Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
πππWewe fala ,jibu hoja
Umeishiwa.Ni kawaida Kwa nyumbu wa chadomo wakibanwa hukombilia kujifariji Kwa matusi ndio maana Rais anawapuuza na Wananchi wanawapuuzaπππ
Watanganyika ndio wenye kelele, huwezi sikia upande wa pili wakilalamika, Fedha zimekuja na maendeleo tunayaona kama matund aya uuzwaji.My Take
Mlisema Samia ameuza Bandari Kuna bango lenu hili hapa, ni spana tuu Kwa kwenda mbele.
View: https://www.instagram.com/p/C8Ht26kMeDf/?igsh=eWlxY2ljY3I3YnZ6
Tafuteni hoja nyingine ππ
βTPA (Mamlaka ya Bandari Tanzania) mwaka jana (2023) nina hakika kiwango chenu hakikuwa hiki, lakini kwa mageuzi yaliyotokea bandarini mmeweza kufikia kiwango hiki na mwakani tunatarajia kiwango kikubwa zaidi pengine mara mbili yake ya hiki mlicholeta leo, hakuna sababu kama mtaendesha bandari na sekta iliyopo pale na pale kuna watu wawili ambao tumeshawaruhusu.
Mmeomba maombi zaidi lakini hata wale wawili mwakani mnaweza kuleta mara mbili ya hiki kiwango na huko ndiko tulikuwa tunaelekea ndugu zangu . Wale waliopiga kelele mama kauza bahari sijui mama kauza bandari mama kauza nini mama kauza..mauzo yale faida yake ni hii hapa leo, na huu ni mwanzo tutatarajia kutapata faida kubwa zaidi kwa bandari zetu zote kubwa ambazo zipo ndani ya nchiβ- Dkt. Samia.
View: https://www.instagram.com/reel/C8E2TrhNxHA/?igsh=MWNhMXI1cWM2dGVvMQ==
Wajamaa akili zao ni kama za kuku ππWatanganyika ndio wenye kelele, huwezi sikia upande wa pili wakilalamika, Fedha zimekuja na maendeleo tunayaona kama matund aya uuzwaji.
π¨π¨π¨Propaganda tu,DP world wameanza kazi mwezi 2 hayo mapato ni kuanzia Julai,2023-May,2024.
Wastani wa mapato ya Bandari kwa mwaka hata kabla ya DP world ni 1 trillion,na miaka yote wamekuwa wakipeleka gawio la wastani wa 150 billion.
Naona amekubari kiainaKwa hiyo ni kweli iliuzwa? Na je DP WORLD Wameaanza lini kazi na je ni kweli wao wamechangia kwenye hilo gawio?
Gawio la FY ipi?Mlisema Samia ameuza Bandari Kuna bango lenu hili hapa, ni spana tuu Kwa kwenda mbele.