Rais Samia usiruhusu haya ya Mwabukusi na kesi ya kubumba ya uwakili, sifa mbaya yote inabebwa na wewe na si Jaji Feleshi wala Jaji Ntemi

Mambo ya siasa za Kenya hazituhusu watanzania, sisi tuna taratibu zetu za kimaamuzi na kisheria, kutulinganisha na Kenya ni ujinga kabisa, yaani tuwaige wao wakati sisi tuna akili zetu kamili.
Wewe una akili gani kwa mfano?
 
Ameruhusu mwenyewe mpaka tufike 2025, tutaona mengi Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…