Rais Samia Wachukulie hatua wanajeshi wanaofanyafanya vurugu mitaani-Hii ni aibu isiyokubalika hata kidogo!

Yote tisa. Nawaona wale waliokuwa kimbelembele kudai Jeshi Liwahamishe ndugu zetu "Wamasai" Ngorongoro, ati kwa hiari zao. Wakikemea kitendo kilichotokea Kawe.

Je hao waliokuwa wanaomficha Jambazi aliymuuwa mwanajeshi hawakufanya hayo kwa hiari zao? Pole zao.


Pointi ni kuwa mliyavumilia matendo ya hovyo na ya kinyama kufanyiwa Wamasai na wengi wenu mlikuwa mnawabeza na kuwadhihaki Wamasai badala ya kukemea maovu ya Jeshi letu.

Hamkunyoosha vidole! kwani, unyambisi ni unyambisi tu

Hata hivyo, siungi mkono kitendo hicho cha polisi wa Kijeshi Kawe.

Tanzania inahitaji mapinduzi ya haraka.
 
Wewe shule imekupita kushoto,hivi kama Kato aliweza kumlaza kanali,unadhani ukikutana namimi,ntakufanyaje...?
Utachezea kichapo cha mbwa koko.
Alimlaza kwa kumvizia, alipopigwa vibao kwa nn hakuzipanga kama kidume kweli. ukikutana na mm ntakutindua mtaro hadharani bila kilainishi, yaan hata mate sintopaka.
 
Mawazo ya baadhi ya wanajeshi kudhani wako juu ya raia ni mawazo potofu. Nguvu ya kijeshi iko ndani ya kamandi na siyo mtu mmojammoja!​
Yaa nafikiri hawana uelewa, mambo ya amri na kuwajibishana kijeshi yanatakiwa yawe ndani ya ranks zao ndani ya jeshi, kwa kuwa wanajeshi wanawatii viongozi wa kiraia hivyo hivyo wanatakiwa kuwatii raia kwa sababu viongozi akiwemo rais wapo hapo kwa matakwa ya raia.

Hii ya kudhani wana mamlaka ya kuwapiga raia ni kukosa uelewa kwa sababu raia ndo wenye mamlaka ya kuwaamuru wanajeshi kufanya hiki au kile kwa sababu hilo jeshi ni la kwao na wao ndo wanaliendesha kwa kodi zao, na hata kama dereva wa bajaj alimwomba mwanajeshi kuweka gari pembeni ili apite alimstahi sana, kimsingi alitakiwa ampe amri aweke gari pembeni ili apite.

Nafikri ni wachache sana wataelewa nilichoandika hapa.​
 
Nashangazwa eti tunamuomba mkulu ashugjulikie jeshi

Jeshi hili hili au lingine? Waliokaa kimya na uuzwaji wa rasimali za nchi?

Actualy kwenye suala hilo even wananchi wamekaa kimya, wote wanalalamikia kwenye social media
Wengine wakageuka kuwa chawa
Hata kama ningekuwa nipo inservice, Siwez tetea kizazi kisichojielewa ,umoja 0
 

Ni baadhi lakini si wote. Ni wale wenye tuhuma hizo.
Tuwe honest kwenye kundi lolote lile wapo watao misbehave, mtaani hata maofisini lakin haimaanishi jeshi zima ndio liko hivyo
 
Naunga mkono hoja 👍👏👏👏👏👏👏
 
yaani nalishangaa sana jesh letu sijui wamekuweje tu,
Wewe huenda ni Kizazi kilichozaliwa wakati Nchi hii inaongozwa na Sungusungu ambao ndio walikuwa Polisi na Mahakama.

Ushauri wako ni sawa na kusema Vituo vya Polisi vifanywe kuwa Migahawa na Mahakama zigeuzwe kuwa Bar na Mahakama kuu ifanywe kuwa 4 star Hotel.

Ni LAZIMA tujiongoze kwa KATIBA na SHARIA tulizojiwekea,laa Nchi itageuka kuwa MONKEY JUNGLE.
 
umesema SHARIA? unajua maana ya SHARIA? Unajua utawala wa SHARIA unavofanya kazi?
 
hii nchi haijawai kuongozwa na sungusungu we bwege.
 
huna ulichoandika hapa ni uharo tu, hata wanajeshi wanalipa kodi, wanakatwa paye kwenye mishahara yao. wana uhuru wa kvtumia barabara kama ambavo na wewe una uhuru huo, jeshi la polisi ndo linawajibika kwa raia, ndo walinzi wa raia na mali zao.
 
huna ulichoandika hapa ni uharo tu, hata wanajeshi wanalipa kodi, wanakatwa paye kwenye mishahara yao. wana uhuru wa kvtumia barabara kama ambavo na wewe una uhuru huo, jeshi la polisi ndo linawajibika kwa raia, ndo walinzi wa raia na mali zao.
Soma taratibu kilichoandikwa, acha kuleta mihemuko.
 
Haya umesikika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…