Rais Samia: Wameanza kuandika kwenye vigazeti kwamba sitasimama 2025, nani kawaambia?

Rais Samia: Wameanza kuandika kwenye vigazeti kwamba sitasimama 2025, nani kawaambia?

Walitumia akili kubwa ili kupata jibu lenye uhakika kutoka kwa mhusika badala ya kuishi kwa mino g'ono tu.
Na kaingia mzima mzima kweli yan, wenzake wajanja huwa hawatamkitamki hadharani bali wanacheza futiboli nje ya uwanja kwanza...wakijaingia uwanjani gemu ilishaisha hiyo
 
Huyu mama ni huu muhura tu anamalizia watu wametimiza matakwa ya kikatiba na hii ni plan ya kuonesha kwamba katiba imefuatwa ila 2025 mpaka 2030 hana chake na ndo atajua kwamba ccm huwa kuna rafu na figisu za kutosha
 
Yaani unapata bahati halafu unaiachia... hata mimi nisingeweza.
 
Na kaingia mzima mzima kweli yan, wenzake wajanja huwa hawatamkitamki hadharani bali wanacheza futiboli nje ya uwanja kwanza...wakijaingia uwanjani gemu ilishaisha hiyo
Hata ile kutangaza kulifungia gazeti lao kwa muda mfupi ule ilikuwa no sehemu ya game plan.
Nashangaa jashtuki na anaita vijigazeti wakati vimemexplore bila yeye kujua
 
Kwa nini amewapiga stop wengine kuonyesha nia wakati leo ni siku ya demokrasia? Huyu mama apewe mambo ya kuongea. Leo kwanza haikuwa siku sahihi ya mipasho. Pia asikataze wengine nao kuonyesha nia kama yake. Mwisho ni kuwa uRais haupatikani kwa vigezo vya jinsia. Yeye na candidates wengine watapimwa kwa uwezo wao na si jinsia.
 
Halafu mbona ameanza kuchachawa mapema hivi! 2025 hatufanyi makosa. Haya ya bahati mbaya yameshatufunza mengi.
 
Dada Ummy ni mmoja ya viongozi shupavu kabisa ila kwasasa nchi inamuhitaji Mama SSH, baada ya yeye atafuata Dada Ummy.

#Mama 2025
 
Huu ni uongo, kama anataka kuweka tozo sawa ilikuwaje akasaini ule muswada? Hakuusoma?
Kuhusu mafuta kupanda duniani ni uongo mwingine huo,maana unakumbuka mwezi huu walipandisha mafuta kwa kusema yamepanda huko duniani, baadae wakasema tunayashusha. Sasa wamewezaje kushusha Bei ya Mafuta ikiwa duniani yamepanda?

Tuombe yashuke mkuu. Kwakweri hali co nzuli. Huku nilipo 3 litas na point elufukumi.
 
Wananchi wanataka rais wa kupigania maslahi ya umma sio mtu anatuletea habari ya rais mwanamke. Awe mwanamke au mwanaume umma hawana haja na rais wa kutetea maslahi ya mabwanyenye. Wanataka mtu muadilifu na shupavu. Asiye muoga au kutishika. Sio mtu unagombea urais ili eti kwenda waonesha wanawake kwamba na wao wamekua rais.
Halafu anasema hawezi kufoka kwa sababu ni mwanamke, sasa kuna haja gani ya kuwakalia kiya watendaji wasiotekeleza wajibu wao?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Halafu mbona ameanza kuchachawa mapema hivi! 2025 hatufanyi makosa. Haya ya bahati mbaya yameshatufunza mengi.

Kuweni serious bac. Hajafikisha ata mwaka mumeanza kumtoa kasolo. Mama na magufuli mbingu na ardhi, mama yuko njema sana.,,, kwa huluma yake naimani atamtoa mheshimiwa mbowe.

10 tenaaaa.
 
Maza aliingia kwa mkwara mzito akawaambia tena nyie wa mifuko ya jamii ninatenga Muda wa kuwashughulikia maana huko 'kumeoza' basi wastaafu wakapata moyo.laah kumbe Hangaya na Magu Ni wale kwny mafao ya wastaafu.Tofauti mmoja Ni wa kike mwingine Ni wa kiume.Hana msaada.

Mimi bado naimani nae sana mkuu.
 
Sina hakika kama huu ulikuwa muda muafaka kwake kutangaza nia ya urais 2025 kwa sababu watanzania bado wanaomboleza. Nadhani washauri wake hapo wamempotosha, alipaswa achape kazi tu kwa sasa then two or one year before uchaguzi angekuwa na sababu (jamani naombeni mnipe lizaa nimalizie yale ambayo nimeyaanza). Ila kwa sasa inaonekana kama vile yalipangwa yaliyotokea ili yeye iwe hivyo alivyo na ni furaha kwake! Sijui ila inafikirisha sana huo uharaka.
Hivi huwa wanafuata ushauri?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom