Pre GE2025 Rais Samia: Waacheni wajifunze, muda wao wa kuendesha dola bado

Pre GE2025 Rais Samia: Waacheni wajifunze, muda wao wa kuendesha dola bado

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sawa kama kuuza bandari na mbuga za wanyama ndo kukomaa kisiasa basi naehamia burundi
Dah, hata mimi nimeikuta bandari yetu imehamia Dubai, nimeikuta huko na Ngorongoro Crater.


Nimeambiwa na KIA inapelekwa Muscat, Oman. Eti kweli?
 
Angetoa kabisa na umri(elekezi) kamili na murua wa kuwa wamekomaa na kushika kama si kuongoza dola.
NB;Awaeleze yeye(na CCM wenzie) alipata uongozi serikalini akiwa na umri gani
Mkuu, ķinywa cha mtu hulazimika kutamka mazuri tu wakati moyo ukipingana na yatamkwayo na kinywa

CCM ni waongo wote mpaka wanachama wao
 
kuongozwa na akina bibi nasi tumechoka. Amesahau kauli yake ya kwanza alipoapishwa pale dodoma?...kweli masikini akipata..........hulia mbwata 😛 😛 . Alivyo hajiamini...kila mwaka anasherehekea kutimiza miaka kadhaa ya urithi wa kiti kile
 
Visasi na vinyongo vilitawala kipindi kile.
Wanachelewesha vp, na Kila siku mnaimba Samia ametoa mabilion ya maendeleo?

Uchawa ukizidi akili zinahama tumboni,

kwa hiyo mlimsajili Msigwa aje kechelewesha maendeleo,
 
Eti "shujaa"🤣🤣🤣🤣
Nchi ina vituko hii🙆
 
Wanachelewesha vp, na Kila siku mnaimba Samia ametoa mabilion ya maendeleo?

Uchawa ukizidi akili zinahama tumboni,

kwa hiyo mlimsajili Msigwa aje kechelewesha maendeleo,
Mambo ya usajili wa Msigwa yametoka wapi?

Nimesema utawala ule ulikuwa wa visasi, vinyongo na kukomoana.
 
Rais Samia akizungumza na wananchi wa kata ya Laela ,Wilaya ya Sumbawanga Vijijini Rukwa mesema leo tarehe 17 Julai 2024 ikiwa siku ya mwisho ya kukamlisha kwa ziara yake ya siku tatu "Wengine waacheni waendelee kujifunza bado wachanga, muda wao wakuendesha Dola bado Kabisa"


"Lazima tuwe na Serikali makini inayowekwa na chama makini, niwaombe sana, mwaka huu mwisho wa mwaka mwezi wa 10 wa 11 kule tunakwenda kuwa na uchaguzi wa Serikali za Mitaa, tunakwenda kuchagua viongozi wa mitaa na viongozi wa vitongoji.

Niwaombe sana ndugu zangu, nendeni mkachague chama cha Mapinduzi, nendeni mkatuchague Chama cha Mapinduzi kwa sababu ndicho chama kilichoweka Serikali makini inayomimina maendeleo kwa watanzania, inayomimina maendeleo kwa watu, wa majimbo ya Tanzania.

Unapozungumza maji, elimu, afya umeme, kilimo na mambo mengine ni chama cha Mapinduzi, naomba sana chagueni chama cha Mapinduzi, tupite vizuri ili maendeleo yaje na mengine na mengine na mengine zaidi.

Wengine waacheni bado waendelee kujifunza, bado ni wachanga ni watoto wetu wa chama cha Mapinduzi, kwa hiyo waachieni waendelee kujifunza muda wao wa kuendesha dola ni bado kabisa kabisa kabisa, kwa hiyo niwaombe sana niwaombe sana ndugu zangu kachagueni chama cha cha Mapinduzi."


Pia soma:

View: https://www.instagram.com/reel/C9iDs6EKQLg/?igsh=MWVrOWM5aHdybXNzbg==
 
Japo Ukweli huu Wafuasi wa Chadema huwa hawaukubali lakini ndio hali halisi

Kama swala la COVID-19 limewashinda, swala la Mchungaji Msigwa limewashinda ndio wataweza kuongoza DOLA hawa?

