[emoji16][emoji16] Kumbukumbu hazipotei, "mimi na magu letu moja"Hatutaki wezi wa kura wagombee urais 2025.Ni aibu kwa Taifa.
View attachment 1938764
Waturudishie Tanganyika yetu, kwani hii bara ni nchi gani?Kaongea na nani haya masuala? Kwani mzanzibari bado ataendelea kuongoza bara? Zanzibar watakubali mbara akienda kuongoza kwao?
Hapo ndipo tunatakiwa kujadili, huko kwingine tunawaachia vigazeti vyao.Lakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
hata kdg, hat tume hii wananchi tukiamua tu hatoboi sem ndio ivo tunapend kulalama hatutaki kuwajibika kam wenzetuUshindi wake unategemea uwepo wa tume ya uchaguzi ya shujaa wa afrika
Nani kakuambia nchi hii kinachoamua nani awe rais ni sanduku la kura? Wapinzani wenyewe mara kadhaa wameshinda lakini wanapigwa pini. Uchaguzi wa kimagufuli ndio utakuwa fasheni kwa miaka kadhaa. Nani hapendi vya dezo?
duh!Mgombea yeyote atakayewekwa hawezi kumshinda rais aliyeko madarakani
Kumbe wewe ni mwanamke !!!Nimeacha kabisa kukujibu chochote kumbe wewe unejiuza hapo Lumumba!!Malaya wa kisiasaHilo lipowazi ila apige kazi sio majungu .nampenda Samia hadi naumwa
USSR
si kweliCCM hata waweke tofali, bado tofali litashinda tu
Hujasikia au dharau? Ngoja nimwambie aongeze sautiKwahiyo anataka uraisi?
Ushupavu wake unapimwaje?Dada Ummy ni mmoja ya viongozi shupavu kabisa ila kwasasa nchi inamuhitaji Mama SSH, baada ya yeye atafuata Dada Ummy.
#Mama 2025
Ana uhakika gani na maisha yake?Rais Samia Suluhu Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani Mkoani Dar amesema wanawake bado hawajamuweka Rais mwanamke bali aliyekuwepo amepatikana kwa kudra ya Mungu na matakwa ya katiba. Amesema walichofanikiwa wanawake ni kusukuma mpaka kumpata makamu wa Rais mwanamke.
"Kufika hapa, kama isingekuwa kudra ya Mungu ingekuwa ngumu sana, sasa ndugu zangu Rais mwanamke tutamuweka 2025. Mwaka 2025 tukifanya vitu vyetu vizuri, tukishikamana, tukimuweka Rais wetu, tutakutana hapa kwa furaha kubwa sana
Wameanza kutuchokoza kuandika kwenye vigazeti kwamba Samia hatasimama, nani kawaambia? Wanawake oyee. Fadhila za mwenyezi Mungu zikija mikononi mwako usiziachie.
Wanawake wamefanya kazi kubwa kuleta uhuru wa nchi hii, Wanawake tumefanya kazi kubwa kujenga siasa za nchi hii, tumebeba sana wanaume katika siasa za nchi hii, leo Mungu ametupa baraka mikononi, tukiiachia Mungu atatulaani.
Alisema Rais Samia Suluhu
Mengineyo, Rais Samia amesema ataendeleza mema yote katika awamu zote na watajitahidi kuongeza mema mengine.
Kuhusu usawa wa jinsia amesema hawajafika lakini wanawake wataendelea kuongezeka kwani asipofanya yeye hakuna ambae atafanya.
Kipindi cha Shein anamaliza mda wake,timu Magufuli wengi walikuwa wanasema Mama aende kugombea Zanzibar akasema yeye ni makamu uraisi wa zanzibar ni mdogo kwake
Kwenye mizani utaamua wewe utumie ile inayotumiwa na Tanroad au dukani kwa Mangi.Ushupavu wake unapimwaje?
Wanawake wapiga kura wa nchi ganiRais Mhe. Samia suluhu Hasssan atangaza mwaka 2025 ndio wakati wa wanawake kumchagua rais Mwanamke
View attachment 1938670