana au kwenye halaiki au kwenye mikutano ya Siri ya kitaifa au usiku wa manane.. Unaweza sema anasema Nini huyu mtoto? Mh Rais nakupa mfano unaweza ukawa imeingia kwenye mkutano nyeti wa kitaifa na mara ghafla ukaona Giza wakati ni mchana na taa zina Waka kama ni usiku Umeme haujakatika.

Rais Giza Hilo lina maana kubwa sana usisema labda uchovu au usingizi nop hapo Kuna shida. Badala yakuendelea na kikao ingia chumba cha Siri muombe Mwenyezi Mungu na utashangaa majibu utayapata. Mfano mwingine unaweza ukawa umeletewa file na kila kitu unaona kipo poa ila shika pen 🖊️ u sign mkono mzito Mh Rais usi sign nakuomba usi Sign hapo Mungu anakushitua kitu na ukitaka prove muite mtu wako wa siri mpe kurudia ile kazi kwa siri na utashangaa majibu utakutana nayo. Usishangae huwo ndio uwezo wa Mungu kwa viongozi.

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Kiti umekikalia sio kiti cha kawaida. Nikiti kizuri chenye utukufu wahapa duniani ila sio ahera. Nikiti kinawala walio kikalia na kuwakausha wanao kigusa kwasababu kina Mamlaka na mwenye Mamlaka nialie kikalia sio anaye kibeba. Unapo ingia Ikulu jiulize wangapi wamekikalia na kwanini wewe umekikalia ili Mungu wako akuonyeshe Yale sisi atuwezi kuyaona ila Wewe tu ulie kikalia. Mh Rais Taifa hili ni kubwa na maoni yangu kutoka sasa embu jaribu kushirikisha jicho la Tatu kwasababu Mimi kwa Imani yangu Nina amini haupo hapo kwa bahati mbaya ila kwa kisudi la Mungu kwa watanzania.

Rais haitowezekana wewe kuwa na Rafiki wa kweli ila wengi nikujikomba na kukulamba miguu wapate mkate wao wasiku wanaweza hata kuvua nguo nakujigarakaza Samia hakuna kama wewe na hata kufikia kusema hata Mungu anajuwa hakuna kama wewe hawa hawa ukiwaona ingia vyumba vya Siri wakabidhi kwa Mungu na umuombe ukuthibitishie semi zao nataka kuhakikisha utakachokiona utaogopa na hukutegemea maana matendo yao na wanachokifanya gizani hata mchawi hawamfiki. Jicho la tatu. Jicho la tatu.

Rais kama yupo mwanasiasa, marafiki au mtu mwenye nguvu ktk siasa zako anakushauri eti kurusha mawe na vijembe na dhihaka kwa awamu ya Tano ndio njia yakupanda kisiasa Mh Rais nakuomba uyatafakari hayo mara Saba sabini sioni picha nzuri kwa wimbi hili na kama nakosea basi pia naomba radhi Mh unaweza kuachia hiyo hali ila kwa maono yangu vile Mungu ananionyesha usipo dhibiti huu upepo mwisho hautokuwa mzuri kama Taifa na hata mpaka sasa naona mpasuko mkubwa unataka kulikumba Taifa kwa kujadili mambo ya awamu ya Tano. Lakini Siri zote mnazo na ukweli wote mnao je mtatengeneza uwasi ndani ya serikali ile ile unaiongoza? Nakama ndivyo Nini kitatokea? Jibu lipo kwenye kuangalia mambo ktk jicho la tatu.

Mh Rais ufa WA Muungano NAUWONA uleeee NAUWONA ulee pale nakusii shirikisha jicho la tatu. Wakati German na Russian wanagonga mvinyo nakufurahia Nodsrim 2 Marekani KUPITIA shirika lake la ujasusi alimuonya German na Ulaya yakuwa Hilo Bomba linaenda kuanzisha vita na hicho ndicho kimetokea. Mh Rais sio kila project ni ya maendeleo ila zipo project usipo shirikisha jicho la tatu utatuacha na tatizo miaka michache ijayo tafakari ktk Hilo. Naikikupendeza watumie majasusi wetu kupata ukweli wakile kinaendelea kama nimapicha ama nikitugani sisi tulioko nje hatuoni dalili nzuri.

