Rais Samia: Wameanza kuandika kwenye vigazeti kwamba sitasimama 2025, nani kawaambia?

Nani kakuambia nchi hii kinachoamua nani awe rais ni sanduku la kura? Wapinzani wenyewe mara kadhaa wameshinda lakini wanapigwa pini. Uchaguzi wa kimagufuli ndio utakuwa fasheni kwa miaka kadhaa. Nani hapendi vya dezo?

,😂✍️
 
Ana uhakika gani na maisha yake?
mimi naona asipopata msaada wa haraka.
hawezi kufika 2025 huyu.

kuna hati hati nchi ikaenda kwa VP
na itakuwa ni historia ambayo taifa itaweka.

marais wawili waliopokezana kufa na makamu zao kuchukua kijiti.

hii comments itakuja kufufuliwa kabla ya 2025.
 
. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalum vya Wanawake katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 nafasi ambayo aliitumikia hadi mwaka 2015.

nakusahihisha kwamba wabunge wa viti maalumu hawachaguliwi bali wanateuliwa na NEC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…