Rais Samia Wachukulie hatua wanajeshi wanaofanyafanya vurugu mitaani-Hii ni aibu isiyokubalika hata kidogo!

Soma taratibu kilichoandikwa, acha kuleta mihemuko.
huwezi kutetea kibaka/vibaka nikakuelewa, huyo boda/bajaji ni kibaka kama kibaka mwingine yoyote, alifaa kuvisha tairi na kupigwa kiberit hapo hapo.
 
huwezi kutetea kibaka/vibaka nikakuelewa, huyo boda/bajaji ni kibaka kama kibaka mwingine yoyote, alifaa kuvisha tairi na kupigwa kiberit hapo hapo.
Mimi sijatetea kibaka, napingana na wanajeshi kupiga raia bila sababu za msingi.
 
Mimi sijatetea kibaka, napingana na wanajeshi kupiga raia bila sababu za msingi.
mkuu kuna utetezi ulifanya, ulifika mpaka kusema kuwa huyo kibaka alitakiwa amwamrishe mjeshi kutoa gari na si kumuomba, na ukasema wanaishi kwa kodi zetu, hata watumishi wengine wa umma wanaishi kwa kodi zetu pia, ila nao wanalipa kodi hvo wana haki ya kutumia miundo mbinu kama raia mwingine yoyote, hao watu kupigwa ni haki yao kabisa, hao watu wazima waliopigwa lazima walikuwa wanawatetea hao vibaka boda/bajaji, nimeshuhudia magari mawili yanachomwa moto mwanza na hao boda kisa mwenzao kagongwa tena kwa uzembe wake,(kona ya bwiru na nyegezi) hao bado walishamuua ndugu mmoja wa arusha maeneo ya tegeta kisa jamaa alimgonga boda mwenzao, ningekuwa rais ningeamuru adhabu ya viboko 20 hadharani kwa boda wanaofanya makosa barabarani uone kama hawajakoma, hakuna watu wanapewa elimu ya barabarani kama boda/bajaji ila hawasikii, suluhisho kwa hao vibaka ni fimbo tu,
 
Ni typing error
hakuna cha typing error hapo, hujui tofauti ya sharia na sheria, hata hayo maneno typing error hujui maana yake pia, huwezi kuandika neno lenye maana sahihi ukasema ni typing error mkuu, shida yako we ni zao la shule za kata, hapo ndo penye shida kubwa.
 
Umeandika vyema.

Binafsi hii tabia ya wanajeshi, askari, police officer kupiga/kupigana na mtu ni udhaifu mkubwa, ni ukosefu wa akili na kutokujua majukumu yake/vizuri.

Inawezekana Je mtu aliyefundishwa na ambaye kazi yake ni kusimamia kufuatwa kwa sheria yeye tena anakuwa anavunja sheria? Hii ni aibu kwetu wote tunaopenda kuona Tanzania ikifanya vizuri kwenye kila nyanja.

Nilishuhudia pia askari akiwa kwenye gari la serikali na kavaa uniform akimpiga kijana anayeendesha bajaji kwa kosa la kugonga gari lake ubavuni. Huyo askari alishuka kwenye gari na kuanza kumpiga dereva wa bajaji. Hata gari lake alikuwa hajaangalia kagongwa au la? Gari halikuguswa hata kidogo.

Tabia ya askari kujichukulia sheria mkononi ni yakukemewa.
 
Kumbe mnaonea raia kwa
Mwanajeshi huwezi kumfanya lolote, watu wakichoka ndio watajibu mapigo ya jeshi, wewe utakuwa unaota.

Sio watanzania hawa tunaowajua labda.
Kumbe mnaonea raia kwa upole wao.
What is important mnapaswa kujua hakuna aliye juu ya Sheria.
Pia jeshi liache kuajiri watu wajinga wasiojua hata utawala wa sheria ni kitu gani.
 
Kumbe mnaonea raia kwa
Kumbe mnaonea raia kwa upole wao.
What is important mnapaswa kujua hakuna aliye juu ya Sheria.
Pia jeshi liache kuajiri watu wajinga wasiojua hata utawala wa sheria ni kitu gani.
Kumchoma mtu bisibisi halafu ukachezea kichapo na kuja kulialia humu JF ni kupoteza muda tu. Nchi hii uhuru umekua mwingi mno kila mtu akishakuwa na simu ya mkononi ya kisasa kisha akajua kuitumia anajiona keshafika mawinguni.

Heshimu kila mtu huko njiani, sio kila mmoja unaweza kutunishiana nae msuli.
 
209% correct
 
unawaita wanajeshi wanaokulinda usiku na mchana panya road? Naona wanajeshi wamekuwa wamekuwa wapole sana. Ngedere unayejjambia usiku hujui lolote kuhusu nchi hii unawaita wanajeshi panya road? Subiri utafikiwa we mbwa.
Unajua kitu kinaitwa Force Routine Order?
Unajua kitu kinaitwa Defenses Code of Service Discipline, ?
 
Hii sikuwahi kuisikia ndio nasikia leo
 
Military Code of Service Discipline, inakuruhusu kufanya hivi?
FRO Inakuruhusu kufanya hivi?
 
Police wameonyesha weledi kama wamegoma kumkabidhi huyo mtuhumiwa,
Kama vipi nendeni mkawapige police muone mtakavyofukuzwa Kazi
polis ni vibaka waliovaa uniform au hujui hilo? walifanya hvo kumlinda kibaka mwenzao, tulishawai wachakaza polis arusha mpaka wakachakaa, wakaenda kulia kwa rais ndo rais akatuomba tusiwe tunawachakaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…