Mh Rais wasaidizi wako au watu umewachagua sio rafiki zako ila umewachagua kwa minajili kuwatumikia watanzania. Mh Rais vilio na kelele unazisikia sio ndoto ila nikweli embu jaribu pitia vyema report za watu wako wa siri mara mbili mbili na mapendekezo yao. Chambua mara kuchambua kelele unasikia sio kelele za artificial ila niukweli ambao usipo fanya hard decision leo au kesho itakusumbua mbeleni lakini sio lazima kutekeleza.

Mh Rais je unafurahia government expenditures ilivyo Kaa kwa sasa? Embu fanya analysis ya posho,safari na salary bila kuweka gharama ya maintenance za Mali za serikali Kisha uchukue hatua ipo haja chukua hatua ama nionavyo mm base on project serikali inazo mbele uchumi utakuwa kwenye mkwamo hasa hali ya sasa ya vita isipo pata usuluhishi mapema nchi zetu serikali msipo anza funga mkanda mtashindwa kuajiri na pia mtashindwa lipa mishahara. Mbaya kuliko yote nikukosa nguvu yakufanyia manunuzi ya nje ambapo deni letu ktk USD litakiwa likikwangua ukwasi wa fx ktk hazina yetu. Jambo hili litaleta hatari kubwa kwasababu kama huna mavuno yakutosha maana yake huna chakula jambo litakufanya nunua chakula nje. Kumbuka BOP yetu is not balance means exp is low over importation which is high.

Mh Rais ipo siku utapokea wajumbe, wajumbe hawa hawatokuwa watu wakawaida na watakuja nyakati either ya asubuh au mchana kwenye kati ya mwaka 2024 mwisho au 2025. Mh heshimiwa haya ni maono yangu na sitaki kuamini kama nikweli itatokea ama laa. Ila ushauri wangu yasikilize maneno yao ukamuombe Mungu akusaidie kutegua kitendawili amabcho ktk hali ya kibinadam kitakuwa kigumu sana ila kitakuwa na fumbo la hatima ya Tanzania yetu. Usisahau kusema Asante kwa Mungu maana ndie sababu ya kuwepo kwetu sisi wanadam.

Mh Rais naomba niishie hapa kwa leo nitaendelea ikimpendeza Mungu. Asante
Mh Rais wala usiwe mkali kubali matokeo ya 4F zako. Tena kwa ustadi mkubwa ukaivuta ile ofisi ya siri iwe ina report direct kwako yaani nadhani huu uzi waweza kuwa kumbukumbu....

Ulipo watoa Mashekh kwa imani uliziamini basi utulie tu hii kitu haina dini wala kabila utarudi kufanya maombi kwa Hayati Magufuli. Moto ni mkali kiasi utatamani ofisi iwe handaki taifa la wana kusadikika ni moto sana Mungu azilaze roho za Mababa wa Taifa la Tz.

Ushauri usikitamani kiti maana miaka mitano ukiongeza ndio utasema dunia shuka mja nishuke. Kiufupi ukifanya chura kiziwi utajikuta mwenyewe kwenye zulia la wana kusadikika na mitano tena yao yakinafiki...
Tafakari....
 
Mh Rais wala usiwe mkali kubali matokeo ya 4F zako. Tena kwa ustadi mkubwa ukaivuta ile ofisi ya siri iwe ina report direct kwako yaani nadhani huu uzi waweza kuwa kumbukumbu....

Ulipo watoa Mashekh kwa imani uliziamini basi utulie tu hii kitu haina dini wala kabila utarudi kufanya maombi kwa Hayati Magufuli. Moto ni mkali kiasi utatamani ofisi iwe handaki taifa la wana kusadikika ni moto sana Mungu azilaze roho za Mababa wa Taifa la Tz.

Ushauri usikitamani kiti maana miaka mitano ukiongeza ndio utasema dunia shuka mja nishuke. Kiufupi ukifanya chura kiziwi utajikuta mwenyewe kwenye zulia la wana kusadikika na mitano tena yao yakinafiki...
Tafakari....
Kwamba masheikh....🤔
 
either ya asubuh au mchana kwenye kati ya mwaka 2024 mwisho au 2025. Mh heshimiwa haya ni maono yangu na sitaki kuamini kama nikweli itatokea ama laa. Ila ushauri wangu yasikilize maneno yao ukamuombe Mungu akusaidie kutegua kitendawili amabcho ktk hali ya kibinadam kitakuwa kigumu sana ila kitakuwa na fumbo la hatima ya Tanzania yetu. Usisahau kusema Asante kwa Mungu maana ndie sababu ya kuwepo kwetu sisi wanadam.
Hii thread ni ya 2023 ikiona vya 2024. Ngoja niingie chuma cha kusali
 
Mh Rais Samia Shikamoo.

