Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Wananchi wengi wa Tanzania tunafuatilia mienendo ya vyama vya siasa kisha tunagundua kwamba waomba maridhiano CDM, ACT, NCCR, CUF, nk, ndio waanzishaji wa vurugu.
Tundu Lissu wa CHADEMA kutukana mamlaka ya Rais huku Godbless Lema akidhihaki mamlaka ya Rais. Dkt. Slaa kutukana mamlaka ya Ikulu. Hashim Rungwe kudhihaki.
Wapo wengi kama mlivyowaona katika mikutano na mitandao ya kijamii. Sasa itoshe kwa Rais kukubali maridhiano ya kisiasa na vyama hivyo. Kauli ya maridhiano ni mtego wao ili wamwangushe Rais na CCM yake.
Wasilisho.
Soma, Pia: Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini
Tundu Lissu wa CHADEMA kutukana mamlaka ya Rais huku Godbless Lema akidhihaki mamlaka ya Rais. Dkt. Slaa kutukana mamlaka ya Ikulu. Hashim Rungwe kudhihaki.
Wapo wengi kama mlivyowaona katika mikutano na mitandao ya kijamii. Sasa itoshe kwa Rais kukubali maridhiano ya kisiasa na vyama hivyo. Kauli ya maridhiano ni mtego wao ili wamwangushe Rais na CCM yake.
Wasilisho.
Soma, Pia: Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini