Rais Samia, Usiruhusu wakugombanishe na umma

Rais Samia, Usiruhusu wakugombanishe na umma

Mkuu unakumbuka tume ya nyalali na zile 40 draconian law
Pia kuna constitutional case kibao zimefunguliwa
ie Mtikila's case on private candidate
Mwalimu Paul John Mhozyaa
Walau Mtikila alikuwa na hoja kutaka kuona aspects ya private candidate itambulike kitu ambacho hakipo kwenye katiba.

Na hata wazanzibar wana hoja kwa muundo wa serikali tatu be it wakifanikiwa muungano ndio bye bye.

Lakini hawa wengine ni fujo tu katiba mpya kila siku wanataka nini hawaeleweki. Watakwambia tume huru sasa hilo ni swala la katiba au muundo wake ubadilike pale wanapodhani kuna shida.
 
Hii katiba mpya mnaioverrate sana,

Katiba ina mambo mengi, mueleze mnataka kitu gani kwenye hiyo katiba mpya

Hivi hujui unaweza kupata katiba mpya na mambo yakawa vilevile!

Kenya kwa mfano, nini kimebadilika? au hukumbuki kiongozi wa tume ya uchaguzi aliyeuawa kipindi cha uchaguzi?

Nani alifuatilia? Katiba ilisaidia?

Wakati flani katiba ni muhimu ila fikra za watu ni muhimu zaidi

Hata uwe na katiba nzuri kiasi gani, ila ukiwa na watu wenye fikra za kipuuzi, haisaidii.
Yaani akili ya wanasiasa ilivyo:

Yaani haijalishi,

  • Umepandishwa daraja
  • Umefutiwa VRF
  • Umepata ajira
  • Umefutiwa mashtaka ya uonevu n.k

Wao watakulazimisha umchukie Rais Samia na kuona hakuna kitu cha maana kwasababu wao mahitaji yao ya Tume huru, Bunge Live na Katiba Mpya hawajapewa.

Sasa hivi kila mtu akomae na matatizo yake.

Kama ambavyo hamkumtetea mfanyakazi alipokuwa anasulubika na VRF na madaraja wala hamfurahia yeye kufanikiwa sasa, hivyo hivyo kila mtu apambane kivyake.
 
Walau Mtikila alikuwa na hoja kutaka kuona aspects ya private candidate itambulike kitu ambacho hakipo kwenye katiba.

Na hata wazanzibar wana hoja kwa muundo wa serikali tatu be it wakifanikiwa muungano ndio bye bye.

Lakini hawa wengine ni fujo tu katiba mpya kila siku wanataka nini hawaeleweki. Watakwambia tume huru sasa hilo ni swala la katiba au muundo wake ubadilike pale wanapodhani kuna shida.
Tanzania tunakosa vision na misheni
Hatujui tunataka nni
1.substantive na procedural law zote ni shida tuu
 
CCM wameshaona faida ya kuzuia mikutano na kupora uchaguzi. Ni ngumu sana kwenye demokrasia ya awali. Ndiyo kuonja nyama ya mtu huko.

Wahuni wote huwa hivyo, wanakupora kitu kimoja kimoja.
 
Kimsingi jana tulitaraji utengue AMRI YA KIRAIS iliyotolewa na utawala uliopita kuhusu kusitisha shughuli za kisiasa (za wapinzani).

Na Yericko Nyerere
Mkuu Yericko Nyerere , kwanza naunga mkono hoja, tangazo lile la kusitisha shughuli za kisiasa ni kauli tuu ya rais, personal na sio amri ya kirais. Amri ya kirais inaitwa Decree, hutolewa kwa maandishi, ikiambatana na vifungu vya sheria vinavyompa rais mamlaka hiyo!. Tangazo lile halikufuatiwa na a decree na halina kifungu cha mamlaka!.


Tangazo lile halina nguvu yoyote ya kisheria, na sisi Tanzania, tulivyo upinzani dhaifu ambao haujui wajibu wake zaidi ya kupiga tuu kelele.
Kwenye hili la kuzuiwa mikutano, sio tuu nimeandika sana humu, bali nimemuuliza mhusika,
Na kuwauliza Wapinzani infront of their faces!.

P.
 
Tanzania tunakosa vision na misheni
Hatujui tunataka nni
1.substantive na procedural law zote ni shida tuu
Provided the laws in question zao lake ni katiba then challenge the aspects which permits such laws.