Hongera kwa kazi ya ujenzi wa Taifa la Tanzania. Pia Hongera kwa kuwa Rais wa kwanza Mwanamke sisi kama watanzania tunajivunia kwa kuwa hii inadhihirisha Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama pamoja na katiba yetu vipo imara.

Rais sijasomea kutoa ushauri kwa viongozi wakuu wakitaifa wala Sina elimu ya siasa ukiacha elimu nyingine za Dunia na mambo ya uchumi pia na karama ambayo nimezaliwa nayo yakuona kesho au miaka mingi inayokuja samahani lakini sijisifu nikipaji nimeona Mungu kanipa kwa faida ya Taifa langu. Nikipaji ambacho duniani kwa sasa ndio Habari ya mjini uwezo wakuiona kesho nakufanya maamuzi leo au maandalizi leo kabla ya kesho au siku yatukio.

Viongozi huwa na maono pia viongozi huwa na ndoto. Yes huwezi kuwa kiongozi usiwe na ndoto au vision hivyo kwa makala hii leo nakushauri usiidharau ndoto unayo iyota. Narudia tena samahani Mh Rais nakushauri usiidharau ndoto unaiyota na usiyadharau maono unayo yaona hasa wakati wa mchana au kwenye halaiki au kwenye mikutano ya Siri ya kitaifa au usiku wa manane.. Unaweza sema anasema Nini huyu mtoto? Mh Rais nakupa mfano unaweza ukawa imeingia kwenye mkutano nyeti wa kitaifa na mara ghafla ukaona Giza wakati ni mchana na taa zina Waka kama ni usiku Umeme haujakatika.

Rais Giza Hilo lina maana kubwa sana usisema labda uchovu au usingizi nop hapo Kuna shida. Badala yakuendelea na kikao ingia chumba cha Siri muombe Mwenyezi Mungu na utashangaa majibu utayapata. Mfano mwingine unaweza ukawa umeletewa file na kila kitu unaona kipo poa ila shika pen 🖊️ u sign mkono mzito Mh Rais usi sign nakuomba usi Sign hapo Mungu anakushitua kitu na ukitaka prove muite mtu wako wa siri mpe kurudia ile kazi kwa siri na utashangaa majibu utakutana nayo. Usishangae huwo ndio uwezo wa Mungu kwa viongozi.

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Kiti umekikalia sio kiti cha kawaida. Nikiti kizuri chenye utukufu wahapa duniani ila sio ahera. Nikiti kinawala walio kikalia na kuwakausha wanao kigusa kwasababu kina Mamlaka na mwenye Mamlaka nialie kikalia sio anaye kibeba. Unapo ingia Ikulu jiulize wangapi wamekikalia na kwanini wewe umekikalia ili Mungu wako akuonyeshe Yale sisi atuwezi kuyaona ila Wewe tu ulie kikalia. Mh Rais Taifa hili ni kubwa na maoni yangu kutoka sasa embu jaribu kushirikisha jicho la Tatu kwasababu Mimi kwa Imani yangu Nina amini haupo hapo kwa bahati mbaya ila kwa kisudi la Mungu kwa watanzania.

Rais haitowezekana wewe kuwa na Rafiki wa kweli ila wengi nikujikomba na kukulamba miguu wapate mkate wao wasiku wanaweza hata kuvua nguo nakujigarakaza Samia hakuna kama wewe na hata kufikia kusema hata Mungu anajuwa hakuna kama wewe hawa hawa ukiwaona ingia vyumba vya Siri wakabidhi kwa Mungu na umuombe ukuthibitishie semi zao nataka kuhakikisha utakachokiona utaogopa na hukutegemea maana matendo yao na wanachokifanya gizani hata mchawi hawamfiki. Jicho la tatu. Jicho la tatu.

Rais kama yupo mwanasiasa, marafiki au mtu mwenye nguvu ktk siasa zako anakushauri eti kurusha mawe na vijembe na dhihaka kwa awamu ya Tano ndio njia yakupanda kisiasa Mh Rais nakuomba uyatafakari hayo mara Saba sabini sioni picha nzuri kwa wimbi hili na kama nakosea basi pia naomba radhi Mh unaweza kuachia hiyo hali ila kwa maono yangu vile Mungu ananionyesha usipo dhibiti huu upepo mwisho hautokuwa mzuri kama Taifa na hata mpaka sasa naona mpasuko mkubwa unataka kulikumba Taifa kwa kujadili mambo ya awamu ya Tano. Lakini Siri zote mnazo na ukweli wote mnao je mtatengeneza uwasi ndani ya serikali ile ile unaiongoza? Nakama ndivyo Nini kitatokea? Jibu lipo kwenye kuangalia mambo ktk jicho la tatu.

