Rais Samia Wachukulie hatua wanajeshi wanaofanyafanya vurugu mitaani-Hii ni aibu isiyokubalika hata kidogo!

Rais Samia Wachukulie hatua wanajeshi wanaofanyafanya vurugu mitaani-Hii ni aibu isiyokubalika hata kidogo!

Nani yupo juu ya sheria katika hii nchi?
Nani ajifunze wakati mtuhumiwa kashakamatwa?
Tusishadadie uvunjifu wa sheria kw akiona jeshi halihitaji kufuata sheria sababu siku watu wakichoka hawataweza kuhimili madhara yake.
Huyo Jamaa asukuumize kichwa,ana hasira za maisha,na anazani raia wasiokua na hatia wakipigwa maisha yake yatakua rahisi sana,alafu kumbuka unaweza ukamuona ni mtu kwa nje kumbe ndani ni shetani! Shetani wanapenda sana kujifanya ni binaadamu sema tabia za kishetani ndiyo zinawaambua!!
 
Salaamu kwako Mheshimiwa Rais

Mheshimiwa Rais, nianze kwa kusema kuwa mimi raia wa Tanzania, nina heshima kubwa kwa Jeshi letu la wananchi. Kazi waliyoifanya kwa miaka zaidi ya 60 ya ulinzi wa Taifa letu ni njema sana, kwa kweli imekuwa msingi na nguzo kuu ya amani na utulivu wa wa Taifa letu

Hata hivyo, Hivi karibuni zimezuka taarifa za wanajeshi wachache, wasiojua miiko na viapo vya kazi yao, wameamua kuvunja sheria na kuingia mtaani na kuanza kupigapiga watu hovyo.
Tukio hili limetokea baada ya kutokea taarifa za kuuawa kwa mwanajeshi na mwananchi baada ya kinachosemekana ugomvi wa raia na mwanajeshi huyo. Baada ya tukio hilo kundi la wanajeshi limeingia mitaani na kuanza kupigapiga raia hovyo eti "kuwatia adabu".

Mheshimiwa Rais naomba nikueleze mambo yafuatayo:

1. Mosi ni aibu kwa jeshi kuvunja sheria, na kukiuka misingi ya kisheria ya uanzishwaji wake.
Katika nchi yoyote, majeshi yanapaswa kuwa ni vyombo vya kinidhamu, mfano bora kwa wananchi na taswira chanya ya kuonyesha namna gani sheria zinavyopaswa kutiiwa. Kitendo cha Wanajeshi kuvunja sheria waziwazi , kinaidhalilisha serikali yako, na kimsingi kinakudhalilisha wewe Amiri jeshi mkuu ambaye leo hii vijana wako wanaingia mitaani na kubehave kama watu wa fujofujo, badala ya watu sober wenye nidhamu ya hali ya juu.

2. Pili, wanajeshi wanaoact kwa utaratibu huu wanaonyesha udhaifu badala ya nguvu, hawatufai, wachukuliwe hatua kali za kinidhamu

Mheshimiwa Rais, nguvu ya jeshi wala siyo uwezo wake wa kupita mitaani na kupiga wanawake,, watoto, wazee na vijana. Bali uwezo wa jeshi unapimwa kwa namna gani unatii katiba ya nchi, mipango madhubuti ya ulinzi wa Taifa na medani. Kama Jeshi la Wananchi linadhani liko Juu ya Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linajindanganya sana. Legitimacy yake kwa umma siyo uwezo wa kufanya vurugu mitaani, bali legitimacy yake na heshima yake itapatikana kwa kulinda uhuru wa Taifa letu na kuwa nguzo ya usitawi, na siyo kufanyafanya fujo mitaani.

3. Mheshimiwa Rais, Hata sisi raia ni jeshi la akiba

Kitendo cha watu wachache wenye uniform kuingia mitaani na kupigapiga watu kimsingi ni kama jeshi kupigana na wenzao tu ambao hawana uniform. Pengine wanajeshi wetu, ambao wewe ni Amiri jeshi mkuu wake inapaswa waelewe kuwa, Uniform hizo wanazovaa ni kwa ridhaa yetu, kwamba tumeamua wachache wawe mbele kwenye ulinzi wa Taifa lakini Pindi Taifa likihitaji ulinzi, sisi sote tutakuja front kulilinda. Sasa kitendo cha wachache walio katika uniform kuingia mitaani na kufanyafanya vurugu, ni kitendo cha aibu, kisichovumilika na cha kukemewa na kila mwananchi anayelitakia mema Taifa hili.

