Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa acha Jazba, ni hivi, hizo ni data za kupika fullstop.Nyumbu kama huna takwimu pita huko Kwa vyura wenzako
Bandari tangu 2000 nije mjini nasikia inapigiwa kelele,kuanzia wizi wa mizigo ya watu mpaka uzembe kiutendaji,Kuna mkongo kontena la tv akakuta maboksi na nylons,siku zote hizo tija imekosekana,unakuja kuuliza Leo Hilo swali!!?..kwa hiyo hilo gawio tumepewa na DP world?
..bila DP world tulikuwa hatuna uwezo wa kupata gawio hilo?
Narudia kukwambia nyumbu kama huna takwimu nenda kajadili ujinga na nyura wenzakoChawa acha Jazba, ni hivi, hizo ni data za kupika fullstop.
Inashangaza sana ... Ila ccm inatakiwa isome alama za nyakati. Hizi sio enzi za propaganda na uwongo . Na kama ccm bado inajiamini kwamba wataendelea na mazoea yao ya kuiba kura , 2025 watajua hawajui .DP World wameanza kazi mwezi April! Sina hakika kama wamezalisha kiwango hicho.
Mpaka leo Wastaafu wa TPA hawajapewa mafao yao! Gawio linarudishwaje?
My Take
Mlisema Samia ameuza Bandari Kuna bango lenu hili hapa, ni spana tuu Kwa kwenda mbele.
Tafuteni hoja nyingine 👇👇
======
“TPA (Mamlaka ya Bandari Tanzania) mwaka jana (2023) nina hakika kiwango chenu hakikuwa hiki, lakini kwa mageuzi yaliyotokea bandarini mmeweza kufikia kiwango hiki na mwakani tunatarajia kiwango kikubwa zaidi pengine mara mbili yake ya hiki mlicholeta leo, hakuna sababu kama mtaendesha bandari na sekta iliyopo pale na pale kuna watu wawili ambao tumeshawaruhusu.
Mmeomba maombi zaidi lakini hata wale wawili mwakani mnaweza kuleta mara mbili ya hiki kiwango na huko ndiko tulikuwa tunaelekea ndugu zangu . Wale waliopiga kelele mama kauza bahari sijui mama kauza bandari mama kauza nini mama kauza..mauzo yale faida yake ni hii hapa leo, na huu ni mwanzo tutatarajia kutapata faida kubwa zaidi kwa bandari zetu zote kubwa ambazo zipo ndani ya nchi”- Dkt. Samia.
View: https://www.instagram.com/reel/C8E2TrhNxHA/?igsh=MWNhMXI1cWM2dGVvMQ==
Chawa mbona utatulia tu, mazombie ndio mkawape hizo data za kupika. Hutaki jinyonge.Narudia kukwambia nyumbu kama huna takwimu nenda kajadili ujinga na nyura wenzako
Mbona wewe nyumbu hujawapa data za kuchemsha ila unatapatapaChawa mbona utatulia tu, mazombie ndio mkawape hizo data za kupika. Hutaki jinyonge.
Ndio maana unaona pesa zinamiminika ndio tafsiri ya ufanisi wa mashirika,huko mlikotoka hakuna kitu mlikuwa mnafanyaAsijifanye hatuelewi tunaosema ameuza. Sisi tunataka usimamizi mzuri wa serikali wa mashirika na taasisi zake kwa tija bila kuwepo ufisadi. Hatuwezi kugawa kila kitu eti kupata hela nyingi wakati tunajua vigogo sasa wanakula na wawekezaji badala ya kula moja kwa moja. Lazima wananchi tuendeshe nchi yetu wenyewe kwa uadilifu. Tufaidi kwa wananchi kupata kazi na nchi kupata yenyewe faida.
Bandari tangu 2000 nije mjini nasikia inapigiwa kelele,kuanzia wizi wa mizigo ya watu mpaka uzembe kiutendaji,Kuna mkongo kontena la tv akakuta maboksi na nylons,siku zote hizo tija imekosekana,unakuja kuuliza Leo Hilo swali!!?
Umeambiwa hawatoripoti?Suala hili liwekwe kwa uwazi zaidi.
TPA waripoti mapato yao.
DP world waripoti wanachotupatia.
Adani waripoti wanachotupatia.
Tukiwa na taarifa sahihi za hao watatu tutajua namna bora ya kuendesha bandari zetu.
Umeambiwa hawatoripoti?
Mbona sijawahi kuona mabadiriko yoyote kuhusu kuwahi kutoka mizigo bandarini, nina zaidi ya miaka 3 napitisha mizigo yangu paleDP World walianza kitambo, makabidhiano rasmi ndio yamefanyika mwezi Jana ila toka mwaka Jana DP World wapo kazini, waulize importers.
Kwani Kenya hawajaingia kwenye mkataba nao?..mbona bandari ya Mombasa wamekuwa wakifanya vizuri kutuzidi bila kujiuza kwa Dp World?
..kuna uwekezaji mkubwa ulifanyika wakati wa Jpm kwa kutumia mkopo wa World Bank je uwekezaji huo amechangia kiasi gani?
..uwekezaji ambao tuliambiwa Dp world atafanya haukuwa mkubwa kusema Tanzania haiwezi kukusanya nguvu yenyewe.
..maamuzi yameshafanyika kwa hiyo hakuna namna tena. Tuombe tu mambo yasije kuharibika mbele ya safari.