Mh Rais ufa WA Muungano NAUWONA uleeee NAUWONA ulee pale nakusii shirikisha jicho la tatu. Wakati German na Russian wanagonga mvinyo nakufurahia Nodsrim 2 Marekani KUPITIA shirika lake la ujasusi alimuonya German na Ulaya yakuwa Hilo Bomba linaenda kuanzisha vita na hicho ndicho kimetokea. Mh Rais sio kila project ni ya maendeleo ila zipo project usipo shirikisha jicho la tatu utatuacha na tatizo miaka michache ijayo tafakari ktk Hilo. Naikikupendeza watumie majasusi wetu kupata ukweli wakile kinaendelea kama nimapicha ama nikitugani sisi tulioko nje hatuoni dalili nzuri.

Mh Rais wasaidizi wako au watu umewachagua sio rafiki zako ila umewachagua kwa minajili kuwatumikia watanzania. Mh Rais vilio na kelele unazisikia sio ndoto ila nikweli embu jaribu pitia vyema report za watu wako wa siri mara mbili mbili na mapendekezo yao. Chambua mara kuchambua kelele unasikia sio kelele za artificial ila niukweli ambao usipo fanya hard decision leo au kesho itakusumbua mbeleni lakini sio lazima kutekeleza.

Mh Rais je unafurahia government expenditures ilivyo Kaa kwa sasa? Embu fanya analysis ya posho,safari na salary bila kuweka gharama ya maintenance za Mali za serikali Kisha uchukue hatua ipo haja chukua hatua ama nionavyo mm base on project serikali inazo mbele uchumi utakuwa kwenye mkwamo hasa hali ya sasa ya vita isipo pata usuluhishi mapema nchi zetu serikali msipo anza funga mkanda mtashindwa kuajiri na pia mtashindwa lipa mishahara. Mbaya kuliko yote nikukosa nguvu yakufanyia manunuzi ya nje ambapo deni letu ktk USD litakiwa likikwangua ukwasi wa fx ktk hazina yetu. Jambo hili litaleta hatari kubwa kwasababu kama huna mavuno yakutosha maana yake huna chakula jambo litakufanya nunua chakula nje. Kumbuka BOP yetu is not balance means exp is low over importation which is high.

Mh Rais ipo siku utapokea wajumbe, wajumbe hawa hawatokuwa watu wakawaida na watakuja nyakati either ya asubuh au mchana kwenye kati ya mwaka 2024 mwisho au 2025. Mh heshimiwa haya ni maono yangu na sitaki kuamini kama nikweli itatokea ama laa. Ila ushauri wangu yasikilize maneno yao ukamuombe Mungu akusaidie kutegua kitendawili amabcho ktk hali ya kibinadam kitakuwa kigumu sana ila kitakuwa na fumbo la hatima ya Tanzania yetu. Usisahau kusema Asante kwa Mungu maana ndie sababu ya kuwepo kwetu sisi wanadam.

Mh Rais naomba niishie hapa kwa leo nitaendelea ikimpendeza Mungu. Asante
Hiyo inaitwa kugonga kwenye msumari "hammering on the nail"mimi pia ni kipaji cha kujua kitacho tokea kesho naanza na hili ili muniamini kama kuna jambo linakusumbua jilaze kitandani ulifikirilia hilo jambo unapata jibu ndani ya dk 10
 

