Rais Samia: Wameanza kuandika kwenye vigazeti kwamba sitasimama 2025, nani kawaambia?

Aijue Tanzania vizuri,leo hii anataka kurudishia halmashauri suala la ajira za walimu,utadhani hajui kua wakurugenzi na maafisa mbalimbali wataomba rushwa mbalimbali kirahisi.
 
Acha hii usije mharibia na uwaziri wenyewe aukose. Siasa za nchi hii zina wenyewe.
 
Lakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
Katiba yako wewe labda ni ya toka enzi za kinjeketile lakini kama ni hii ya wasakatonge anaweza kula mzigo kilaini
 
Chief Hangaya anawapa matumbo joto tu wapinzani wake, kwa hii miezi mingapi tu unamuona kabisa hadi nuru yake aliyokuwa nayo awali ishaanza kupotea.

Pole kwa kazi MAMA. [emoji484]
Mitano tena.
 
Safi sana mama kuwakata maini wapinzani wako ndani ya ccm!! Nia hiyooo hadharani mwenye kujinyonga mbona kamba zipo!!!! Tuambizane ukweli, ni nani Tanzania hii angepata fursa halafu akaiachia?? Amwachie nani kwa mfano?
 
Nchi hii hakuna mwanamke yeyote kutoka bara ambaye atakuja kupata nafasi ya urais hata awe jembe kiasi gani.

Kuzaliwa zanzibar ndio cv kali ya mwanamke yeyote.

Na hata kwa mwanaume pia ukizaliwa zanzibar una nafasi kubwa zaidi kuliko ukizaliwa tz bara
 
Yeye mwenyewe alikaa miaka 23.Msidanganyike Ikulu ni Paradiso ya duniani. Imagine kuwa number moja wa nchi.
Ni kweli ni paradiso ya duniani lakin yote ni ubatili tu hasa kama hukuipata kwa mapenzi, kwa haki ya KiMungu na kwa ukhalali wa kidunia. Unaweza ukawa namba moja nchini lakin ukawa unaishi kwa mateso, magonjwa na misongo ya mawazo kipindi chako chote. Hata utajiri kuna watu wanapata utajiri batili, mtaani tunaita pesa za mapaka...wanakuwa nazo lakini zinawatesa..
Lakini yote katika yote, vyote tulivyonavyo hapa duniani, hatuondoki na chochote; unatesa wenzako ili wewe uwe namba moja, unabambikia wenzako kesi za uongo ili wewe ukose upinzani, uipate paradiso ya dunia kiulaini kinyume na mapenzi ya Mungu, haki ya KiMungu na kinyume na taratibu za kisheria za nchi..ni laana tu unajitafutia sababu hakuna dhambi isiyolipwa duniani...HAKUNA
Ukipatacho kwa haki, hata kama kidogo, ndicho chenye neema na maana hapa duniani; batili, hata kama kwa wingi, ni laana kwako na kwamba batili huwa na malipizi yake, kama si leo dunian kesho akhera na kama si wewe utakayelipia kitalipia kizazi chako hadi cha nne.
 
Hawa watu ndio maana wanakufaga kibudu. Unahudhuria maadhimisho ya demokrasia gani unayo practice kama sio unafki mkubwa!

Huyo hata ma ccm wenzake wahawezi kukubali arudi madarakani.
CCM wanakuchukia ukiwa umeziba mianya yao ya upigaji lakini kama unakula nao wala hawana shida na wewe,wanakupitisha kwa kula zote za ndiyo nakwa kishindo
 
Hivi gazeti la Uhuru walitoa wapi zile NONDO kuwa kasema hana mpango wa kuwania urais 2025?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]
Walitumia akili kubwa ili kupata jibu lenye uhakika kutoka kwa mhusika badala ya kuishi kwa mino g'ono tu.
 
Mmeshaanza ujinga..
 
Huyo Ummy umempendea nini ..... kuchekacheka amma!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…