Rais Samia, Usiruhusu wakugombanishe na umma

Rais Samia, Usiruhusu wakugombanishe na umma

Tatizo mlimsifia sana mkasahau kama huyo ni kiongozi wa CCM, vyovyote iwavyo maslahi yake na chama chake lazima ayaweke mbele, sasa mnasubiri hisani toka kwake kwa kumbembeleza hata kama anavunja sheria wazi, mnatakiwa muamke sasa mjue ni njia gani mtaitumia kudai haki yenu, muache na ule ushamba wa mapambio yasiyo na maana.
Kwani wewe upo upande gani mkuu.?
 
Mama mmoja alifyeka shamba vizuri akamwita baba aje kulima, baba alikimbia kwa pupa huku jembe likiwa limesimamishwa hewani, kufika shambani kumbe mpini mbovu. Mama alimwuli mume baba kulikoni mbona hulimi? Baba akajibu mama sielewi huu mbini naona kama umevunjika, mama akasonya. Haraka haraka haina baraka.
MWAMBA TUVUSHE.
 
Katiba mpya inaweza kuwepo na watu wakaendelea kuivunja kama kawaida na isiwe kitu.Hii ya sasa tu inakiukwa kila uchao.
 
Tatizo mlimsifia sana mkasahau kama huyo ni kiongozi wa CCM, vyovyote iwavyo maslahi yake na chama chake lazima ayaweke mbele, sasa mnasubiri hisani toka kwake kwa kumbembeleza hata kama anavunja sheria wazi, mnatakiwa muamke sasa mjue ni njia gani mtaitumia kudai haki yenu, muache na ule ushamba wa mapambio yasiyo na maana.
Kwanini ni wao tu, lakini siyo pamoja na wewe ?!.

Swala la katiba mpya likiachwa kwa vyama vya upinzani tu. Linakosa maana. Hili ni la wote
 
Tatizo mlimsifia sana mkasahau kama huyo ni kiongozi wa CCM, vyovyote iwavyo maslahi yake na chama chake lazima ayaweke mbele, sasa mnasubiri hisani toka kwake kwa kumbembeleza hata kama anavunja sheria wazi, mnatakiwa muamke sasa mjue ni njia gani mtaitumia kudai haki yenu, muache na ule ushamba wa mapambio yasiyo na maana.
WEWE HAYAKUHUSU?
 
Mh Rais, Kwasiku 100 ulizoongoza nchi zimekuwa za kutukuka sana, Taifa limepumua na kuonyesha mageuzi makubwa sana, Kwahakika nakupongeza sana sana, Umewathibitishia wazi unaweza kwa wale waliodhani huwezi kuongoza nchi.

Jambo la msingi leo naomba kuzungumzia kikao chako cha jana, ambapo nimesikiliza mazungumzo yako na Wahariri vya Vyombo vya habari nchini ambayo ni mazuri sana,

Pamoja na uzuri huo, Majibu yako kuhusu shughuli za kisiasa na mchakato wa Katiba Mpya yamenitia hofu huko tuendako kama kweli tutatibu tatizo la nchi ama tunafunika kombe la utawala uliopita.

Kimsingi jana tulitaraji utengue AMRI YA KIRAIS iliyotolewa na utawala uliopita kuhusu kusitisha shughuli za kisiasa (za wapinzani). Lakini pia tulitaraji utupe mwelekeo wa lini mchakato wa katiba mpya utaanza, Japo la Katiba ulilijibu lakini jibu lake limekuwa lilelile alilotwambia Rais Magufuli wakati anaingia madarakani.

Suala la shughuli za kisiasa ni la kikatiba na kisheria sio la hisani ya Rais, Nimelazimika kwenda kusoma sheria ya vyama vya siasa iliyofanyiwa marejeo 2019, kifungu cha 11, haki ya chama cha siasa kufanya mikutano ipo sio hisani ya mtu yoyote bali ni utekelezaji wa sheria tu.

Sasa rais wangu UMEAPA KUILINDA KATIBA NA SHERIA ZAKE, Ninakuomba sana, liangalie hili kwa umakini, huenda kuna wasaidizi wanakupotosha kuwa shughuli za vyama vya siasa zinakwamisha maendeleo, Hao wanakugombanisha na umma.