4. Mheshimiwa Rais, tukilea tabia hizi za hovyo za baadhi ya wanajeshi kupiga na kuonea raia, ipo siku watafanya tukio kubwa zaidi.

Mheshimiwa rais, mwanzo wa ngoma ni lele, na samaki mkunje angali mbichi. Leo hii tukivumilia vitendo vibaya kabisa visivyo na heshima wala Taswira ya jeshi la Wananchi tunalolijua, ipo siku watafanya jambo baya kabisa katika nchi na kutishia amani na utulivu wa Taifa zima. Ni lazima hatua kali zichukuliwe kwa hawa wachache waiojua nini maadili ya kazi yao ili kulinusuru Taifa dhidi ya wanajeshi wenye mentality za vuruguvurugu kama hawa wanaopita mitaani na kufanya fujo.
Mheshimwa wanajeshi hawa wachache wenye kufanya matendo haya ya kihuni siyo aina ya wanajeshi ambao baba wa Taifa alijivunia kuwa tuna JESHI LA WANANCHI. Tunaomba wahusika wote waliohusika wachukuliwe hatua kali kabisa za kisheria na kinidhamu.

5. Mheshimiwa Rais hatuwezi kuvumilia Panya Road wa Kiraia, na kamwe hatuwezi kuvumilia panyaroad wa Kijeshi.

Matendo wanayofanya hawa wanajeshi wachache wasio na nidhamu hayana tofauti na matendo wanayofanya vijana wachache wa kiraia wasio na nidhamu waitwao Panyaroad. Hivi inawezekanaje mwanajeshi unaingia mtaani na kuanza kupigapiga klla mtu apitaye. Sasa unataka kuachieve nini?. Kwamba unataka raia wakuogope?, ili iweje na kwa nini?. Mheshimiwa Rais, ili jeshi lifanikiwe linahitaji mgongo wa Raia. Ni mentality potofu kudhani eti Jeshi liko juu ya raia na kwa hivyo wanajeshi wanaweza kupiga, kujeruhi, kuvunjia heshima watu eti kwa sababu ni wanajeshi. Hili tumelikataa na tunalikataa kwa moyo wetu wote. Tunataka Jeshi liendelee kuwa na sifa ya nidhamu na yeyote atakayejiinua ndani ya majeshi yetu na kujifanya panya road wa kijeshi huyo hatufai, avue uniform aingie mtaani akafanya mambo yake huko akakumbane na mkono wa sheria!

Mwisho namalizia kwa kusema kuwa, nina Imani na Mkuu wa Majeshi, nina imani na Mnadhimu wa majeshi na bado nina imani na Jeshi kiujumla. lakini matendo haya yaliyotokea Kawe yamelitia doa jeshi na ni lazima lichukue hatua. Tunahitaji heshima ya jeshi letu iendelee kuwa palepale, na siyo kuwa na vikundi vya reactionaries, wapenda fujo ndani ya komandi, wanaodhani eti kufanya "zali" au "kulianzisha" ndiyo ukamanda wenyewe. Huo siyo ukamanda, bali ni uhalifu. Hao waliohusika wachukuliwe hatua za kinidhamu na kisheria mara moja ili tabia hizi za kupigapiga wanachi zikome mara moja, hazikubaliki hata kidogo!
Wana kawe mmeua afisa mkuu wa Jeshi...acha kulis lia lazima mpate kipigo kidogo heshima Geshi irudiii.....karibu kambini uje ulalamike huku tukuone
 
Nani yupo juu ya sheria katika hii nchi?
Nani ajifunze wakati mtuhumiwa kashakamatwa?
Tusishadadie uvunjifu wa sheria kw akiona jeshi halihitaji kufuata sheria sababu siku watu wakichoka hawataweza kuhimili madhara yake.
Mwanajeshi huwezi kumfanya lolote, watu wakichoka ndio watajibu mapigo ya jeshi, wewe utakuwa unaota.

Sio watanzania hawa tunaowajua labda.
 
