Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, hata mimi nimeikuta bandari yetu imehamia Dubai, nimeikuta huko na Ngorongoro Crater.Sawa kama kuuza bandari na mbuga za wanyama ndo kukomaa kisiasa basi naehamia burundi
Mkuu, ķinywa cha mtu hulazimika kutamka mazuri tu wakati moyo ukipingana na yatamkwayo na kinywaAngetoa kabisa na umri(elekezi) kamili na murua wa kuwa wamekomaa na kushika kama si kuongoza dola.
NB;Awaeleze yeye(na CCM wenzie) alipata uongozi serikalini akiwa na umri gani
Nyani haoni......😂😂😂Aisee..
Yani kabisa haya maneno katamka nanii!?!?!
..😷😷😷
Wanachelewesha vp, na Kila siku mnaimba Samia ametoa mabilion ya maendeleo?Visasi na vinyongo vilitawala kipindi kile.
Mambo ya usajili wa Msigwa yametoka wapi?Wanachelewesha vp, na Kila siku mnaimba Samia ametoa mabilion ya maendeleo?
Uchawa ukizidi akili zinahama tumboni,
kwa hiyo mlimsajili Msigwa aje kechelewesha maendeleo,
Rais Samia akizungumza na wananchi wa kata ya Laela ,Wilaya ya Sumbawanga Vijijini Rukwa mesema leo tarehe 17 Julai 2024 ikiwa siku ya mwisho ya kukamlisha kwa ziara yake ya siku tatu "Wengine waacheni waendelee kujifunza bado wachanga, muda wao wakuendesha Dola bado Kabisa"
"Lazima tuwe na Serikali makini inayowekwa na chama makini, niwaombe sana, mwaka huu mwisho wa mwaka mwezi wa 10 wa 11 kule tunakwenda kuwa na uchaguzi wa Serikali za Mitaa, tunakwenda kuchagua viongozi wa mitaa na viongozi wa vitongoji.
Niwaombe sana ndugu zangu, nendeni mkachague chama cha Mapinduzi, nendeni mkatuchague Chama cha Mapinduzi kwa sababu ndicho chama kilichoweka Serikali makini inayomimina maendeleo kwa watanzania, inayomimina maendeleo kwa watu, wa majimbo ya Tanzania.
Unapozungumza maji, elimu, afya umeme, kilimo na mambo mengine ni chama cha Mapinduzi, naomba sana chagueni chama cha Mapinduzi, tupite vizuri ili maendeleo yaje na mengine na mengine na mengine zaidi.
Wengine waacheni bado waendelee kujifunza, bado ni wachanga ni watoto wetu wa chama cha Mapinduzi, kwa hiyo waachieni waendelee kujifunza muda wao wa kuendesha dola ni bado kabisa kabisa kabisa, kwa hiyo niwaombe sana niwaombe sana ndugu zangu kachagueni chama cha cha Mapinduzi."
Pia soma:
Wewe na huyo magufuli wako wote wapumbavu tu ndiyo maana lilikufa kibuduJapo Ukweli huu Wafuasi wa Chadema huwa hawaukubali lakini ndio hali halisi
Kama swala la COVID-19 limewashinda, swala la Mchungaji Msigwa limewashinda ndio wataweza kuongoza DOLA hawa?
Wapinzani wa Tanzania ni afadhali ya Gen Z wanajua wanachofanya
Mlale Unono 🐼
Ili muendelee kuuza rasilimali zetu kwa waarabuRais Samia akizungumza na wananchi wa kata ya Laela ,Wilaya ya Sumbawanga Vijijini Rukwa mesema leo tarehe 17 Julai 2024 ikiwa siku ya mwisho ya kukamlisha kwa ziara yake ya siku tatu "Wengine waacheni waendelee kujifunza bado wachanga, muda wao wakuendesha Dola bado Kabisa"
"Lazima tuwe na Serikali makini inayowekwa na chama makini, niwaombe sana, mwaka huu mwisho wa mwaka mwezi wa 10 wa 11 kule tunakwenda kuwa na uchaguzi wa Serikali za Mitaa, tunakwenda kuchagua viongozi wa mitaa na viongozi wa vitongoji.
Niwaombe sana ndugu zangu, nendeni mkachague chama cha Mapinduzi, nendeni mkatuchague Chama cha Mapinduzi kwa sababu ndicho chama kilichoweka Serikali makini inayomimina maendeleo kwa watanzania, inayomimina maendeleo kwa watu, wa majimbo ya Tanzania.
Unapozungumza maji, elimu, afya umeme, kilimo na mambo mengine ni chama cha Mapinduzi, naomba sana chagueni chama cha Mapinduzi, tupite vizuri ili maendeleo yaje na mengine na mengine na mengine zaidi.
Wengine waacheni bado waendelee kujifunza, bado ni wachanga ni watoto wetu wa chama cha Mapinduzi, kwa hiyo waachieni waendelee kujifunza muda wao wa kuendesha dola ni bado kabisa kabisa kabisa, kwa hiyo niwaombe sana niwaombe sana ndugu zangu kachagueni chama cha cha Mapinduzi."
Pia soma:
Majizi ya kura yaliyokubuhuRais Samia akizungumza na wananchi wa kata ya Laela ,Wilaya ya Sumbawanga Vijijini Rukwa mesema leo tarehe 17 Julai 2024 ikiwa siku ya mwisho ya kukamlisha kwa ziara yake ya siku tatu "Wengine waacheni waendelee kujifunza bado wachanga, muda wao wakuendesha Dola bado Kabisa"
"Lazima tuwe na Serikali makini inayowekwa na chama makini, niwaombe sana, mwaka huu mwisho wa mwaka mwezi wa 10 wa 11 kule tunakwenda kuwa na uchaguzi wa Serikali za Mitaa, tunakwenda kuchagua viongozi wa mitaa na viongozi wa vitongoji.
Niwaombe sana ndugu zangu, nendeni mkachague chama cha Mapinduzi, nendeni mkatuchague Chama cha Mapinduzi kwa sababu ndicho chama kilichoweka Serikali makini inayomimina maendeleo kwa watanzania, inayomimina maendeleo kwa watu, wa majimbo ya Tanzania.
Unapozungumza maji, elimu, afya umeme, kilimo na mambo mengine ni chama cha Mapinduzi, naomba sana chagueni chama cha Mapinduzi, tupite vizuri ili maendeleo yaje na mengine na mengine na mengine zaidi.
Wengine waacheni bado waendelee kujifunza, bado ni wachanga ni watoto wetu wa chama cha Mapinduzi, kwa hiyo waachieni waendelee kujifunza muda wao wa kuendesha dola ni bado kabisa kabisa kabisa, kwa hiyo niwaombe sana niwaombe sana ndugu zangu kachagueni chama cha cha Mapinduzi."
Pia soma:
Teh teh teh 😃 😃 upo sahihi kabisa chiefAkina nani hao ambao hawana uwezo wa kuongoza dola?
Hapa TZ hakuna kazi nyepesi kama kuwa rais mana wananchi wenyewe n vichwa maji.
Acheni kujidanganya.Ujumbe Kwa Chadema View attachment 3044995
Stellah Manyanya, tena Engineer mwenye masters, kweli Siasa ni mbayaa.[emoji849][emoji849][emoji849]
View attachment 3045001
Picha ya miaka 10 iliyopita.Msafara wa Gari 150? Shule ndio hizi👇😝
View attachment 3044989
Hii ni zamu yetu CHADEMA kuiongoza Tanzania msituibie kura tu.