Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hi!
Tulipitia kipindi kigumu kiuchumi, kijamii na kisiasa kwa miaka 6 mfululizo.
Kila mmoja shahidi, vyuma vilikaza sana. Wananchi hali ngumu, watumishi taabani.
Furaha ya wananchi ilikuwa kusikia kiongozi ametumbuliwa, wananchi waliaminishwa pesa zao zilikuwa zimeibwa na viongozi mafisadi na wafanyabiashara matajiri ingawa kila walipobanwa viongozi hao na wafanyabiashara hali zao wananchi hazijawahi kuwa nzuri.
Amekuja Samia katika kipindi kigumu cha COVID-19 baadaye Ukraine War lakini anajitahidi kuwapigania wananchi.
Kafanya mambo makubwa katika kipindi kigumu lakini shukrani hapewi. Ni Rais ambaye wananchi wamempuuza licha ya utu wake.
Sasa Rais Samia wakazie hawa wananchi. Hawana kumbukumbu za mateso waliyopewa na mtangulizi wako ambayo hayakuwa na sababu.
Waminye vizuri kwenye kodi. Sheria za kodi zizingatiwe. Wafanyabiashara kama hawatoi risiti weka ndani au wapige fidia. Wananchi kama hawadai risit wafungwe.
Tulipitia kipindi kigumu kiuchumi, kijamii na kisiasa kwa miaka 6 mfululizo.
Kila mmoja shahidi, vyuma vilikaza sana. Wananchi hali ngumu, watumishi taabani.
Furaha ya wananchi ilikuwa kusikia kiongozi ametumbuliwa, wananchi waliaminishwa pesa zao zilikuwa zimeibwa na viongozi mafisadi na wafanyabiashara matajiri ingawa kila walipobanwa viongozi hao na wafanyabiashara hali zao wananchi hazijawahi kuwa nzuri.
Amekuja Samia katika kipindi kigumu cha COVID-19 baadaye Ukraine War lakini anajitahidi kuwapigania wananchi.
Kafanya mambo makubwa katika kipindi kigumu lakini shukrani hapewi. Ni Rais ambaye wananchi wamempuuza licha ya utu wake.
Sasa Rais Samia wakazie hawa wananchi. Hawana kumbukumbu za mateso waliyopewa na mtangulizi wako ambayo hayakuwa na sababu.
Waminye vizuri kwenye kodi. Sheria za kodi zizingatiwe. Wafanyabiashara kama hawatoi risiti weka ndani au wapige fidia. Wananchi kama hawadai risit wafungwe.