Salaamu kwako Mheshimiwa Rais

Mheshimiwa Rais, nianze kwa kusema kuwa mimi raia wa Tanzania, nina heshima kubwa kwa Jeshi letu la wananchi. Kazi waliyoifanya kwa miaka zaidi ya 60 ya ulinzi wa Taifa letu ni njema sana, kwa kweli imekuwa msingi na nguzo kuu ya amani na utulivu wa wa Taifa letu

Hata hivyo, Hivi karibuni zimezuka taarifa za wanajeshi wachache, wasiojua miiko na viapo vya kazi yao, wameamua kuvunja sheria na kuingia mtaani na kuanza kupigapiga watu hovyo.
Tukio hili limetokea baada ya kutokea taarifa za kuuawa kwa mwanajeshi na mwananchi baada ya kinachosemekana ugomvi wa raia na mwanajeshi huyo. Baada ya tukio hilo kundi la wanajeshi limeingia mitaani na kuanza kupigapiga raia hovyo eti "kuwatia adabu".

Mheshimiwa Rais naomba nikueleze mambo yafuatayo:

1. Mosi ni aibu kwa jeshi kuvunja sheria, na kukiuka misingi ya kisheria ya uanzishwaji wake.
Katika nchi yoyote, majeshi yanapaswa kuwa ni vyombo vya kinidhamu, mfano bora kwa wananchi na taswira chanya ya kuonyesha namna gani sheria zinavyopaswa kutiiwa. Kitendo cha Wanajeshi kuvunja sheria waziwazi , kinaidhalilisha serikali yako, na kimsingi kinakudhalilisha wewe Amiri jeshi mkuu ambaye leo hii vijana wako wanaingia mitaani na kubehave kama watu wa fujofujo, badala ya watu sober wenye nidhamu ya hali ya juu.

2. Pili, wanajeshi wanaoact kwa utaratibu huu wanaonyesha udhaifu badala ya nguvu, hawatufai, wachukuliwe hatua kali za kinidhamu

Mheshimiwa Rais, nguvu ya jeshi wala siyo uwezo wake wa kupita mitaani na kupiga wanawake,, watoto, wazee na vijana. Bali uwezo wa jeshi unapimwa kwa namna gani unatii katiba ya nchi, mipango madhubuti ya ulinzi wa Taifa na medani. Kama Jeshi la Wananchi linadhani liko Juu ya Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linajindanganya sana. Legitimacy yake kwa umma siyo uwezo wa kufanya vurugu mitaani, bali legitimacy yake na heshima yake itapatikana kwa kulinda uhuru wa Taifa letu na kuwa nguzo ya usitawi, na siyo kufanyafanya fujo mitaani.

3. Mheshimiwa Rais, Hata sisi raia ni jeshi la akiba

Kitendo cha watu wachache wenye uniform kuingia mitaani na kupigapiga watu kimsingi ni kama jeshi kupigana na wenzao tu ambao hawana uniform. Pengine wanajeshi wetu, ambao wewe ni Amiri jeshi mkuu wake inapaswa waelewe kuwa, Uniform hizo wanazovaa ni kwa ridhaa yetu, kwamba tumeamua wachache wawe mbele kwenye ulinzi wa Taifa lakini Pindi Taifa likihitaji ulinzi, sisi sote tutakuja front kulilinda. Sasa kitendo cha wachache walio katika uniform kuingia mitaani na kufanyafanya vurugu, ni kitendo cha aibu, kisichovumilika na cha kukemewa na kila mwananchi anayelitakia mema Taifa hili.

4. Mheshimiwa Rais, tukilea tabia hizi za hovyo za baadhi ya wanajeshi kupiga na kuonea raia, ipo siku watafanya tukio kubwa zaidi.

Mheshimiwa rais, mwanzo wa ngoma ni lele, na samaki mkunje angali mbichi. Leo hii tukivumilia vitendo vibaya kabisa visivyo na heshima wala Taswira ya jeshi la Wananchi tunalolijua, ipo siku watafanya jambo baya kabisa katika nchi na kutishia amani na utulivu wa Taifa zima. Ni lazima hatua kali zichukuliwe kwa hawa wachache waiojua nini maadili ya kazi yao ili kulinusuru Taifa dhidi ya wanajeshi wenye mentality za vuruguvurugu kama hawa wanaopita mitaani na kufanya fujo.
Mheshimwa wanajeshi hawa wachache wenye kufanya matendo haya ya kihuni siyo aina ya wanajeshi ambao baba wa Taifa alijivunia kuwa tuna JESHI LA WANANCHI. Tunaomba wahusika wote waliohusika wachukuliwe hatua kali kabisa za kisheria na kinidhamu.