Watanzania sisi ukitaka tusikusumbue tuache tuongee, tulie na kucheka, tutanyamaza wenyewe, lakini sio utulazimishe tuongee, utulazimishe tulie wala utulazimishe kunyamaza. Kwahakika tutakusumbua kwelikweli, si jela wala mahakama havitatutibu. Shahidi utawala uliopita.

Labla nirejee nyuma kidogo, Msingi wa mpasuko wa taifa hili hadi kufika kuvuruga uchumi na mengineyo, ulitokana mwanzo kabisa kuzuia haki za watu kukutana na kutoa mawazo yao ambayo ni haki ya kikatiba na kisheria, Waliozuia walikuja na hoja hiyohiyo ambayo leo Rais umesema kuwa unanyoosha nchi.

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete alipoanzisha mchakato wa Katiba nchi ilikuwa hivihivi wala hakuwa na kigezo cha nchi imenyooka au imepinda, na alipoahirisha nchi ilibaki vilevile, Mchakato wa Katiba mpya hauwezi kuzua miradi ya maendeleo nchini wala hauwezi kukuzuia Mh Rais kuendesha nchi. Vivyo hivyo shughuli za kisiasa.

Katiba mpya ndio msingi wa mambo yote katika nchi, Tukipata katiba mpya itaondoa kazi ya kunyoosha uchumi wa nchi unayoifanya leo Mh Rais kwakuwa hakuna atakayekuja kuipindisha nchi tena.

Na Yericko Nyerere

View attachment 1834432View attachment 1834433
Katiba mpya ni gharama siyo sawa na kuandika vitabu vyako uchwara vya kijasusi. Huwezi kuacha kutekeleza miradi ya kimkakati au kupelekea watu maji na umeme ukakimbilia kuandika Katiba Mpya kwa ajili ya kuwaridhisha watu fulani kwa maslahi yao ya kisiasa.

Kikwete alivyokubali mchakato wa Katiba mpya tuliona madhara yake, fedha zilitumika nyingi lakini pia baadhi ya watu hawakukubaliana na maoni ya wengi wakataka ya kwao ya wachache ndo yazingatiwe. Mwisho wa siku taifa likasimama, tukaingia kwenye mgogoro.

Uzuri Mhe. Rais anajua huu mchakato ulivyo kwasabbu alishiriki kikamilifu. Kwahiyo, anajua kinachokwenda kutokea ni KUPOTEZA MUDA NA RASILIMALI huku mambo mengi ya msingi yakisimama.

After all, mchakato wa Katiba mpya ulishakamilika na Katiba inayopendekezwa tayari ipo, kilichobaki ni kupigiwa kura tu. Sasa sijui kinachodaiwa hapa ni nini?

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Mh Rais, Kwasiku 100 ulizoongoza nchi zimekuwa za kutukuka sana, Taifa limepumua na kuonyesha mageuzi makubwa sana, Kwahakika nakupongeza sana sana, Umewathibitishia wazi unaweza kwa wale waliodhani huwezi kuongoza nchi.

Jambo la msingi leo naomba kuzungumzia kikao chako cha jana, ambapo nimesikiliza mazungumzo yako na Wahariri vya Vyombo vya habari nchini ambayo ni mazuri sana,

Pamoja na uzuri huo, Majibu yako kuhusu shughuli za kisiasa na mchakato wa Katiba Mpya yamenitia hofu huko tuendako kama kweli tutatibu tatizo la nchi ama tunafunika kombe la utawala uliopita.

Kimsingi jana tulitaraji utengue AMRI YA KIRAIS iliyotolewa na utawala uliopita kuhusu kusitisha shughuli za kisiasa (za wapinzani). Lakini pia tulitaraji utupe mwelekeo wa lini mchakato wa katiba mpya utaanza, Japo la Katiba ulilijibu lakini jibu lake limekuwa lilelile alilotwambia Rais Magufuli wakati anaingia madarakani.

Suala la shughuli za kisiasa ni la kikatiba na kisheria sio la hisani ya Rais, Nimelazimika kwenda kusoma sheria ya vyama vya siasa iliyofanyiwa marejeo 2019, kifungu cha 11, haki ya chama cha siasa kufanya mikutano ipo sio hisani ya mtu yoyote bali ni utekelezaji wa sheria tu.

