Vyanzo vya ajali za barabarani
1. Matendo yasiyo salama/makosa ya kibinadamu (88%) - kutofuata sheria za usalama barabarani, kutojua sheria za usalama barabarani, ulevi, mwendokasi, ku-overtake kwa kupita kushoto badala ya kulia, ku-overtake kwenye round-about, uendeshaji wa vyombo (vya moto) vibovu, mizaha barabarani...
2. Mazingira yasiyo salama (10%) - Vyombo vibovu au chakavu, barabara mbovu, utelezi, giza, mwanga mwingi, ukungu ...
3. Ajali zisizohepukika/Acts of God (2%) - Majanga ya asili.