5. Mheshimiwa Rais hatuwezi kuvumilia Panya Road wa Kiraia, na kamwe hatuwezi kuvumilia panyaroad wa Kijeshi.

Matendo wanayofanya hawa wanajeshi wachache wasio na nidhamu hayana tofauti na matendo wanayofanya vijana wachache wa kiraia wasio na nidhamu waitwao Panyaroad. Hivi inawezekanaje mwanajeshi unaingia mtaani na kuanza kupigapiga klla mtu apitaye. Sasa unataka kuachieve nini?. Kwamba unataka raia wakuogope?, ili iweje na kwa nini?. Mheshimiwa Rais, ili jeshi lifanikiwe linahitaji mgongo wa Raia. Ni mentality potofu kudhani eti Jeshi liko juu ya raia na kwa hivyo wanajeshi wanaweza kupiga, kujeruhi, kuvunjia heshima watu eti kwa sababu ni wanajeshi. Hili tumelikataa na tunalikataa kwa moyo wetu wote. Tunataka Jeshi liendelee kuwa na sifa ya nidhamu na yeyote atakayejiinua ndani ya majeshi yetu na kujifanya panya road wa kijeshi huyo hatufai, avue uniform aingie mtaani akafanya mambo yake huko akakumbane na mkono wa sheria!

Mwisho namalizia kwa kusema kuwa, nina Imani na Mkuu wa Majeshi, nina imani na Mnadhimu wa majeshi na bado nina imani na Jeshi kiujumla. lakini matendo haya yaliyotokea Kawe yamelitia doa jeshi na ni lazima lichukue hatua. Tunahitaji heshima ya jeshi letu iendelee kuwa palepale, na siyo kuwa na vikundi vya reactionaries, wapenda fujo ndani ya komandi, wanaodhani eti kufanya "zali" au "kulianzisha" ndiyo ukamanda wenyewe. Huo siyo ukamanda, bali ni uhalifu. Hao waliohusika wachukuliwe hatua za kinidhamu na kisheria mara moja ili tabia hizi za kupigapiga wanachi zikome mara moja, hazikubaliki hata kidogo!
Rubbish.
 
Kumuua kanali wa jeshi ni kulitukana jeshi

Kinachofanyika ni kuludisha nidhamu mtaani,zinapigwa virungu adi nzi

Iyo ni oda Toka kwa cdf,ukiona wazee wamezama jua mwenye jeshi lake kajaa sumu,anatamani kutandaza bakora hata kwa raia ote tz

huyu hapa mwanajeshi mwingine akili kisoda.

Ukalewe ulete vurugu watu watakutia bisibisi tu kwa ubabe wa kipumbavu jeshi halikumtuma akalewe akose akili ya kuzungumza na watu.

Binafsi hata nipigwe kibao na Rais lazima ntamrudishia siwezi kukubali dharau.

Aliyemtia bisu Kanali alikuwa sahihi tu
 
Uhuru ukizidi huzaa ujinga kwenye jamii, demokrasia ikizidi huzaa masuala ya kuchukuliana poa mpaka inapitiliza.

Juzi huku Mbezi Beach maeneo ya nyumba ya Rais Mwinyi kwenye foleni jamaa wa bajaji kamchomekea mwanajeshi bila ya kujua, mwanajeshi akamshukia na kupa makofi mawili matatu. Wakati anarudi kupanda gari lake aondoke kumbe dereva ya bajaji ana bisibisi pale karibu na usukani akaichukua na kwenda kumchoma nayo shingoni huyo mwanajeshi, afande akavuja damu mpaka akafa.

Wanajeshi wakaanza oparesheni ya kuwatandika hao madereva wa bajaji mpaka wakamkamata mwenzao na wakaingia nae mle Lugalo Jeshini.