Issue ya hawa jamaa sio existing laws kama ni ivyo zipo nyingi sana which are not favourable to an ordinary Tanzanian especially when it comes to equality.

Wao wanachotaka ni kuona mchakato wa katiba tu; iweje katiba yenyewe they don’t the answers to that.

Uamini waulize.
 
Tatizo mlimsifia sana mkasahau kama huyo ni kiongozi wa CCM, vyovyote iwavyo maslahi yake na chama chake lazima ayaweke mbele, sasa mnasubiri hisani toka kwake kwa kumbembeleza hata kama anavunja sheria wazi, mnatakiwa muamke sasa mjue ni njia gani mtaitumia kudai haki yenu, muache na ule ushamba wa mapambio yasiyo na maana.
Si nyinyi nyote mlitoa misifa eti mnamkomoa yule shuja wa dunia nzima ambae kwa sasa yuko mbinguni
 
Mkuu Yericko Nyerere , kwanza naunga mkono hoja, tangazo lile la kusitisha shughuli za kisiasa ni kauli tuu ya rais, personal na sio amri ya kirais. Amri ya kirais inaitwa Decree, hutolewa kwa maandishi, ikiambatana na vifungu vya sheria vinavyompa rais mamlaka hiyo!. Tangazo lile halikufuatiwa na a decree na halina kifungu cha mamlaka!.


Tangazo lile halina nguvu yoyote ya kisheria, na sisi Tanzania, tulivyo upinzani dhaifu ambao haujui wajibu wake zaidi ya kupiga tuu kelele.
Kwenye hili la kuzuiwa mikutano, sio tuu nimeandika sana humu, bali nimemuuliza mhusika,
Na kuwauliza Wapinzani infront of their faces!.

P.
Nakushukuru sana mkuu Pascal Mayalla kwakutukumbusha...

Nikukumbushe kwamba Sisi kama Chadema tulipinga hili kwa nguvu zote kwa matamko, kwa vitendo na kwakufungua kesi mahakamani. Kote huko chini ya utawala ule dharimu tulikwama, tuliishia jela na kuumizwa.

Mwenyekiti wetu Mh Freeman Mbowe na viongozi washarika walifungua kesi Mahakama Kuuu kupinga zuio hili na sheria ya vyama vya siasa toleo la 2019. Lakini mahakama zote kama ujuavyo ziliweka makazi Chato, hakuna kilichobadilika zaidi ya amri ile kutiwa mkazo na vyombo vya dola.
 
Tatizo mlimsifia sana mkasahau kama huyo ni kiongozi wa CCM, vyovyote iwavyo maslahi yake na chama chake lazima ayaweke mbele, sasa mnasubiri hisani toka kwake kwa kumbembeleza hata kama anavunja sheria wazi, mnatakiwa muamke sasa mjue ni njia gani mtaitumia kudai haki yenu, muache na ule ushamba wa mapambio yasiyo na maana.
Kumsifu Rais kwa mazuri anayoatenda hakutufungi tusimkosoe pale tunapoona anakosea.

Toka huko gizani ndugu....
 
Chinembe
Mh Rais, Kwasiku 100 ulizoongoza nchi zimekuwa za kutukuka sana, Taifa limepumua na kuonyesha mageuzi makubwa sana, Kwahakika nakupongeza sana sana, Umewathibitishia wazi unaweza kwa wale waliodhani huwezi kuongoza nchi.

Jambo la msingi leo naomba kuzungumzia kikao chako cha jana, ambapo nimesikiliza mazungumzo yako na Wahariri vya Vyombo vya habari nchini ambayo ni mazuri sana,

Pamoja na uzuri huo, Majibu yako kuhusu shughuli za kisiasa na mchakato wa Katiba Mpya yamenitia hofu huko tuendako kama kweli tutatibu tatizo la nchi ama tunafunika kombe la utawala uliopita.

Kimsingi jana tulitaraji utengue AMRI YA KIRAIS iliyotolewa na utawala uliopita kuhusu kusitisha shughuli za kisiasa (za wapinzani). Lakini pia tulitaraji utupe mwelekeo wa lini mchakato wa katiba mpya utaanza, Japo la Katiba ulilijibu lakini jibu lake limekuwa lilelile alilotwambia Rais Magufuli wakati anaingia madarakani.

