Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Walau Mtikila alikuwa na hoja kutaka kuona aspects ya private candidate itambulike kitu ambacho hakipo kwenye katiba.Mkuu unakumbuka tume ya nyalali na zile 40 draconian law
Pia kuna constitutional case kibao zimefunguliwa
ie Mtikila's case on private candidate
Mwalimu Paul John Mhozyaa
Yaani akili ya wanasiasa ilivyo:Hii katiba mpya mnaioverrate sana,
Katiba ina mambo mengi, mueleze mnataka kitu gani kwenye hiyo katiba mpya
Hivi hujui unaweza kupata katiba mpya na mambo yakawa vilevile!
Kenya kwa mfano, nini kimebadilika? au hukumbuki kiongozi wa tume ya uchaguzi aliyeuawa kipindi cha uchaguzi?
Nani alifuatilia? Katiba ilisaidia?
Wakati flani katiba ni muhimu ila fikra za watu ni muhimu zaidi
Hata uwe na katiba nzuri kiasi gani, ila ukiwa na watu wenye fikra za kipuuzi, haisaidii.
Ulitaka niwe upande wako? Kuwa mamaMkuu toka uliposema uko upande wa Mama naona post zako nazo zimekuwa ndivyo sivyo
Tanzania tunakosa vision na misheniWalau Mtikila alikuwa na hoja kutaka kuona aspects ya private candidate itambulike kitu ambacho hakipo kwenye katiba.
Na hata wazanzibar wana hoja kwa muundo wa serikali tatu be it wakifanikiwa muungano ndio bye bye.
Lakini hawa wengine ni fujo tu katiba mpya kila siku wanataka nini hawaeleweki. Watakwambia tume huru sasa hilo ni swala la katiba au muundo wake ubadilike pale wanapodhani kuna shida.
Mkuu Yericko Nyerere , kwanza naunga mkono hoja, tangazo lile la kusitisha shughuli za kisiasa ni kauli tuu ya rais, personal na sio amri ya kirais. Amri ya kirais inaitwa Decree, hutolewa kwa maandishi, ikiambatana na vifungu vya sheria vinavyompa rais mamlaka hiyo!. Tangazo lile halikufuatiwa na a decree na halina kifungu cha mamlaka!.Kimsingi jana tulitaraji utengue AMRI YA KIRAIS iliyotolewa na utawala uliopita kuhusu kusitisha shughuli za kisiasa (za wapinzani).
Na Yericko Nyerere
Provided the laws in question zao lake ni katiba then challenge the aspects which permits such laws.Tanzania tunakosa vision na misheni
Hatujui tunataka nni
1.substantive na procedural law zote ni shida tuu
Si nyinyi nyote mlitoa misifa eti mnamkomoa yule shuja wa dunia nzima ambae kwa sasa yuko mbinguniTatizo mlimsifia sana mkasahau kama huyo ni kiongozi wa CCM, vyovyote iwavyo maslahi yake na chama chake lazima ayaweke mbele, sasa mnasubiri hisani toka kwake kwa kumbembeleza hata kama anavunja sheria wazi, mnatakiwa muamke sasa mjue ni njia gani mtaitumia kudai haki yenu, muache na ule ushamba wa mapambio yasiyo na maana.
Uzuri anakubali kukosolewa basi tumkosoe kwa adabu na tumwonyeshe njia ili aifate. Si kama mwendazake ambaye hakuwa tayari kupokea challenges/critics.Tena kabisa anatangaza kuwa ana-suspend baadhi ya vifungu vya katiba ya nchi eti anasimamisha uchumi.
Nakushukuru sana mkuu Pascal Mayalla kwakutukumbusha...Mkuu Yericko Nyerere , kwanza naunga mkono hoja, tangazo lile la kusitisha shughuli za kisiasa ni kauli tuu ya rais, personal na sio amri ya kirais. Amri ya kirais inaitwa Decree, hutolewa kwa maandishi, ikiambatana na vifungu vya sheria vinavyompa rais mamlaka hiyo!. Tangazo lile halikufuatiwa na a decree na halina kifungu cha mamlaka!.