Lazima tuheshimu mamlaka, sio kwa sababu tunaendesha bajaji au bodaboda basi tunajiona tayari tumeshamaliza kila kitu, tunaanza ujuaji mwingi huko njiani.
Mimi naona hili swala liligubikwa na jazba zaidi kutoka kwa huyo mwanajeshi na dereva wa bajaj......nafikiri wanajeshi kwa sababu ni watu wenye mafunzo maalumu wanatakiwa kujizuia sana pale wanapohisi wamekosewa na raia, mfano swala dogo la kuchomekewa na bajaj tayari unataka kuonyesha makucha.

Ni sawasawa na bondia professional, anaweza kuwa na uwezo wa kupiga kila mtu lakini ile ni taaluma lazima ajiweke kwenye mazingira ya kujizuia na hasira za kuanzisha ugomvi na watu nje ya uringo ambao siyo mabondia wenzake.

Hili swala la kuendelea kupiga raia ili hali mshukiwa ameshapatikana na hata kama angekuwa hajajulikana linaleta ukakasi maana linaweza kusababisha jeshi kuchukiwa na raia ukichukulia jeshi letu linajulikana kama jeshi la wananchi.​
 
Mimi naona hili swala liligubikwa na jazba zaidi kutoka kwa huyo mwanajeshi na dereva wa bajaj......nafikiri wanajeshi kwa sababu ni watu wenye mafunzo maalumu wanatakiwa kujizuia sana pale wanapohisi wamekosewa na raia, mfano swala dogo la kuchomekewa na bajaj tayari unataka kuonyesha makucha.

Ni sawasawa na bondia professional, anaweza kuwa na uwezo wa kupiga kila mtu lakini ile ni taaluma lazima ajiweke kwenye mazingira ya kujizuia na hasira za kuanzisha ugomvi na watu nje ya uringo ambao siyo mabondia wenzake.

Hili swala la kuendelea kupiga raia ili hali mshukiwa ameshapatikana na hata kama angekuwa hajajulikana linaleta ukakasi maana linaweza kusababisha jeshi kuchukiwa na raia ukichukulia jeshi letu linajulikana kama jeshi la wananchi.​
Mawazo ya baadhi ya wanajeshi kudhani wako juu ya raia ni mawazo potofu. Nguvu ya kijeshi iko ndani ya kamandi na siyo mtu mmojammoja!
 
Kama na nyie ni jeshi la akiba kosa likowapi mkipigana na jeshi active?? Jeshi la akiba mko wengi alafu mnapigwa na wachache huo si udhaifu?? Anyway wanajeshi mnajuana
Watu wanasahau vita ikianza wananchi ni wa kwanza kupelekwa front.
 
unawaita wanajeshi wanaokulinda usiku na mchana panya road? Naona wanajeshi wamekuwa wamekuwa wapole sana. Ngedere unayejjambia usiku hujui lolote kuhusu nchi hii unawaita wanajeshi panya road? Subiri utafikiwa we mbwa.
Wacha ukatili wewe angepigwa babayako ungesema hivo?? Mbona hivi waafrika huwezi sikia uchungu au huruma, ila awe nduguyako?? Kama wao ndio wanakulinda je wao anawalinda nani??
 
Salaamu kwako Mheshimiwa Rais

Mheshimiwa Rais, nianze kwa kusema kuwa mimi raia wa Tanzania, nina heshima kubwa kwa Jeshi letu la wananchi. Kazi waliyoifanya kwa miaka zaidi ya 60 ya ulinzi wa Taifa letu ni njema sana, kwa kweli imekuwa msingi na nguzo kuu ya amani na utulivu wa wa Taifa letu

Hata hivyo, Hivi karibuni zimezuka taarifa za wanajeshi wachache, wasiojua miiko na viapo vya kazi yao, wameamua kuvunja sheria na kuingia mtaani na kuanza kupigapiga watu hovyo.
Tukio hili limetokea baada ya kutokea taarifa za kuuawa kwa mwanajeshi na mwananchi baada ya kinachosemekana ugomvi wa raia na mwanajeshi huyo. Baada ya tukio hilo kundi la wanajeshi limeingia mitaani na kuanza kupigapiga raia hovyo eti "kuwatia adabu".