Suala la shughuli za kisiasa ni la kikatiba na kisheria sio la hisani ya Rais, Nimelazimika kwenda kusoma sheria ya vyama vya siasa iliyofanyiwa marejeo 2019, kifungu cha 11, haki ya chama cha siasa kufanya mikutano ipo sio hisani ya mtu yoyote bali ni utekelezaji wa sheria tu.

Sasa rais wangu UMEAPA KUILINDA KATIBA NA SHERIA ZAKE, Ninakuomba sana, liangalie hili kwa umakini, huenda kuna wasaidizi wanakupotosha kuwa shughuli za vyama vya siasa zinakwamisha maendeleo, Hao wanakugombanisha na umma.

Watanzania sisi ukitaka tusikusumbue tuache tuongee, tulie na kucheka, tutanyamaza wenyewe, lakini sio utulazimishe tuongee, utulazimishe tulie wala utulazimishe kunyamaza. Kwahakika tutakusumbua kwelikweli, si jela wala mahakama havitatutibu. Shahidi utawala uliopita.

Labla nirejee nyuma kidogo, Msingi wa mpasuko wa taifa hili hadi kufika kuvuruga uchumi na mengineyo, ulitokana mwanzo kabisa kuzuia haki za watu kukutana na kutoa mawazo yao ambayo ni haki ya kikatiba na kisheria, Waliozuia walikuja na hoja hiyohiyo ambayo leo Rais umesema kuwa unanyoosha nchi.

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete alipoanzisha mchakato wa Katiba nchi ilikuwa hivihivi wala hakuwa na kigezo cha nchi imenyooka au imepinda, na alipoahirisha nchi ilibaki vilevile, Mchakato wa Katiba mpya hauwezi kuzua miradi ya maendeleo nchini wala hauwezi kukuzuia Mh Rais kuendesha nchi. Vivyo hivyo shughuli za kisiasa.

Katiba mpya ndio msingi wa mambo yote katika nchi, Tukipata katiba mpya itaondoa kazi ya kunyoosha uchumi wa nchi unayoifanya leo Mh Rais kwakuwa hakuna atakayekuja kuipindisha nchi tena.

Na Yericko Nyerere

View attachment 1834432View attachment 1834433
 
Wanasiasa wanadai haki zao,

Wakulima, wafugaji na wafanyakazi hawana mtetezi.
 
Nakushukuru sana mkuu Pascal Mayalla kwakutukumbusha...

Nikukumbushe kwamba Sisi kama Chadema tulipinga hili kwa nguvu zote kwa matamko, kwa vitendo na kwakufungua kesi mahakamani.
Mkuu Yericko Nyerere , ni vyema ukiwa mkweli toka ndani ya nafsi yako, kwenye suala hili, ni Chadema mlipiga sana kelele kupinga, ila mlipiga kelele tuu, hamkuwahi kwenda mahakamani hata mara moja!.

Kwanza nilimshauri tegemeo lenu kisheria, nini cha kufanya...

Hii ilinifanya niwaone nyie Chadema ni chama cha ajabu sana!, na nilizungumza hivi.

P
 
Hii katiba mpya mnaioverrate sana.

Katiba ina mambo mengi, mueleze mnataka kitu gani kwenye hiyo katiba mpya

Hivi hujui unaweza kupata katiba mpya na mambo yakawa vilevile!

Kenya kwa mfano, nini kimebadilika? au hukumbuki kiongozi wa tume ya uchaguzi aliyeuawa kipindi cha uchaguzi?

Nani alifuatilia? Katiba ilisaidia?

Wakati flani katiba ni muhimu ila fikra za watu ni muhimu zaidi

Hata uwe na katiba nzuri kiasi gani, ila ukiwa na watu wenye fikra za kipuuzi, haisaidii.
Kabisa mkuu!
 
Kumsifu Rais kwa mazuri anayoatenda hakutufungi tusimkosoe pale tunapoona anakosea.

Toka huko gizani ndugu....
Mmejiingiza kwenye mtego bila kujua sasa hamjui muelekee wapi, maneno mnayojitungia mkiwa kwenye mihemko "anaupiga mwingi" sasa yanaanza kuwatokea puani, siasa siku zote inamtaka mtu "anayemeza mate" kabla hajaongea, waambie na wenzio mjifunze kwa Mbowe.
 
Rais hayuko juu ya sheria, kauli yake nsichukulia kama maoni binafsi ila akiitekeleza atakuwa anavunja sheria aliyoapa kuilinda
 
Back
Top Bottom