The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
- Thread starter
- #41
Ndio ,amekwambia bei ya kuuza? Ukiuza unapewa tena Gawio? 😁😁Kea hiyo a me kiri kwamba Bandar I kauza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ,amekwambia bei ya kuuza? Ukiuza unapewa tena Gawio? 😁😁Kea hiyo a me kiri kwamba Bandar I kauza.
Uliza importers acha maneno mengi
Ndiolyo..kwa hiyo hilo gawio tumepewa na Dp world?
..bila Dp world tulikuwa hatuna uwezo wa kupata gawio hilo?
Utachelewa sana Kila kitu kusubiria taarifa rasmi,baada Kusini mkataba kifuatacho ni kazi...serikali ndio inayotakiwa kututaarifu wananchi, na sio wananchi kuulizana wenyewe kwa wenyewe.
..hili jambo kinapaswa kuwekwa kwa uwazi zaidi. Watanzania wajulishwe kwa kina kwasababu bandari ni Mali yao.
..Kuna mambo mawili. Dp world inaweza kuwa ni muarubaini wa matatizo ya bandari ya Dsm. Pia inaweza isiwe muarubaini.
..Tukiwa wazazi, tukapeana taarifa sahihi, tutaweza kufanya maamuzi yenye tija kwa bandari yetu.
Njia ya mwongo ni fupi. Magufuli naye alikuwa anatudanganya mengi. Alipotoka, ukweli ukajulikana. Huyu naye siku akitoka ndiyo utajua nchi imeliwa na mengi anayojisifu nayo ni uongo!My Take
Mlisema Samia ameuza Bandari Kuna bango lenu hili hapa, ni spana tuu Kwa kwenda mbele.
Tafuteni hoja nyingine 👇👇
======
“TPA (Mamlaka ya Bandari Tanzania) mwaka jana (2023) nina hakika kiwango chenu hakikuwa hiki, lakini kwa mageuzi yaliyotokea bandarini mmeweza kufikia kiwango hiki na mwakani tunatarajia kiwango kikubwa zaidi pengine mara mbili yake ya hiki mlicholeta leo, hakuna sababu kama mtaendesha bandari na sekta iliyopo pale na pale kuna watu wawili ambao tumeshawaruhusu.
Mmeomba maombi zaidi lakini hata wale wawili mwakani mnaweza kuleta mara mbili ya hiki kiwango na huko ndiko tulikuwa tunaelekea ndugu zangu . Wale waliopiga kelele mama kauza bahari sijui mama kauza bandari mama kauza nini mama kauza..mauzo yale faida yake ni hii hapa leo, na huu ni mwanzo tutatarajia kutapata faida kubwa zaidi kwa bandari zetu zote kubwa ambazo zipo ndani ya nchi”- Dkt. Samia.
Mkuu hizi ni fix za wana CCM. Unakumbuka zile enzi za ''tunajenga miradi kwa fedha zetu za ndani''?..kwa hiyo hilo gawio tumepewa na Dp world?
..bila Dp world tulikuwa hatuna uwezo wa kupata gawio hilo?
Uongo gani tofauti na mnayoongea?Njia ya mwongo ni fupi. Magufuli naye alikuwa anatudanganya mengi. Alipotoka, ukweli ukajulikana. Huyu naye siku akitoka ndiyo utajua nchi imeliwa na mengi anayojisifu nayo ni uongo!
Ndiolyo
Hakuna matokeo yoyote. Tanzania ni ile ile sana sana vipande vya nchi vinazidi kuuzwa.Uongo gani tofauti na mnayoongea?
Anajisifia uongo upi? Huoni matokeo ya kazi zake au una shida zingine?
Kama tutaweza kuona huko nyuma ilikuwaje ( mapato) tutaweza kufanya ulinganifu vizuri na matarajio.153 bilioni kwa mwaka haiwezi kujustify walichofanya, kama tuna uwezo wa kukusanya 2000 billion kwa mwezi mapato ya ndani
Kwahiyo kauza kweli!My Take
Mlisema Samia ameuza Bandari Kuna bango lenu hili hapa, ni spana tuu Kwa kwenda mbele.
Tafuteni hoja nyingine 👇👇
======
“TPA (Mamlaka ya Bandari Tanzania) mwaka jana (2023) nina hakika kiwango chenu hakikuwa hiki, lakini kwa mageuzi yaliyotokea bandarini mmeweza kufikia kiwango hiki na mwakani tunatarajia kiwango kikubwa zaidi pengine mara mbili yake ya hiki mlicholeta leo, hakuna sababu kama mtaendesha bandari na sekta iliyopo pale na pale kuna watu wawili ambao tumeshawaruhusu.
Mmeomba maombi zaidi lakini hata wale wawili mwakani mnaweza kuleta mara mbili ya hiki kiwango na huko ndiko tulikuwa tunaelekea ndugu zangu . Wale waliopiga kelele mama kauza bahari sijui mama kauza bandari mama kauza nini mama kauza..mauzo yale faida yake ni hii hapa leo, na huu ni mwanzo tutatarajia kutapata faida kubwa zaidi kwa bandari zetu zote kubwa ambazo zipo ndani ya nchi”- Dkt. Samia.
Tafuta takwimu ujiemishe siyo uwe kama akina mdude wanaosoma vichwa vya habaru na kufoka au kusubilia tundu lisu amesemaje leo. Nenda pale NBS (national bureu of statistics) au google au fuatilia makala za wasome hasa engineers wa bandari au google financial statements za bandari utapata maarifaHuko bandari wako wafuatao.
1. Bandari wenyewe [ watanzania]
2. DP world [ waarabu ]
3. Adani [ wahindi ]
Sasa tuelezwe kila mmoja alipangiwa lengo gani, na amezalisha kiasi gani.
Sasa kwani maendeleo yanafanya Tanzania iwe Msumbiji? Au una maanisha nini?Hakuna matokeo yoyote. Tanzania ni ile ile sana sana vipande vya nchi vinazidi kuuzwa.
Kwani nyie wakati mnapayuka hamkuwa na uhakika?Kwahiyo kauza kweli!
KweliKumbe bandari imeuzwa kweli?
Tulisubiri uthibitishoKwani nyie wakati mnapayuka hamkuwa na uhakika?
Tafuta takwimu ujiemishe siyo uwe kama akina mdude wanaosoma vichwa vya habaru na kufoka au kusubilia tundu lisu amesemaje leo. Nenda pale NBS (national bureu of statistics) au google au fuatilia makala za wasome hasa engineers wa bandari au google financial statements za bandari utapata maarifa
Angalia sms hapo juu usitake kutafuniwa kila kitu..hili gawio ni la nani kati ya hawa.
1. Bandari [ watanzania]
2. Dp world [ waarabu ]
3. Adani [ wahindi ]
Nguruvi3
Hatimae amekubali alafu anajisifia kwa kupata vibilioni 153.Kumbe bandari imeuzwa kweli?