Zaburi 109​

Lalamiko la mtu taabuni
(Kwa Mwimbishaji. Wimbo wa Daudi)
1Usinyamaze, ee Mungu ninayekusifu!
2Watu waovu na wadanganyifu wanishambulia,
wanasema uongo dhidi yangu.
3Wanasema maovu juu yangu,
na kunishambulia bila kisa.
4Ingawa niliwapenda, walinishtaki,
hata hivyo niliwaombea dua.
5Wananilipa uovu kwa wema wangu,
na chuki kwa mapendo yangu.
6Umweke hakimu mbaya dhidi ya adui yangu;
na mshtaki wake ampeleke mahakamani.
7Anapohukumiwa apatikane na hatia;
lalamiko lake lihesabiwe kuwa kosa jingine.
8 Siku za maisha yake ziwe chache,
mtu mwingine na achukue kazi yake!
9Watoto wake wawe yatima,
na mke wake awe mjane!
10Watoto wake watangetange na kuombaomba;
wafukuzwe katika magofu ya nyumba zao!
11Anayemdai kitu amnyanganye mali yake yote;
na wageni wanyakue mapato ya jasho lake!
12Pasiwe na mtu wa kumwonea huruma,
au Kuwatunza watoto wake yatima!
13Wazawa wake wote wafe;
jina lake lisahauliwe katika kizazi kijacho!
14Mwenyezi-Mungu aukumbuke uovu wa wazee wake,
dhambi za mama yake zisifutwe kamwe!
15Mwenyezi-Mungu azikumbuke dhambi zao daima;
lakini wao wenyewe wasahauliwe duniani.
 
Mh Rais Samia Shikamoo.

Hongera kwa kazi ya ujenzi wa Taifa la Tanzania. Pia Hongera kwa kuwa Rais wa kwanza Mwanamke sisi kama watanzania tunajivunia kwa kuwa hii inadhihirisha Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama pamoja na katiba yetu vipo imara.

Rais sijasomea kutoa ushauri kwa viongozi wakuu wakitaifa wala Sina elimu ya siasa ukiacha elimu nyingine za Dunia na mambo ya uchumi pia na karama ambayo nimezaliwa nayo yakuona kesho au miaka mingi inayokuja samahani lakini sijisifu nikipaji nimeona Mungu kanipa kwa faida ya Taifa langu. Nikipaji ambacho duniani kwa sasa ndio Habari ya mjini uwezo wakuiona kesho nakufanya maamuzi leo au maandalizi leo kabla ya kesho au siku yatukio.

Viongozi huwa na maono pia viongozi huwa na ndoto. Yes huwezi kuwa kiongozi usiwe na ndoto au vision hivyo kwa makala hii leo nakushauri usiidharau ndoto unayo iyota. Narudia tena samahani Mh Rais nakushauri usiidharau ndoto unaiyota na usiyadharau maono unayo yaona hasa wakati wa mchana au kwenye halaiki au kwenye mikutano ya Siri ya kitaifa au usiku wa manane.. Unaweza sema anasema Nini huyu mtoto? Mh Rais nakupa mfano unaweza ukawa imeingia kwenye mkutano nyeti wa kitaifa na mara ghafla ukaona Giza wakati ni mchana na taa zina Waka kama ni usiku Umeme haujakatika.

Rais Giza Hilo lina maana kubwa sana usisema labda uchovu au usingizi nop hapo Kuna shida. Badala yakuendelea na kikao ingia chumba cha Siri muombe Mwenyezi Mungu na utashangaa majibu utayapata. Mfano mwingine unaweza ukawa umeletewa file na kila kitu unaona kipo poa ila shika pen 🖊️ u sign mkono mzito Mh Rais usi sign nakuomba usi Sign hapo Mungu anakushitua kitu na ukitaka prove muite mtu wako wa siri mpe kurudia ile kazi kwa siri na utashangaa majibu utakutana nayo. Usishangae huwo ndio uwezo wa Mungu kwa viongozi.

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Kiti umekikalia sio kiti cha kawaida. Nikiti kizuri chenye utukufu wahapa duniani ila sio ahera. Nikiti kinawala walio kikalia na kuwakausha wanao kigusa kwasababu kina Mamlaka na mwenye Mamlaka nialie kikalia sio anaye kibeba. Unapo ingia Ikulu jiulize wangapi wamekikalia na kwanini wewe umekikalia ili Mungu wako akuonyeshe Yale sisi atuwezi kuyaona ila Wewe tu ulie kikalia. Mh Rais Taifa hili ni kubwa na maoni yangu kutoka sasa embu jaribu kushirikisha jicho la Tatu kwasababu Mimi kwa Imani yangu Nina amini haupo hapo kwa bahati mbaya ila kwa kisudi la Mungu kwa watanzania.

Rais haitowezekana wewe kuwa na Rafiki wa kweli ila wengi nikujikomba na kukulamba miguu wapate mkate wao wasiku wanaweza hata kuvua nguo nakujigarakaza Samia hakuna kama wewe na hata kufikia kusema hata Mungu anajuwa hakuna kama wewe hawa hawa ukiwaona ingia vyumba vya Siri wakabidhi kwa Mungu na umuombe ukuthibitishie semi zao nataka kuhakikisha utakachokiona utaogopa na hukutegemea maana matendo yao na wanachokifanya gizani hata mchawi hawamfiki. Jicho la tatu. Jicho la tatu.