Mheshimiwa Rais naomba nikueleze mambo yafuatayo:

1. Mosi ni aibu kwa jeshi kuvunja sheria, na kukiuka misingi ya kisheria ya uanzishwaji wake.
Katika nchi yoyote, majeshi yanapaswa kuwa ni vyombo vya kinidhamu, mfano bora kwa wananchi na taswira chanya ya kuonyesha namna gani sheria zinavyopaswa kutiiwa. Kitendo cha Wanajeshi kuvunja sheria waziwazi , kinaidhalilisha serikali yako, na kimsingi kinakudhalilisha wewe Amiri jeshi mkuu ambaye leo hii vijana wako wanaingia mitaani na kubehave kama watu wa fujofujo, badala ya watu sober wenye nidhamu ya hali ya juu.

2. Pili, wanajeshi wanaoact kwa utaratibu huu wanaonyesha udhaifu badala ya nguvu, hawatufai, wachukuliwe hatua kali za kinidhamu

Mheshimiwa Rais, nguvu ya jeshi wala siyo uwezo wake wa kupita mitaani na kupiga wanawake,, watoto, wazee na vijana. Bali uwezo wa jeshi unapimwa kwa namna gani unatii katiba ya nchi, mipango madhubuti ya ulinzi wa Taifa na medani. Kama Jeshi la Wananchi linadhani liko Juu ya Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linajindanganya sana. Legitimacy yake kwa umma siyo uwezo wa kufanya vurugu mitaani, bali legitimacy yake na heshima yake itapatikana kwa kulinda uhuru wa Taifa letu na kuwa nguzo ya usitawi, na siyo kufanyafanya fujo mitaani.

3. Mheshimiwa Rais, Hata sisi raia ni jeshi la akiba

Kitendo cha watu wachache wenye uniform kuingia mitaani na kupigapiga watu kimsingi ni kama jeshi kupigana na wenzao tu ambao hawana uniform. Pengine wanajeshi wetu, ambao wewe ni Amiri jeshi mkuu wake inapaswa waelewe kuwa, Uniform hizo wanazovaa ni kwa ridhaa yetu, kwamba tumeamua wachache wawe mbele kwenye ulinzi wa Taifa lakini Pindi Taifa likihitaji ulinzi, sisi sote tutakuja front kulilinda. Sasa kitendo cha wachache walio katika uniform kuingia mitaani na kufanyafanya vurugu, ni kitendo cha aibu, kisichovumilika na cha kukemewa na kila mwananchi anayelitakia mema Taifa hili.

4. Mheshimiwa Rais, tukilea tabia hizi za hovyo za baadhi ya wanajeshi kupiga na kuonea raia, ipo siku watafanya tukio kubwa zaidi.

Mheshimiwa rais, mwanzo wa ngoma ni lele, na samaki mkunje angali mbichi. Leo hii tukivumilia vitendo vibaya kabisa visivyo na heshima wala Taswira ya jeshi la Wananchi tunalolijua, ipo siku watafanya jambo baya kabisa katika nchi na kutishia amani na utulivu wa Taifa zima. Ni lazima hatua kali zichukuliwe kwa hawa wachache waiojua nini maadili ya kazi yao ili kulinusuru Taifa dhidi ya wanajeshi wenye mentality za vuruguvurugu kama hawa wanaopita mitaani na kufanya fujo.
Mheshimwa wanajeshi hawa wachache wenye kufanya matendo haya ya kihuni siyo aina ya wanajeshi ambao baba wa Taifa alijivunia kuwa tuna JESHI LA WANANCHI. Tunaomba wahusika wote waliohusika wachukuliwe hatua kali kabisa za kisheria na kinidhamu.