Wapinzani wa Tanzania ni afadhali ya Gen Z wanajua wanachofanya

Mlale Unono 🐼
Wewe na huyo magufuli wako wote wapumbavu tu ndiyo maana lilikufa kibudu
 
Rais Samia akizungumza na wananchi wa kata ya Laela ,Wilaya ya Sumbawanga Vijijini Rukwa mesema leo tarehe 17 Julai 2024 ikiwa siku ya mwisho ya kukamlisha kwa ziara yake ya siku tatu "Wengine waacheni waendelee kujifunza bado wachanga, muda wao wakuendesha Dola bado Kabisa"


"Lazima tuwe na Serikali makini inayowekwa na chama makini, niwaombe sana, mwaka huu mwisho wa mwaka mwezi wa 10 wa 11 kule tunakwenda kuwa na uchaguzi wa Serikali za Mitaa, tunakwenda kuchagua viongozi wa mitaa na viongozi wa vitongoji.

Niwaombe sana ndugu zangu, nendeni mkachague chama cha Mapinduzi, nendeni mkatuchague Chama cha Mapinduzi kwa sababu ndicho chama kilichoweka Serikali makini inayomimina maendeleo kwa watanzania, inayomimina maendeleo kwa watu, wa majimbo ya Tanzania.

Unapozungumza maji, elimu, afya umeme, kilimo na mambo mengine ni chama cha Mapinduzi, naomba sana chagueni chama cha Mapinduzi, tupite vizuri ili maendeleo yaje na mengine na mengine na mengine zaidi.

Wengine waacheni bado waendelee kujifunza, bado ni wachanga ni watoto wetu wa chama cha Mapinduzi, kwa hiyo waachieni waendelee kujifunza muda wao wa kuendesha dola ni bado kabisa kabisa kabisa, kwa hiyo niwaombe sana niwaombe sana ndugu zangu kachagueni chama cha cha Mapinduzi."


Pia soma:
Ili muendelee kuuza rasilimali zetu kwa waarabu
 
Rais Samia akizungumza na wananchi wa kata ya Laela ,Wilaya ya Sumbawanga Vijijini Rukwa mesema leo tarehe 17 Julai 2024 ikiwa siku ya mwisho ya kukamlisha kwa ziara yake ya siku tatu "Wengine waacheni waendelee kujifunza bado wachanga, muda wao wakuendesha Dola bado Kabisa"


"Lazima tuwe na Serikali makini inayowekwa na chama makini, niwaombe sana, mwaka huu mwisho wa mwaka mwezi wa 10 wa 11 kule tunakwenda kuwa na uchaguzi wa Serikali za Mitaa, tunakwenda kuchagua viongozi wa mitaa na viongozi wa vitongoji.

Niwaombe sana ndugu zangu, nendeni mkachague chama cha Mapinduzi, nendeni mkatuchague Chama cha Mapinduzi kwa sababu ndicho chama kilichoweka Serikali makini inayomimina maendeleo kwa watanzania, inayomimina maendeleo kwa watu, wa majimbo ya Tanzania.

Unapozungumza maji, elimu, afya umeme, kilimo na mambo mengine ni chama cha Mapinduzi, naomba sana chagueni chama cha Mapinduzi, tupite vizuri ili maendeleo yaje na mengine na mengine na mengine zaidi.

Wengine waacheni bado waendelee kujifunza, bado ni wachanga ni watoto wetu wa chama cha Mapinduzi, kwa hiyo waachieni waendelee kujifunza muda wao wa kuendesha dola ni bado kabisa kabisa kabisa, kwa hiyo niwaombe sana niwaombe sana ndugu zangu kachagueni chama cha cha Mapinduzi."


Pia soma:
Majizi ya kura yaliyokubuhu
 
Iv CCM wanavyoongoza Nchi mbna hata mie na mkewang tukipewa mbona tunawazid pmoja na kwamba hatuna Itikadi za Chama chochote?? Nishindwe kweli kuongeza kodi tu kwenye bidhaa mhimu, na Kisha kubinafisisha bandari??
 
Back
Top Bottom