Rais Samia: Waliosema nimeuza Bandari na Bahari faida yake ndio hii

Rais Samia: Waliosema nimeuza Bandari na Bahari faida yake ndio hii

Uliza importers acha maneno mengi

..serikali ndio inayotakiwa kututaarifu wananchi, na sio wananchi kuulizana wenyewe kwa wenyewe.

..hili jambo kinapaswa kuwekwa kwa uwazi zaidi. Watanzania wajulishwe kwa kina kwasababu bandari ni Mali yao.

..Kuna mambo mawili. Dp world inaweza kuwa ni muarubaini wa matatizo ya bandari ya Dsm. Pia inaweza isiwe muarubaini.

..Tukiwa wazazi, tukapeana taarifa sahihi, tutaweza kufanya maamuzi yenye tija kwa bandari yetu.
 
..serikali ndio inayotakiwa kututaarifu wananchi, na sio wananchi kuulizana wenyewe kwa wenyewe.

..hili jambo kinapaswa kuwekwa kwa uwazi zaidi. Watanzania wajulishwe kwa kina kwasababu bandari ni Mali yao.

..Kuna mambo mawili. Dp world inaweza kuwa ni muarubaini wa matatizo ya bandari ya Dsm. Pia inaweza isiwe muarubaini.

..Tukiwa wazazi, tukapeana taarifa sahihi, tutaweza kufanya maamuzi yenye tija kwa bandari yetu.
Utachelewa sana Kila kitu kusubiria taarifa rasmi,baada Kusini mkataba kifuatacho ni kazi.

Handover ndio ilifanyika majizi ila.kazi iloanza Toka mwaka Jana
 
My Take
Mlisema Samia ameuza Bandari Kuna bango lenu hili hapa, ni spana tuu Kwa kwenda mbele.

Tafuteni hoja nyingine 👇👇


======


“TPA (Mamlaka ya Bandari Tanzania) mwaka jana (2023) nina hakika kiwango chenu hakikuwa hiki, lakini kwa mageuzi yaliyotokea bandarini mmeweza kufikia kiwango hiki na mwakani tunatarajia kiwango kikubwa zaidi pengine mara mbili yake ya hiki mlicholeta leo, hakuna sababu kama mtaendesha bandari na sekta iliyopo pale na pale kuna watu wawili ambao tumeshawaruhusu.

Mmeomba maombi zaidi lakini hata wale wawili mwakani mnaweza kuleta mara mbili ya hiki kiwango na huko ndiko tulikuwa tunaelekea ndugu zangu . Wale waliopiga kelele mama kauza bahari sijui mama kauza bandari mama kauza nini mama kauza..mauzo yale faida yake ni hii hapa leo, na huu ni mwanzo tutatarajia kutapata faida kubwa zaidi kwa bandari zetu zote kubwa ambazo zipo ndani ya nchi”- Dkt. Samia.
Njia ya mwongo ni fupi. Magufuli naye alikuwa anatudanganya mengi. Alipotoka, ukweli ukajulikana. Huyu naye siku akitoka ndiyo utajua nchi imeliwa na mengi anayojisifu nayo ni uongo!
 
Njia ya mwongo ni fupi. Magufuli naye alikuwa anatudanganya mengi. Alipotoka, ukweli ukajulikana. Huyu naye siku akitoka ndiyo utajua nchi imeliwa na mengi anayojisifu nayo ni uongo!
Uongo gani tofauti na mnayoongea?

Anajisifia uongo upi? Huoni matokeo ya kazi zake au una shida zingine?
 
153 bilioni kwa mwaka haiwezi kujustify walichofanya, kama tuna uwezo wa kukusanya 2000 billion kwa mwezi mapato ya ndani
Kama tutaweza kuona huko nyuma ilikuwaje ( mapato) tutaweza kufanya ulinganifu vizuri na matarajio.
 
My Take
Mlisema Samia ameuza Bandari Kuna bango lenu hili hapa, ni spana tuu Kwa kwenda mbele.

Tafuteni hoja nyingine 👇👇


======


“TPA (Mamlaka ya Bandari Tanzania) mwaka jana (2023) nina hakika kiwango chenu hakikuwa hiki, lakini kwa mageuzi yaliyotokea bandarini mmeweza kufikia kiwango hiki na mwakani tunatarajia kiwango kikubwa zaidi pengine mara mbili yake ya hiki mlicholeta leo, hakuna sababu kama mtaendesha bandari na sekta iliyopo pale na pale kuna watu wawili ambao tumeshawaruhusu.

Mmeomba maombi zaidi lakini hata wale wawili mwakani mnaweza kuleta mara mbili ya hiki kiwango na huko ndiko tulikuwa tunaelekea ndugu zangu . Wale waliopiga kelele mama kauza bahari sijui mama kauza bandari mama kauza nini mama kauza..mauzo yale faida yake ni hii hapa leo, na huu ni mwanzo tutatarajia kutapata faida kubwa zaidi kwa bandari zetu zote kubwa ambazo zipo ndani ya nchi”- Dkt. Samia.
Kwahiyo kauza kweli!
 
Huko bandari wako wafuatao.

1. Bandari wenyewe [ watanzania]

2. DP world [ waarabu ]

3. Adani [ wahindi ]

Sasa tuelezwe kila mmoja alipangiwa lengo gani, na amezalisha kiasi gani.
Tafuta takwimu ujiemishe siyo uwe kama akina mdude wanaosoma vichwa vya habaru na kufoka au kusubilia tundu lisu amesemaje leo. Nenda pale NBS (national bureu of statistics) au google au fuatilia makala za wasome hasa engineers wa bandari au google financial statements za bandari utapata maarifa
 
Tafuta takwimu ujiemishe siyo uwe kama akina mdude wanaosoma vichwa vya habaru na kufoka au kusubilia tundu lisu amesemaje leo. Nenda pale NBS (national bureu of statistics) au google au fuatilia makala za wasome hasa engineers wa bandari au google financial statements za bandari utapata maarifa

..hili gawio ni la nani kati ya hawa.

1. Bandari [ watanzania]

2. Dp world [ waarabu ]

3. Adani [ wahindi ]

Nguruvi3
 
Back
Top Bottom