Sasa rais wangu UMEAPA KUILINDA KATIBA NA SHERIA ZAKE, Ninakuomba sana, liangalie hili kwa umakini, huenda kuna wasaidizi wanakupotosha kuwa shughuli za vyama vya siasa zinakwamisha maendeleo, Hao wanakugombanisha na umma.

Watanzania sisi ukitaka tusikusumbue tuache tuongee, tulie na kucheka, tutanyamaza wenyewe, lakini sio utulazimishe tuongee, utulazimishe tulie wala utulazimishe kunyamaza. Kwahakika tutakusumbua kwelikweli, si jela wala mahakama havitatutibu. Shahidi utawala uliopita.

Labla nirejee nyuma kidogo, Msingi wa mpasuko wa taifa hili hadi kufika kuvuruga uchumi na mengineyo, ulitokana mwanzo kabisa kuzuia haki za watu kukutana na kutoa mawazo yao ambayo ni haki ya kikatiba na kisheria, Waliozuia walikuja na hoja hiyohiyo ambayo leo Rais umesema kuwa unanyoosha nchi.

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete alipoanzisha mchakato wa Katiba nchi ilikuwa hivihivi wala hakuwa na kigezo cha nchi imenyooka au imepinda, na alipoahirisha nchi ilibaki vilevile, Mchakato wa Katiba mpya hauwezi kuzua miradi ya maendeleo nchini wala hauwezi kukuzuia Mh Rais kuendesha nchi. Vivyo hivyo shughuli za kisiasa.

Katiba mpya ndio msingi wa mambo yote katika nchi, Tukipata katiba mpya itaondoa kazi ya kunyoosha uchumi wa nchi unayoifanya leo Mh Rais kwakuwa hakuna atakayekuja kuipindisha nchi tena.

Na Yericko Nyerere

View attachment 1834432View attachment 1834433
Yeriko hebu naomba unijibu kwa utulivu kwa nini Kuna umuhimu wa katiba mpya?? Au ulazima wa katiba mpya ni upi??
 
Mkuu Yericko Nyerere , kwanza naunga mkono hoja, tangazo lile la kusitisha shughuli za kisiasa ni kauli tuu ya rais, personal na sio amri ya kirais. Amri ya kirais inaitwa Decree, hutolewa kwa maandishi, ikiambatana na vifungu vya sheria vinavyompa rais mamlaka hiyo!. Tangazo lile halikufuatiwa na a decree na halina kifungu cha mamlaka!.


Tangazo lile halina nguvu yoyote ya kisheria, na sisi Tanzania, tulivyo upinzani dhaifu ambao haujui wajibu wake zaidi ya kupiga tuu kelele.
Kwenye hili la kuzuiwa mikutano, sio tuu nimeandika sana humu, bali nimemuuliza mhusika,
Na kuwauliza Wapinzani infront of their faces!.

P.
Pascal wakati jpm anatoa tangazo hlo nafkr alikuwa singida... Je hyo document official iliandikwa?? Au kina kelele wamezumu nakugundua maji yanaishia magotini???
 
Kuna a lot of maturity kwa Yericko these days.. a lot.
 
Mh Rais, Kwasiku 100 ulizoongoza nchi zimekuwa za kutukuka sana, Taifa limepumua na kuonyesha mageuzi makubwa sana, Kwahakika nakupongeza sana sana, Umewathibitishia wazi unaweza kwa wale waliodhani huwezi kuongoza nchi.

Jambo la msingi leo naomba kuzungumzia kikao chako cha jana, ambapo nimesikiliza mazungumzo yako na Wahariri vya Vyombo vya habari nchini ambayo ni mazuri sana,

Pamoja na uzuri huo, Majibu yako kuhusu shughuli za kisiasa na mchakato wa Katiba Mpya yamenitia hofu huko tuendako kama kweli tutatibu tatizo la nchi ama tunafunika kombe la utawala uliopita.

Kimsingi jana tulitaraji utengue AMRI YA KIRAIS iliyotolewa na utawala uliopita kuhusu kusitisha shughuli za kisiasa (za wapinzani). Lakini pia tulitaraji utupe mwelekeo wa lini mchakato wa katiba mpya utaanza, Japo la Katiba ulilijibu lakini jibu lake limekuwa lilelile alilotwambia Rais Magufuli wakati anaingia madarakani.