AG, Mshauri Mh.Rais Atoe Maagizo kwa Presidential Decrees Kuyapa Nguvu ya Kisheria
Wanabodi, Nchi zote zinazoheshimu katiba, zinaendeshwa kwa mujibu Katiba, sheria, taratibu na kanuni na sio kwa kauli za viongozi tuu ambazo kauli nyingine zinakwenda kinyume cha katiba, sheria, taratibu na kanuni!. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndie mkuu wa nchi, head of state...www.jamiiforums.com
Tangazo lile halina nguvu yoyote ya kisheria, na sisi Tanzania, tulivyo upinzani dhaifu ambao haujui wajibu wake zaidi ya kupiga tuu kelele.
Kwenye hili la kuzuiwa mikutano, sio tuu nimeandika sana humu, bali nimemuuliza mhusika,
Na kuwauliza Wapinzani infront of their faces!.Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli
Hakika nimefurahishwa sana na Mwandishi huyu Pascal Mayalla wa kipekee aliyemuuliza swali Rais lenye msingi na hata rais kajibu kwa ubabaishaji. Natafuta clip au mwenye nayo aiweke. Kwanza kaanza kwa kuitaja JamiiForums kwa kusema ni mwanachama mwandamizi wa JamiiForums. Hayo yameelezwa na...www.jamiiforums.com
P.Zitto Kabwe na wapinzani wote, kwanini mnapiga tu kelele kuhusu udikteta bila kuchukua hatua zozote? Isn't it a nuisance? Je, 2020 ni CCM pekee?
Wanabodi, Japo bandiko hili liko addressed kwa Mhe. Zitto, lakini hoja zake ni kwa Wapinzani wote, namuelekezea Zitto Kabwe kwa sababu kwa maoni yangu ndio mpinzani pekee kwa sasa anayeweza kusimama na rais Magufuli 2020, na Magufuli akahisi kijoto joto japo kwa mbali. Ni kwa muda mrefu...www.jamiiforums.com
Kumsifu Rais kwa mazuri anayoatenda hakutufungi tusimkosoe pale tunapoona anakosea.Tatizo mlimsifia sana mkasahau kama huyo ni kiongozi wa CCM, vyovyote iwavyo maslahi yake na chama chake lazima ayaweke mbele, sasa mnasubiri hisani toka kwake kwa kumbembeleza hata kama anavunja sheria wazi, mnatakiwa muamke sasa mjue ni njia gani mtaitumia kudai haki yenu, muache na ule ushamba wa mapambio yasiyo na maana.
Mh Rais, Kwasiku 100 ulizoongoza nchi zimekuwa za kutukuka sana, Taifa limepumua na kuonyesha mageuzi makubwa sana, Kwahakika nakupongeza sana sana, Umewathibitishia wazi unaweza kwa wale waliodhani huwezi kuongoza nchi.
Jambo la msingi leo naomba kuzungumzia kikao chako cha jana, ambapo nimesikiliza mazungumzo yako na Wahariri vya Vyombo vya habari nchini ambayo ni mazuri sana,
Pamoja na uzuri huo, Majibu yako kuhusu shughuli za kisiasa na mchakato wa Katiba Mpya yamenitia hofu huko tuendako kama kweli tutatibu tatizo la nchi ama tunafunika kombe la utawala uliopita.
Kimsingi jana tulitaraji utengue AMRI YA KIRAIS iliyotolewa na utawala uliopita kuhusu kusitisha shughuli za kisiasa (za wapinzani). Lakini pia tulitaraji utupe mwelekeo wa lini mchakato wa katiba mpya utaanza, Japo la Katiba ulilijibu lakini jibu lake limekuwa lilelile alilotwambia Rais Magufuli wakati anaingia madarakani.
Suala la shughuli za kisiasa ni la kikatiba na kisheria sio la hisani ya Rais, Nimelazimika kwenda kusoma sheria ya vyama vya siasa iliyofanyiwa marejeo 2019, kifungu cha 11, haki ya chama cha siasa kufanya mikutano ipo sio hisani ya mtu yoyote bali ni utekelezaji wa sheria tu.
