Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
- Thread starter
- #41
Nafasi hiyo anayo, labda kama hajiamini.Haitakuja kutoka chini ya ccm labda chama Cha upinzani kichukue nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafasi hiyo anayo, labda kama hajiamini.Haitakuja kutoka chini ya ccm labda chama Cha upinzani kichukue nchi.
Hivi ni watanzania wangapi wanaoutaka Urais? Kwako wewe ni kwamba wote wanaomshauri Rais au kumkosoa, wanautaka Urais?Ndio mumpeleke mbio!
Ati katiba mpya huku agenda yenu kubwa mnatamani kiti chake.
Anajielewa sana.
Ndio hapo sasa, wakati mwingine ushauri unatolewa kwa nia njema kabisa. Bila kuwa na serikali yake ajue kuwa ataishia kuwa rais wa mpito, na 2025 wenyewe wanchukua chao.Hivi ni watanzania wangapi wanaoutaka Urais? Kwako wewe ni kwamba wote wanaomshauri Rais au kumkosoa, wanautaka Urais?
Akiwachelewesha sana watamharibia mno.Awavute vute siku awatoe wote....DC DAS....DED wamejaa ndugu kibao
Mwacheni mama kwanza akapime urefu wa mabega ili asije kukosea wakati wa kuyachonga vizuri.Mheshimiwa sana rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan, naomba nikushauri kwa heshima na taadhima.
Acha kuweka viraka kwenye serikali ya awamu ya tano na kuifanya iwe ya awamu ya sita. Badala yake ivunje serikali ya awamu ya Magufuli na uunde ya kwako.
Kwani si umeshashika hatamu kwenye chama, au bado? Maana hicho ndicho kikwazo pekee kilichokuwepo na sasa hakipo tena.
Bila kusahau badilisha wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wote, weka watu wako. Hii iende pamoja na viongozi wengine waandamizi ndani ya vyombo hivyo.
Drafti wanaloanza kulicheza CCM Magufuli halina afya kwako wala chama kuelekea 2025.
Wakati mwingine sijui huwa mna nini vichwani? Kwa wivu wenu mtasema hata watendaji wa vijiji wabadilishwe maana ni wa Magufuli. Hujui Lukuvi alikuwa waziri wakati wa Mwinyi, Mkapa hata kikwete?Mheshimiwa sana rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan, naomba nikushauri kwa heshima na taadhima.
Acha kuweka viraka kwenye serikali ya awamu ya tano na kuifanya iwe ya awamu ya sita. Badala yake ivunje serikali ya awamu ya Magufuli na uunde ya kwako.
Kwani si umeshashika hatamu kwenye chama, au bado? Maana hicho ndicho kikwazo pekee kilichokuwepo na sasa hakipo tena.
Bila kusahau badilisha wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wote, weka watu wako. Hii iende pamoja na viongozi wengine waandamizi ndani ya vyombo hivyo.
Drafti wanaloanza kulicheza CCM Magufuli halina afya kwako wala chama kuelekea 2025.
🤣🤣 HayaMwacheni mama kwanza akapime urefu wa mabega ili asije kukosea wakati wa kuyachonga vizuri.
Natambua hilo, kuna tofauti kati ya kurithi serikali na kuunda serikali. Kwa sasa Rasi anayo serikali ya kurithi.Wakati mwingine sijui huwa mna nini vichwani? Kwa wivu wenu mtasema hata watendaji wa vijiji wabadilishwe maana ni wa Magufuli. Hujui Lukuvi alikuwa waziri wakati wa Mwinyi, Mkapa hata kikwete?
Awe makini....CCM si watu wema...wako kama panya...wanakula na kupulizaWatu wa Magufuli bado mioyo yao ni mizito, watampeleka chaka.
Wanayo historia hiyoAwe makini....CCM si watu wema...wako kama panya...wanakula na kupuliza
Acha dharauUtoto unakusumbua
Naye alikuwa ni serikali ya Magufuli vilevile!Mwambie ajiuzulu na yeye maana ni zao la awamu ya tano!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa bavicha ni mambumbumbuNaye alikuwa ni serikali ya Magufuli vilevile!