Rais Samia: Waliosema nimeuza Bandari na Bahari faida yake ndio hii

Rais Samia: Waliosema nimeuza Bandari na Bahari faida yake ndio hii

My Take
Mlisema Samia ameuza Bandari Kuna bango lenu hili hapa, ni spana tuu Kwa kwenda mbele.

Tafuteni hoja nyingine 👇👇


======


“TPA (Mamlaka ya Bandari Tanzania) mwaka jana (2023) nina hakika kiwango chenu hakikuwa hiki, lakini kwa mageuzi yaliyotokea bandarini mmeweza kufikia kiwango hiki na mwakani tunatarajia kiwango kikubwa zaidi pengine mara mbili yake ya hiki mlicholeta leo, hakuna sababu kama mtaendesha bandari na sekta iliyopo pale na pale kuna watu wawili ambao tumeshawaruhusu.

Mmeomba maombi zaidi lakini hata wale wawili mwakani mnaweza kuleta mara mbili ya hiki kiwango na huko ndiko tulikuwa tunaelekea ndugu zangu . Wale waliopiga kelele mama kauza bahari sijui mama kauza bandari mama kauza nini mama kauza..mauzo yale faida yake ni hii hapa leo, na huu ni mwanzo tutatarajia kutapata faida kubwa zaidi kwa bandari zetu zote kubwa ambazo zipo ndani ya nchi”- Dkt. Samia.

View: https://www.instagram.com/reel/C8E2TrhNxHA/?igsh=MWNhMXI1cWM2dGVvMQ==

Kitu kimeuzwa mlitaka kisipakwe mafuta??

Kwanini mnatutukana Watanganyika!?
 
Samia hafanyi maigizo,ambao hawapati faida Gawio la nini? Wanatoa wapi?

Na mama ndio alitumegea Siri kwamba hataki ule ujinga wa kampuni kukopa Benki na kutoa Gawio kama ilivyokuwa awamu ya 5.

Kwa kasi hii kumbe DPW watatufaa sana.Kama wamekabidhiwa rasmi bandari hata mwezi mmoja haujaisha wametoa gawio hilo,je baada ya mwaka mmoja itakuwaje.
 
kwani taarifa ya namna haiwezi kuwa "imepikwa?" kwa malengo yaleyale ya kui justify dpw
 
Hivi hizi Sarakasi si kuna kipindi walitwambia mpaka Fire walikuwa wanatoa Gawio ? Anyway tuache hayo...., Sasa kama Gawio limeongezeka, Watalii lukuki baada ya Royal Tour iweje Tozo hazipungui na kitaa maisha yanaendelea kuwa magumu kwa wabangaizaji ?
 
My Take
Mlisema Samia ameuza Bandari Kuna bango lenu hili hapa, ni spana tuu Kwa kwenda mbele.

View: https://www.instagram.com/reel/C8Gytt4tTbd/?igsh=MTVuanU0MDdoNTJiYw==

Tafuteni hoja nyingine 👇👇


======


“TPA (Mamlaka ya Bandari Tanzania) mwaka jana (2023) nina hakika kiwango chenu hakikuwa hiki, lakini kwa mageuzi yaliyotokea bandarini mmeweza kufikia kiwango hiki na mwakani tunatarajia kiwango kikubwa zaidi pengine mara mbili yake ya hiki mlicholeta leo, hakuna sababu kama mtaendesha bandari na sekta iliyopo pale na pale kuna watu wawili ambao tumeshawaruhusu.

Mmeomba maombi zaidi lakini hata wale wawili mwakani mnaweza kuleta mara mbili ya hiki kiwango na huko ndiko tulikuwa tunaelekea ndugu zangu . Wale waliopiga kelele mama kauza bahari sijui mama kauza bandari mama kauza nini mama kauza..mauzo yale faida yake ni hii hapa leo, na huu ni mwanzo tutatarajia kutapata faida kubwa zaidi kwa bandari zetu zote kubwa ambazo zipo ndani ya nchi”- Dkt. Samia.

View: https://www.instagram.com/reel/C8E2TrhNxHA/?igsh=MWNhMXI1cWM2dGVvMQ==

Aache uongo na usanii. Tunaofuatilia tunajua hao DP wanaopigiwa chapuo wala hawajaanza au ndiokwanza wanakabidhiwa shughuli. Kama kuna ongezeko la mapato ni zao la TPA inayoendeshwa bado na wazalendo. Hii pia inaonyesha kukiwa na usimamizi madhubuti wa serikali kwa bandari inawezekana kuwepo ufanisi bila kukabidhi bandari yetu kwa mwekezaji kama DP. Huyu ni mwekezaji nchi nyingi ameingia mikataba ya kilaghai kujidai anawekeza huku nchi husika imeshawekeza hela zake kibao kisha wao kutaka kumiliki kama bandari ni mali yao. Licha ya mifano mingi kama ule wa Djibuti sisi tumejiingiza kichwakichwa.
 
Kwa hiyo kakubali kweli aliuza, na nimesikia kasrma huu ni mwanzo tu.....😢
 
Aache uongo na usanii. Tunaofuatilia tunajua hao DP wanaopigiwa chapuo wala hawajaanza au ndiokwanza wanakabidhiwa shughuli. Kama kuna ongezeko la mapato ni zao la TPA inayoendeshwa bado na wazalendo. Hii pia inaonyesha kukiwa na usimamizi madhubuti wa serikali kwa bandari inawezekana kuwepo ufanisi bila kukabidhi bandari yetu kwa mwekezaji kama DP. Huyu ni mwekezaji nchi nyingi ameingia mikataba ya kilaghai kujidai anawekeza huku nchi husika imeshawekeza hela zake kibao kisha wao kutaka kumiliki kama bandari ni mali yao. Licha ya mifano mingi kama ule wa Djibuti sisi tumejiingiza kichwakichwa.
Soma maelezo ya Mbossso acha kuongea ujinga mnalishana na Nyumbu wenzio huko ufipa 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C8Ht26kMeDf/?igsh=eWlxY2ljY3I3YnZ6
 
Wala huelewi kama gawio linatoka kwa kipindi fulani cha utendaji kwa mfano mwaka. Sasa uwekezaji gani miezi miwili mitatu kuwepo gawio. Usanii mtupu. Wewe ndio chawa wala hujui.
Soma maelezo ya Mbossso,usiniulize maswali ya kijinga au hujaelewa nini hapo?

Ushaambiwa DP World ameshawekeza hapo Toka walivyosainiana mkataba mwaka Jana unaleta stori za kipuuzi za huko ufipa.
 
Back
Top Bottom