Yaani cdm wajifunze kwenye hicho chama kilichofubaa?! Labda wajifunze kuiba kura kwa mbeleko ya vyombo vya dola.Naunga mkono hoja
Yaani eti kina Mbowe na Lisu na Vyama vyai vya msimu ndio Wachaguliwe na Watanzania kuwa Rais? ππππ
Chadema endeleeni kupata shule kutoka ccm labda 2200 huko ndio mtakuwa mumekua
Watoto wa Shule kuandikia Majivu wakiwa wamekaa chini?!Picha ya miaka 10 iliyopita.
Usiwe na akili zile za watoto wa chuo kikuu, wanaoona ufahari kukosoa cha kwao, tafuta picha nzuri kuhusu Tanzania zipo nyingi mtandaoni.Watoto wa Shule kuandikia Majivu wakiwa wamekaa chini?!
Sasa nchi unaweza kabidhi Mbiwe form six division zero? Au ukakabidhi Tundu Lisu msomi ambaye yuko chini ya form six division zero akitaka hata uenyekiti Chadema hatoboiAkina nani hao ambao hawana uwezo wa kuongoza dola?
Hapa TZ hakuna kazi nyepesi kama kuwa rais mana wananchi wenyewe n vichwa maji.
Weka tume huru ya uchaguzi, weka pembeni policcm, asubuhi mapema anarudi KIZIMKAZIUjumbe Kwa Chadema View attachment 3044995
That is murder Puting airweight (kizmkaz daughter) and heavyweight (Lissu) in the same ring? It is murder!Bullshit!
Lugha za kikoloni hizo.
Nyerere alikuwa na ukomavu gani alipo chukua nchi toka kwa wakoloni?
Samia ni mweupe sana aisee.
Imagine Samia ana debate na Lissuβ¦..
It would be a massacre!
Akijibiwa atanza kulialia anatukanwa.Akina nani hao ambao hawana uwezo wa kuongoza dola?
Hapa TZ hakuna kazi nyepesi kama kuwa rais mana wananchi wenyewe n vichwa maji.
Hivi hawa watoto wamefanya kosa gani au wametenda dhambi gani kiasi cha kunyanyasika hivi!!??Msafara wa MaGari 150? Shule ndio hiziππ
View attachment 3044989
Hii ni zamu yetu CHADEMA kuiongoza Tanzania msituibie kura tu.
Naunga mkono hoja
Yaani eti kina Mbowe na Lisu na Vyama vyai vya msimu ndio Wachaguliwe na Watanzania kuwa Rais? ππππ
Chadema endeleeni kupata shule kutoka ccm labda 2200 huko ndio mtakuwa mumekua
Basi wapeni nafasi ya kujifunza kuongoza nchi, kwa kuchagua wabunge,madiwani na wenyeviti wa mitaa ili wakomae. Mki waibia kura a' la Nape hamuwasaidii kukomaa kutawala kwa kauli Yako RaisRais yuko sahihi. Kama think tanks ya CHADEMA ni Mdude na Martin Maranja ina maana bado sana.
Yeye amewezaje? Wakati ilikua bado sana sana ,kukalia kile kitiAkina nani hao ambao hawana uwezo wa kuongoza dola?
Hapa TZ hakuna kazi nyepesi kama kuwa rais mana wananchi wenyewe n vichwa maji.
Lini walipewa uwezo?Akina nani hao ambao hawana uwezo wa kuongoza dola?
Hapa TZ hakuna kazi nyepesi kama kuwa rais mana wananchi wenyewe n vichwa maji.
Na wewe ni maiti kama alivyosema Kenyatta, THINK, THINK DEEP, MAKE PHILOSOPHICAL ANALYSIS OF ISSUES. KAMA CCM INAJUA KUONGOZA, MNAKATAA TUME HURU, KATIBA MPYA KWANINI? WE NI MAITI! hakuna anyeipenda CCM, ni kwa vile kuna kugwa vyeo , tumbo street! Chadema haina fedha/vyeo vya kugawa lakini ina wafuasi walioandikishwa rohoni mwao!Japo Ukweli huu Wafuasi wa Chadema huwa hawaukubali lakini ndio hali halisi
Kama swala la COVID-19 limewashinda, swala la Mchungaji Msigwa limewashinda ndio wataweza kuongoza DOLA hawa?
Wapinzani wa Tanzania ni afadhali ya Gen Z wanajua wanachofanya
Mlale Unono πΌ
SAMIA UNAENDESHA DOLA IPI NA UMEIUZA YOTE? UNADHANI UNA MTU NYUMA YAKO, WANAKUDAGANYA KWA VILE UNAGAWA VYEO, NA SI KUWA WANAKUPENDA.Rais Samia akizungumza na wananchi wa kata ya Laela ,Wilaya ya Sumbawanga Vijijini Rukwa mesema leo tarehe 17 Julai 2024 ikiwa siku ya mwisho ya kukamlisha kwa ziara yake ya siku tatu "Wengine waacheni waendelee kujifunza bado wachanga, muda wao wakuendesha Dola bado Kabisa"
"Lazima tuwe na Serikali makini inayowekwa na chama makini, niwaombe sana, mwaka huu mwisho wa mwaka mwezi wa 10 wa 11 kule tunakwenda kuwa na uchaguzi wa Serikali za Mitaa, tunakwenda kuchagua viongozi wa mitaa na viongozi wa vitongoji.
Niwaombe sana ndugu zangu, nendeni mkachague chama cha Mapinduzi, nendeni mkatuchague Chama cha Mapinduzi kwa sababu ndicho chama kilichoweka Serikali makini inayomimina maendeleo kwa watanzania, inayomimina maendeleo kwa watu, wa majimbo ya Tanzania.
Unapozungumza maji, elimu, afya umeme, kilimo na mambo mengine ni chama cha Mapinduzi, naomba sana chagueni chama cha Mapinduzi, tupite vizuri ili maendeleo yaje na mengine na mengine na mengine zaidi.
Wengine waacheni bado waendelee kujifunza, bado ni wachanga ni watoto wetu wa chama cha Mapinduzi, kwa hiyo waachieni waendelee kujifunza muda wao wa kuendesha dola ni bado kabisa kabisa kabisa, kwa hiyo niwaombe sana niwaombe sana ndugu zangu kachagueni chama cha cha Mapinduzi."
Pia soma: