Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Wote mnaotaka kuandamana hasa CHADEMA kuna ujumbe wenu hapa;
Amani na utulivu ndiyo inatufanya tucheke, tukae vizuri na tuangalie michezo, kukiharibika hayo yote hayapo. Niombe sana wale wanaokuja kuwashawishi kwa neno lolote lile kwa sababu yoyote ile kuharibu amani na utulivu wa eneo lenu msikubali nao.
Nataka kuwaambia kwamba wameishiwa, hawana pa kupenya, wameshaona mbele mambo magumu kwao, sasa la kufanya ni kuharibu amani na utulivu wan chi yetu, ili wananchi waishi kwa mashaka, muone nchi yenu siyo njema, ndio lengo lao.
Niwaombe sana msikubaliane nao, Maisha haya tunayoishi huku kwetu nataka niwaambie, Tanzania ni pepo. Pamaoja na changamoto zote tulizonazo, Tanzania tupo kwenye pepo ndugu zangu. Na ukitaka kujua kama hii ni pepo nenda kwa majirani zetu, utajua Tanzania upo peponi hapa.
Wote mnaotaka kuandamana hasa CHADEMA kuna ujumbe wenu hapa;
Amani na utulivu ndiyo inatufanya tucheke, tukae vizuri na tuangalie michezo, kukiharibika hayo yote hayapo. Niombe sana wale wanaokuja kuwashawishi kwa neno lolote lile kwa sababu yoyote ile kuharibu amani na utulivu wa eneo lenu msikubali nao.
Nataka kuwaambia kwamba wameishiwa, hawana pa kupenya, wameshaona mbele mambo magumu kwao, sasa la kufanya ni kuharibu amani na utulivu wan chi yetu, ili wananchi waishi kwa mashaka, muone nchi yenu siyo njema, ndio lengo lao.
Niwaombe sana msikubaliane nao, Maisha haya tunayoishi huku kwetu nataka niwaambie, Tanzania ni pepo. Pamaoja na changamoto zote tulizonazo, Tanzania tupo kwenye pepo ndugu zangu. Na ukitaka kujua kama hii ni pepo nenda kwa majirani zetu, utajua Tanzania upo peponi hapa.