Wajua wangapi waliotoka upinzani na wameshika madaraka makubwa kwenye serikali ya Fisiemu?Naunga mkono hoja
Yaani eti kina Mbowe na Lisu na Vyama vyai vya msimu ndio Wachaguliwe na Watanzania kuwa Rais? ππππ
Chadema endeleeni kupata shule kutoka ccm labda 2200 huko ndio mtakuwa mumekua
View: https://www.instagram.com/reel/C9hQe0lC1iL/?igsh=b3BxMTMyNTdiOWNr
Rais Samia akizungumza na wananchi wa kata ya Laela ,Wilaya ya Sumbawanga Vijijini Rukwa mesema leo tarehe 17 Julai 2024 ikiwa siku ya mwisho ya kukamlisha kwa ziara yake ya siku tatu "Wengine waacheni waendelee kujifunza bado wachanga, muda wao wakuendesha Dola bado Kabisa"
"Lazima tuwe na Serikali makini inayowekwa na chama makini, niwaombe sana, mwaka huu mwisho wa mwaka mwezi wa 10 wa 11 kule tunakwenda kuwa na uchaguzi wa Serikali za Mitaa, tunakwenda kuchagua viongozi wa mitaa na viongozi wa vitongoji.
Niwaombe sana ndugu zangu, nendeni mkachague chama cha Mapinduzi, nendeni mkatuchague Chama cha Mapinduzi kwa sababu ndicho chama kilichoweka Serikali makini inayomimina maendeleo kwa watanzania, inayomimina maendeleo kwa watu, wa majimbo ya Tanzania.
Unapozungumza maji, elimu, afya umeme, kilimo na mambo mengine ni chama cha Mapinduzi, naomba sana chagueni chama cha Mapinduzi, tupite vizuri ili maendeleo yaje na mengine na mengine na mengine zaidi.
Wengine waacheni bado waendelee kujifunza, bado ni wachanga ni watoto wetu wa chama cha Mapinduzi, kwa hiyo waachieni waendelee kujifunza muda wao wa kuendesha dola ni bado kabisa kabisa kabisa, kwa hiyo niwaombe sana niwaombe sana ndugu zangu kachagueni chama cha cha Mapinduzi."
Pia soma:LIVE - Rais Samia akizungumza na wananchi wa Rukwa katika Uwanja wa CCM Mandera Mazwi Manispaa ya Sumbawanga, leo Julai 17, 2024
Muda wa uchaguzi bado. Jamani kampeni za nn! Na wengine waanze au? Wakianza mtasema na polisi mtakwenda. Sometimes viongozi Huwa mnawachokoza raia. Si mkae kimya tuheshimu Katiba na taratibu tulizojiwekea kuilinda amani ya taifa hili?Mama anahangaika na watoto wachanga wa nn si anatakiwa kitokuwaongelea? Au wanamsumbua? Na bado acheze tu Rukwa, Ruvuma, Morogoro na Mikoa mingine. Hao huenda wakamuelewa.
Basi. Kama ni hivyo tusingepata uhuru. Tungesubiri mpaka mwingereza aseme hivo. " It is rediculous"!Rais Samia akizungumza na wananchi wa kata ya Laela ,Wilaya ya Sumbawanga Vijijini Rukwa mesema leo tarehe 17 Julai 2024 ikiwa siku ya mwisho ya kukamlisha kwa ziara yake ya siku tatu "Wengine waacheni waendelee kujifunza bado wachanga, muda wao wakuendesha Dola bado Kabisa"
"Lazima tuwe na Serikali makini inayowekwa na chama makini, niwaombe sana, mwaka huu mwisho wa mwaka mwezi wa 10 wa 11 kule tunakwenda kuwa na uchaguzi wa Serikali za Mitaa, tunakwenda kuchagua viongozi wa mitaa na viongozi wa vitongoji.
Niwaombe sana ndugu zangu, nendeni mkachague chama cha Mapinduzi, nendeni mkatuchague Chama cha Mapinduzi kwa sababu ndicho chama kilichoweka Serikali makini inayomimina maendeleo kwa watanzania, inayomimina maendeleo kwa watu, wa majimbo ya Tanzania.
Unapozungumza maji, elimu, afya umeme, kilimo na mambo mengine ni chama cha Mapinduzi, naomba sana chagueni chama cha Mapinduzi, tupite vizuri ili maendeleo yaje na mengine na mengine na mengine zaidi.
Wengine waacheni bado waendelee kujifunza, bado ni wachanga ni watoto wetu wa chama cha Mapinduzi, kwa hiyo waachieni waendelee kujifunza muda wao wa kuendesha dola ni bado kabisa kabisa kabisa, kwa hiyo niwaombe sana niwaombe sana ndugu zangu kachagueni chama cha cha Mapinduzi."
Pia soma:LIVE - Rais Samia akizungumza na wananchi wa Rukwa katika Uwanja wa CCM Mandera Mazwi Manispaa ya Sumbawanga, leo Julai 17, 2024
Umenifurahisa sana uliposema "It would be a massacre!"... kwa kweli itakuwa ni mtafutano, sijui hata kama debate ataikubali...Bullshit!
Lugha za kikoloni hizo.
Nyerere alikuwa na ukomavu gani alipo chukua nchi toka kwa wakoloni?
Samia ni mweupe sana aisee.
Imagine Samia ana debate na Lissuβ¦..
It would be a massacre!
Rais yuko sahihi. Kama think tanks ya CHADEMA ni Mdude na Martin Maranja ina maana bado sana.
Na Nape unemsahau!Rais yuko sahihi. Kama think tanks ya CHADEMA ni Mdude na Martin Maranja ina maana bado sana.
Heri uzi umeupandisha muda wa giza ingekuwa kweupe ufipa wangekuteka wakamsingizia muliro!Japo Ukweli huu Wafuasi wa Chadema huwa hawaukubali lakini ndio hali halisi
Kama swala la COVID-19 limewashinda, swala la Mchungaji Msigwa limewashinda ndio wataweza kuongoza DOLA hawa?
Wapinzani wa Tanzania ni afadhali ya Gen Z wanajua wanachofanya
Mlale Unono πΌ
Zingekuwa zimeuzwa tungekuwa hatupati pesa za kodiSawa kama kuuza bandari na mbuga za wanyama ndo kukomaa kisiasa basi naehamia burundi