Suala la shughuli za kisiasa ni la kikatiba na kisheria sio la hisani ya Rais, Nimelazimika kwenda kusoma sheria ya vyama vya siasa iliyofanyiwa marejeo 2019, kifungu cha 11, haki ya chama cha siasa kufanya mikutano ipo sio hisani ya mtu yoyote bali ni utekelezaji wa sheria tu.

Sasa rais wangu UMEAPA KUILINDA KATIBA NA SHERIA ZAKE, Ninakuomba sana, liangalie hili kwa umakini, huenda kuna wasaidizi wanakupotosha kuwa shughuli za vyama vya siasa zinakwamisha maendeleo, Hao wanakugombanisha na umma.

Watanzania sisi ukitaka tusikusumbue tuache tuongee, tulie na kucheka, tutanyamaza wenyewe, lakini sio utulazimishe tuongee, utulazimishe tulie wala utulazimishe kunyamaza. Kwahakika tutakusumbua kwelikweli, si jela wala mahakama havitatutibu. Shahidi utawala uliopita.

Labla nirejee nyuma kidogo, Msingi wa mpasuko wa taifa hili hadi kufika kuvuruga uchumi na mengineyo, ulitokana mwanzo kabisa kuzuia haki za watu kukutana na kutoa mawazo yao ambayo ni haki ya kikatiba na kisheria, Waliozuia walikuja na hoja hiyohiyo ambayo leo Rais umesema kuwa unanyoosha nchi.

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete alipoanzisha mchakato wa Katiba nchi ilikuwa hivihivi wala hakuwa na kigezo cha nchi imenyooka au imepinda, na alipoahirisha nchi ilibaki vilevile, Mchakato wa Katiba mpya hauwezi kuzua miradi ya maendeleo nchini wala hauwezi kukuzuia Mh Rais kuendesha nchi. Vivyo hivyo shughuli za kisiasa.

Katiba mpya ndio msingi wa mambo yote katika nchi, Tukipata katiba mpya itaondoa kazi ya kunyoosha uchumi wa nchi unayoifanya leo Mh Rais kwakuwa hakuna atakayekuja kuipindisha nchi tena.

Na Yericko Nyerere

View attachment 1834432View attachment 1834433
1)-Katiba mnataka nyie wanasiasa Mnahis labda ndo mtakuwa viongoz lkn sisi Wananchi Tunataka Maendeleo Na huduma za kijamii zpatikane...

2)-Mchakato wa Katiba enz za JK mliuharibu Nyie Ukawa mlipotoka Bungen..
Hakuna muda wa kupoteza pesa Zetu Wananchi..

3)-Kama Katiba Rais ataawaachia Wataalam washauri iweje Cyo Nyie Wanasiasa Njaa Mnaotaka Posho za Bunge la Katiba
 
Suala la shughuli za kisiasa ni la kikatiba na kisheria sio la hisani ya Rais, Nimelazimika kwenda kusoma sheria ya vyama vya siasa iliyofanyiwa marejeo 2019, kifungu cha 11, haki ya chama cha siasa kufanya mikutano ipo sio hisani ya mtu yoyote bali ni utekelezaji wa sheria tu.

Sasa rais wangu UMEAPA KUILINDA KATIBA NA SHERIA ZAKE, Ninakuomba sana, liangalie hili kwa umakini, huenda kuna wasaidizi wanakupotosha kuwa shughuli za vyama vya siasa zinakwamisha maendeleo, Hao wanakugombanisha na umma.
Usilojua.

Unaweza kuwa unamhimiza kifungu hicho kifutwe, kiondolewe kabisa kama ndicho kinacholeta chokochoko na kelele nyingi.

Si Bunge lipo, na linajulikana ni Bunge la nani au siyo?

Mkuu, naunga sana mkono mada yako, naweka tu tahadhari ya yanayowezekana kufanywa na CCM. Hiki chama sasa hivi hakisimamii maslahi ya nchi tena.
 
Sheria inasema mikutano ya kujitangaza na kusajili wanachama.

Sio mikutano ya kufanya campaign za siasa.
Hii mistari miwili, ina tofauti kati yake?

Chama kitajitangaza vipi bila kufanya siasa?

Chama kufanya 'campaign' in wananchi wakiunge mkono na kujisajili kwenye chama hicho, ina tofauti na Chama "kujitangaza" kwa wananchi?
 
Back
Top Bottom