Sasa rais wangu UMEAPA KUILINDA KATIBA NA SHERIA ZAKE, Ninakuomba sana, liangalie hili kwa umakini, huenda kuna wasaidizi wanakupotosha kuwa shughuli za vyama vya siasa zinakwamisha maendeleo, Hao wanakugombanisha na umma.
Watanzania sisi ukitaka tusikusumbue tuache tuongee, tulie na kucheka, tutanyamaza wenyewe, lakini sio utulazimishe tuongee, utulazimishe tulie wala utulazimishe kunyamaza. Kwahakika tutakusumbua kwelikweli, si jela wala mahakama havitatutibu. Shahidi utawala uliopita.
Labla nirejee nyuma kidogo, Msingi wa mpasuko wa taifa hili hadi kufika kuvuruga uchumi na mengineyo, ulitokana mwanzo kabisa kuzuia haki za watu kukutana na kutoa mawazo yao ambayo ni haki ya kikatiba na kisheria, Waliozuia walikuja na hoja hiyohiyo ambayo leo Rais umesema kuwa unanyoosha nchi.
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete alipoanzisha mchakato wa Katiba nchi ilikuwa hivihivi wala hakuwa na kigezo cha nchi imenyooka au imepinda, na alipoahirisha nchi ilibaki vilevile, Mchakato wa Katiba mpya hauwezi kuzua miradi ya maendeleo nchini wala hauwezi kukuzuia Mh Rais kuendesha nchi. Vivyo hivyo shughuli za kisiasa.
Katiba mpya ndio msingi wa mambo yote katika nchi, Tukipata katiba mpya itaondoa kazi ya kunyoosha uchumi wa nchi unayoifanya leo Mh Rais kwakuwa hakuna atakayekuja kuipindisha nchi tena.
Na Yericko Nyerere
View attachment 1834432View attachment 1834433
Mkuu Yericko Nyerere , ni vyema ukiwa mkweli toka ndani ya nafsi yako, kwenye suala hili, ni Chadema mlipiga sana kelele kupinga, ila mlipiga kelele tuu, hamkuwahi kwenda mahakamani hata mara moja!.Nakushukuru sana mkuu Pascal Mayalla kwakutukumbusha...
Nikukumbushe kwamba Sisi kama Chadema tulipinga hili kwa nguvu zote kwa matamko, kwa vitendo na kwakufungua kesi mahakamani.
Kabisa mkuu!Hii katiba mpya mnaioverrate sana.
Katiba ina mambo mengi, mueleze mnataka kitu gani kwenye hiyo katiba mpya
Hivi hujui unaweza kupata katiba mpya na mambo yakawa vilevile!
Kenya kwa mfano, nini kimebadilika? au hukumbuki kiongozi wa tume ya uchaguzi aliyeuawa kipindi cha uchaguzi?
Nani alifuatilia? Katiba ilisaidia?
Wakati flani katiba ni muhimu ila fikra za watu ni muhimu zaidi
Hata uwe na katiba nzuri kiasi gani, ila ukiwa na watu wenye fikra za kipuuzi, haisaidii.
Mbona alipokufa mkashangilia sana na sasa hivi mnasma mko huru?Maadui wakubwa wa nchi hii siyo SSH au JPM! Ni Katiba mbovu ya mwaka 1977 na chama cha Mapinduzi (ccm).
Mmejiingiza kwenye mtego bila kujua sasa hamjui muelekee wapi, maneno mnayojitungia mkiwa kwenye mihemko "anaupiga mwingi" sasa yanaanza kuwatokea puani, siasa siku zote inamtaka mtu "anayemeza mate" kabla hajaongea, waambie na wenzio mjifunze kwa Mbowe.Kumsifu Rais kwa mazuri anayoatenda hakutufungi tusimkosoe pale tunapoona anakosea.
Toka huko gizani ndugu....