5. Mheshimiwa Rais hatuwezi kuvumilia Panya Road wa Kiraia, na kamwe hatuwezi kuvumilia panyaroad wa Kijeshi.

Matendo wanayofanya hawa wanajeshi wachache wasio na nidhamu hayana tofauti na matendo wanayofanya vijana wachache wa kiraia wasio na nidhamu waitwao Panyaroad. Hivi inawezekanaje mwanajeshi unaingia mtaani na kuanza kupigapiga klla mtu apitaye. Sasa unataka kuachieve nini?. Kwamba unataka raia wakuogope?, ili iweje na kwa nini?. Mheshimiwa Rais, ili jeshi lifanikiwe linahitaji mgongo wa Raia. Ni mentality potofu kudhani eti Jeshi liko juu ya raia na kwa hivyo wanajeshi wanaweza kupiga, kujeruhi, kuvunjia heshima watu eti kwa sababu ni wanajeshi. Hili tumelikataa na tunalikataa kwa moyo wetu wote. Tunataka Jeshi liendelee kuwa na sifa ya nidhamu na yeyote atakayejiinua ndani ya majeshi yetu na kujifanya panya road wa kijeshi huyo hatufai, avue uniform aingie mtaani akafanya mambo yake huko akakumbane na mkono wa sheria!

Mwisho namalizia kwa kusema kuwa, nina Imani na Mkuu wa Majeshi, nina imani na Mnadhimu wa majeshi na bado nina imani na Jeshi kiujumla. lakini matendo haya yaliyotokea Kawe yamelitia doa jeshi na ni lazima lichukue hatua. Tunahitaji heshima ya jeshi letu iendelee kuwa palepale, na siyo kuwa na vikundi vya reactionaries, wapenda fujo ndani ya komandi, wanaodhani eti kufanya "zali" au "kulianzisha" ndiyo ukamanda wenyewe. Huo siyo ukamanda, bali ni uhalifu. Hao waliohusika wachukuliwe hatua za kinidhamu na kisheria mara moja ili tabia hizi za kupigapiga wanachi zikome mara moja, hazikubaliki hata kidogo!

Huna kazi ya kufanya
 
Muuaji ameshakamatwa na sheria inapaswa kuachwa ifanye kazi yake.

Kuonea raia wema kwa kigezo cha kuwatia adabu ni uvunjifu wa sheria,

hii nchi inaendeshwa kwa katiba na sheria.
hakuna raia mwema hapo, piga hao mbwa mpaka wachakae
 
Wew jamaa unaandika ujinga, raia ameua mwajeshi, watu tunaomboleza huku wew unaanfika siasa za kijinga. Jeshini hakuna siasa. Ala vip huyo Aliye uawa angekuwa baba au ndugu ungeaandika utumboa hapa. Wew ni muasi usimupangie Rais kazi Dikteta mkubwa wew we nina umkomand Rais wetu
Mm mwenyewe nimemshangaa huyo pimbi, anaandika upupu tu, sijui amekula maharage ya wapi huyo.
 
Itoshe kusema hawa bodaboda na Bajaji polisi wameshindwa kuwadhibiti, na limekuwa jeshi linalojitegemea na wanatembea na silaha hatarishi sana Kwa kisingisio Cha self-defense, hii haikubaliki, inabidi jeshi la polisi lijitafakari kuwadhibiti Hawa Watu, sisi raia wa kawaida tupo wadogo kama piritoni, tunawaogopa sana Hawa vijana na wameshasababisha sana maafa na yatazidi huko mbeleni, Mungu ameamua kufanya tukio kubwa la kuuliwa Mtu mkubwa ili tuamke usingizini Kwani tatizo ni kubwa, fikiria Mkuu WA kikosi Cha jeshi unauliwa na dereva Bajaji, huoni Mungu ana kusudio la kuonyesha ukubwa WA tatizo!! Tuamke na Hawa vijana wadhibitiwe, utaratibu na sheria
hakuna cha vtaratbu na sheria, kaz moja tu, piga hao mbwa mpaka wachakae
 
Ungeenda wewe ukamchukue kinguvu au nenda baadae ukamchukue kwa nguvu,pale kituoni.Wenzako wataleta majibu,kua umemchukua mtuhumiwa na mmedili nae.Mjinga wewe.
unamjibu mjinga, basi we pumbavu kabisa
 
Jeshi linakaa kimya mpaka nchi inamega rasilimali zetu,
 
we unajulikana, kwanza huna akili, pili hao waliomwua mwanajeshi walitii sheria ipi. Kumwua mwanajeshi ni sawa na uhaini, hapo ni kawe? Na bado vijana wana mapumbu na wanadindisha kabisa? Hapo kazi haijafanyika. Nyie wajeda toa mapumbu vijana wote wa eneo hilo vinginevyo watawadharau sana.
huna akili.
 
Back
Top Bottom