ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #21
Aondoke kwenda wapi?Hajui cha kuongea tumuombee.aondoke salama.
Anaongea ongea tu kama kikao cha kusutaHajui cha kuongea tumuombee.aondoke salama.
Amewanyoosha ππAnaongea ongea tu kama kikao cha kusuta
For sure hawana pumzi ya kisiasa tena, hawana mipango mikakati mbadala, hawana mawazo mapya wala fikra mbadala, hawana dira wala uelekeo wa kueleweka,Ujumbe umewafikia Chadema na Mabwana zao Mabeberu.ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAVpwRiiRww/?igsh=MmRmbmpld2Y4bXFs
View: https://www.instagram.com/reel/DAVpMalondE/?igsh=MXcxdGRrcDB1cWhraQ==
My Take: Hakuna Kibaraka ataruhudiwa kuvuruga amani ya Nchi hii,wafikishieni ujumbe waliowatuma.
utoto unakutononsaP.didy anataka kujiunga CCM
Umemjibu vizuri; she is here to stay...Imethibitishwa tayari katafuteni plan B hii A imesha failAondoke kwenda wapi?
Umeishiwa ππwatu wanatekwa na kuuwawa then watu wakiuliza na kuandamana ni uvunjaji wa sheria na vurugu?only Viongozi wahalifu na machawa wasio na akili ndio wanaogopa maswali na maandamano, na haya mambo ndio source ya umaskini na maisha ya hovyo, amkeni
Anatetemeka slogan) hashtag #Samiamustgo mengine ni kutafuta huruma ya watu na kuficha uhusika wa serikali yake kwenye utekaji na mauaji ya WapinzaniUjumbe umewafikia Chadema na Mabwana zao Mabeberu.ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAVpwRiiRww/?igsh=MmRmbmpld2Y4bXFs
View: https://www.instagram.com/reel/DAVpMalondE/?igsh=MXcxdGRrcDB1cWhraQ==
My Take: Hakuna Kibaraka ataruhudiwa kuvuruga amani ya Nchi hii,wafikishieni ujumbe waliowatuma.
Ulikuwa wapi 23? π€£π€£Anatetemeka slogan) hashtag #Samiamustgo mengine ni kutafuta huruma ya watu na kuficha uhusika wa serikali yake kwenye utekaji na mauaji ya Wapinzani
Mengine ni upuuzi mtupu
NonseseUjumbe umewafikia Chadema na Mabwana zao Mabeberu.ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAVpwRiiRww/?igsh=MmRmbmpld2Y4bXFs
View: https://www.instagram.com/reel/DAVpMalondE/?igsh=MXcxdGRrcDB1cWhraQ==
My Take: Hakuna Kibaraka ataruhudiwa kuvuruga amani ya Nchi hii,wafikishieni ujumbe waliowatuma.
π¨π¨π¨π¨Nonsese
Hao Mabeberu ndiyo mnaoenda kuwapigia magoti ili tupate misaada!Mabwana wa Wapinzani ni Mabeberu
Hizo story za wale "mabeberu" Alitupigia shetani Yule wa chato, lakini, ndani ya muda mfupi tukajua tu, ni upuuzi, unswaita wazungu mabeberu wakati wanakusaidia ujilishe, wanafundisha Jeshi, polisi wako, wanakupa misaada, nk,Ujumbe umewafikia Chadema na Mabwana zao Mabeberu.ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAVpwRiiRww/?igsh=MmRmbmpld2Y4bXFs
View: https://www.instagram.com/reel/DAVpMalondE/?igsh=MXcxdGRrcDB1cWhraQ==
My Take: Hakuna Kibaraka ataruhudiwa kuvuruga amani ya Nchi hii,wafikishieni ujumbe waliowatuma.
Jalalani, refer Kabudi.Usikute hata hajui kama hilo ni takwa la katiba. CCM huwa mnaokota wapi wagombea?
Ndio nini hiki?ataruhudiwa
WANAOTEKWA na kuua watu ndo wanaotaka kuharibu amani ya nchi, CHADEMA sio vichaa, wanaguswa wana Nia ya kupaaza sauti, kukemea utekaji na uuaji ambao serikali imeshindwa kukamata, kuchunguza na kutoa majibu ya utekaji na mauaji.Ujumbe umewafikia Chadema na Mabwana zao Mabeberu.ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAVpwRiiRww/?igsh=MmRmbmpld2Y4bXFs
View: https://www.instagram.com/reel/DAVpMalondE/?igsh=MXcxdGRrcDB1cWhraQ==
My Take: Hakuna Kibaraka ataruhudiwa kuvuruga amani ya Nchi hii,wafikishieni ujumbe waliowatuma.