Rais kama yupo mwanasiasa, marafiki au mtu mwenye nguvu ktk siasa zako anakushauri eti kurusha mawe na vijembe na dhihaka kwa awamu ya Tano ndio njia yakupanda kisiasa Mh Rais nakuomba uyatafakari hayo mara Saba sabini sioni picha nzuri kwa wimbi hili na kama nakosea basi pia naomba radhi Mh unaweza kuachia hiyo hali ila kwa maono yangu vile Mungu ananionyesha usipo dhibiti huu upepo mwisho hautokuwa mzuri kama Taifa na hata mpaka sasa naona mpasuko mkubwa unataka kulikumba Taifa kwa kujadili mambo ya awamu ya Tano. Lakini Siri zote mnazo na ukweli wote mnao je mtatengeneza uwasi ndani ya serikali ile ile unaiongoza? Nakama ndivyo Nini kitatokea? Jibu lipo kwenye kuangalia mambo ktk jicho la tatu.

Mh Rais ufa WA Muungano NAUWONA uleeee NAUWONA ulee pale nakusii shirikisha jicho la tatu. Wakati German na Russian wanagonga mvinyo nakufurahia Nodsrim 2 Marekani KUPITIA shirika lake la ujasusi alimuonya German na Ulaya yakuwa Hilo Bomba linaenda kuanzisha vita na hicho ndicho kimetokea. Mh Rais sio kila project ni ya maendeleo ila zipo project usipo shirikisha jicho la tatu utatuacha na tatizo miaka michache ijayo tafakari ktk Hilo. Naikikupendeza watumie majasusi wetu kupata ukweli wakile kinaendelea kama nimapicha ama nikitugani sisi tulioko nje hatuoni dalili nzuri.

Mh Rais wasaidizi wako au watu umewachagua sio rafiki zako ila umewachagua kwa minajili kuwatumikia watanzania. Mh Rais vilio na kelele unazisikia sio ndoto ila nikweli embu jaribu pitia vyema report za watu wako wa siri mara mbili mbili na mapendekezo yao. Chambua mara kuchambua kelele unasikia sio kelele za artificial ila niukweli ambao usipo fanya hard decision leo au kesho itakusumbua mbeleni lakini sio lazima kutekeleza.

Mh Rais je unafurahia government expenditures ilivyo Kaa kwa sasa? Embu fanya analysis ya posho,safari na salary bila kuweka gharama ya maintenance za Mali za serikali Kisha uchukue hatua ipo haja chukua hatua ama nionavyo mm base on project serikali inazo mbele uchumi utakuwa kwenye mkwamo hasa hali ya sasa ya vita isipo pata usuluhishi mapema nchi zetu serikali msipo anza funga mkanda mtashindwa kuajiri na pia mtashindwa lipa mishahara. Mbaya kuliko yote nikukosa nguvu yakufanyia manunuzi ya nje ambapo deni letu ktk USD litakiwa likikwangua ukwasi wa fx ktk hazina yetu. Jambo hili litaleta hatari kubwa kwasababu kama huna mavuno yakutosha maana yake huna chakula jambo litakufanya nunua chakula nje. Kumbuka BOP yetu is not balance means exp is low over importation which is high.

Mh Rais ipo siku utapokea wajumbe, wajumbe hawa hawatokuwa watu wakawaida na watakuja nyakati either ya asubuh au mchana kwenye kati ya mwaka 2024 mwisho au 2025. Mh heshimiwa haya ni maono yangu na sitaki kuamini kama nikweli itatokea ama laa. Ila ushauri wangu yasikilize maneno yao ukamuombe Mungu akusaidie kutegua kitendawili amabcho ktk hali ya kibinadam kitakuwa kigumu sana ila kitakuwa na fumbo la hatima ya Tanzania yetu. Usisahau kusema Asante kwa Mungu maana ndie sababu ya kuwepo kwetu sisi wanadam.

Mh Rais naomba niishie hapa kwa leo nitaendelea ikimpendeza Mungu. Asante
I see tomorrow
 
Sijui nani alimshauri Raisi kumteua Mkwe wake kusimamia uchaguzi serikali za mitaa. Unajiuliza kama vetting inafanyika,na inazingatiwa. Ningekuwa Raisi, halafu watu wa vetting wakanishauri niteuwe mkwe wangu, ningewafuta kazi.
 
Back
Top Bottom